Rais Samia: Bei ya mafuta Tanzania ni rahisi kuliko Marekani

Rais Samia: Bei ya mafuta Tanzania ni rahisi kuliko Marekani

Kweli hapa tumepigwa! Ndo maana anapenda taarabu....

Opera Snapshot_2022-05-04_131026_www.globalpetrolprices.com.png
 
Tuwe wapole, hata marekani umeme huwa unakatika!
===

Kwani Tz inaagiza mafuta Marekani?
 
Msisahau hata kama kipato cha USA kipo juu pia ni wazalishaji ilipaswa hii bidhaa iwe chini zaidi kwa USA compared to Tanzania.

Au sababu kipato kipo juu ndo mtu anunue pipi ya TZS 50 kwa TZS 50,000?
 
Rais Samia katika kuwajibu wale wanaolalamika kua bei ya mafuta ni kubwa sana amesema hiyo bei ni ndogo sana hasa ukilinganisha na bei ya mafuta Marekani.

Rais anasema juzi alikua Marekani akakuta bei ya mafuta iko juu sana kuliko Tanzania.

Hayo Rais ameyasema leo hii kwenye kipindi cha mahojiano na Tido Mhando.

Juzi pia Rais akiwa Arusha alisema kua watu wanapenda kulalamika umeme ukikatika kidogo tu wakati hata New York umeme unakatika tu hata kuliko Tanzania.


Hapa ndio Rais napata tabu naye, Mimi sina shida naye na binafsi napenda lakini ukianza kutaka kujifananisha na wengine hapo ndio shida. Ok kama suala la kujifananisha na USA basi tujifananishe na kila kitu sio kuchagua tu, tunajuwa kodi kubwa, mafuta juu nyumba juu lakini je sisi tunalipwa kama wao? mshahara wa siku USA kuna mtu anapokea mwezi hapa vipi unataka kufananisha boga na Apple? Mama mimi nakupenda lakini uwe unafikiria la kuongea hapa unaongelea watu kipato kidogo unaongelea watu kima May 1 wanapita na mabango kuomba uliona wapi USA wafanyakazi wamebeba mabango kuomba nyongeza?
 
Rais Samia katika kuwajibu wale wanaolalamika kua bei ya mafuta ni kubwa sana amesema hiyo bei ni ndogo sana hasa ukilinganisha na bei ya mafuta Marekani.

Rais anasema juzi alikua Marekani akakuta bei ya mafuta iko juu sana kuliko Tanzania.

Hayo Rais ameyasema leo hii kwenye kipindi cha mahojiano na Tido Mhando.

Juzi pia Rais akiwa Arusha alisema kua watu wanapenda kulalamika umeme ukikatika kidogo tu wakati hata New York umeme unakatika tu hata kuliko Tanzania.



Chief Hangaya analinganisha nchi zisizolinganishika. Marekani hata bei ya rejareja ya soda au maji ni $0.99. Generally, kwa Mmarekani, kukupa $1 ni rahisi kama ilivyorahisi kwa Mtanzania kukupa Tshs. 100/=.

Pamoja na hayo, alichosema ni uongo wa mchana kweupe! Average prices za leo, May 4, 2022, per gallon (1gal=3.785 liters) ni hizi hapa chini.
IMG_0093.jpg
 
Mama aende kwenye media afanye damage control hili litamwinda huko mbele, kwani angesema tu mafuta siyo yetu na ni biashara huru ila tutachukuwa hatua hizi kujitahidi lakini kwa sababu wao wameingilia suala la kununua mafuta nje hakuna ushindani tena haya ndio matokeo yake.
 
US wananunua mafuta kwa gallon, inaonekana anachanganya liter na gallon, gallon ina 3.8 liter, kwa sasa average price kwa US ni kama 3$-4$, na bongo liter ni kama 3200, ukipiga hesabu utaona kwa bongo gallon ni zaidi ya dola 5, na kipato cha mtu wa kawaida US ni kikubwa sana kulinganisha na mtu wa kawaida bongo maana wafanyakazi wengi wa chini kwa US wanalipwa dola 20 kwa saa
 
Huyu mama mpuuzi sana, anapenda kulinganisha mlima na kichuguu.. Sasa hajui kwamba kipato cha wamarekani ni kikubwa kuliko cha bongo??Hii serikali imejaa upuuzi mwingi sana, kuna huyu PM nae alitoa agizo eti magari ya kabla 2010 yasiingie bongo. Hivi anajua ubora wa barabara za wenzetu?? Hii ni awamu mbovu kuliko zote, historia pia itakuja kudhibitisha hili.
 
Mtakuwa mnamsingizia Rais hawezi ongea hivyo
Yani alinganishe bei ya Mafuta ya marekani na hapa bila kuoanisha uchumi wa hizi pande mbili?
Siamini. Kama ni kweli ametamka hili basi anapaswa kuwa mama wa nyumbani na si Rais wa nchi
Na hata akiwa mama wa nyumbani lazima awe Single mother.
 
US wananunua mafuta kwa gallon, inaonekana anachanganya liter na gallon, gallon ina 3.8 liter, kwa sasa average price kwa US ni kama 3$-4$, na bongo liter ni kama 3200, ukipiga hesabu utaona kwa bongo gallon ni zaidi ya dola 5, na kipato cha mtu wa kawaida US ni kikubwa sana kulinganisha na mtu wa kawaida bongo maana wafanyakazi wengi wa chini kwa US wanalipwa dola 20 kwa saa
Bado average ni zaidi ya 2400 per litres tena Hawa Wana mafuta yao ,je sisi tunaoagiza kila kitu?
 
Mtakuwa mnamsingizia Rais hawezi ongea hivyo
Yani alinganishe bei ya Mafuta ya marekani na hapa bila kuoanisha uchumi wa hizi pande mbili?
Siamini. Kama ni kweli ametamka hili basi anapaswa kuwa mama wa nyumbani na si Rais wa nchi
Na hata akiwa mama wa nyumbani lazima awe Single mother.
Huo uchumi unaouzungumzia pia ni ghali kuliko uchumi wa Bongo hii
 
Rais Samia katika kuwajibu wale wanaolalamika kua bei ya mafuta ni kubwa sana amesema hiyo bei ni ndogo sana hasa ukilinganisha na bei ya mafuta Marekani.

Rais anasema juzi alikua Marekani akakuta bei ya mafuta iko juu sana kuliko Tanzania.

Hayo Rais ameyasema leo hii kwenye kipindi cha mahojiano na Tido Mhando.

Juzi pia Rais akiwa Arusha alisema kua watu wanapenda kulalamika umeme ukikatika kidogo tu wakati hata New York umeme unakatika tu hata kuliko Tanzania.

Duh!
Basi sio mbaya wapandishe zaidi ili bei izidi Marekani kabisa maana maisha yetu yako sawa na Marekani
 
Back
Top Bottom