Rais Samia: Bei ya mafuta Tanzania ni rahisi kuliko Marekani

Rais Samia: Bei ya mafuta Tanzania ni rahisi kuliko Marekani

Chief Hangaya analinganisha nchi zisizolinganishika. Marekani hata bei ya rejareja ya soda au maji ni $0.99. Generally, kwa Mmarekani, kukupa $1 ni rahisi kama ilivyorahisi kwa Mtanzania kukupa Tshs. 100/=.

Pamoja na hayo, alichosema ni uongo wa mchana kweupe! Average prices za leo, May 4, 2022, per gallon (1gal=3.785 liters) ni hizi hapa chini. View attachment 2211169
Hakufanya research ya kutosha
 
Gharama ukifananisha na nani, inawezekana uchumi wao ndio unaruhusu vile. Yawezekana millioni 2 ninayoipata mimi kwa mwezi mzima hiyo ni pesa ya mfanyakazi wa US kwa masaa 12 aliyofanya kazi kwa siku.
Umeandika nini na mimi nimejibu nini ? ebu naomba urudi kusoma nilichoandika alafu urudi hapa tuendelee na mjadala
 
Mtakuwa mnamsingizia Rais hawezi ongea hivyo
Yani alinganishe bei ya Mafuta ya marekani na hapa bila kuoanisha uchumi wa hizi pande mbili?
Siamini. Kama ni kweli ametamka hili basi anapaswa kuwa mama wa nyumbani na si Rais wa nchi
Na hata akiwa mama wa nyumbani lazima awe Single mother.
UMEMALIZA..

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
N
Utatuzi gani unaoutaka wewe? Kwani kuendesha Nchi ni ishu ya mafuta pekee? Hilo la mafuta lipo Tanzania tuu?

Wewe mwenye maarifa tupe utatuzi.
Njia ni nyingi ndugu, No1.kubwa zaidi ni kupunguza au kufuta baadhi ya Kodi ktk Bei ya mafuta. Ktk kila Lita moja ya mafuta Kuna Kodi zaidi ya 15. No.2. Ni bulk purchasing. Au kuinunua mafuta Kwa wingi na kutunza ktk maghala kudhibiti mfumuko na kudhibiti uhaba. No 3. Ni kuinunua mafuta crude au mazito na kuja kuyasafisha huku, mafuta hayo ni Bei mdogo. No.4 Ni kuzuia viongozi wa Serikali kumiliki vituo vya mafuta. Hapa tunavyolalamika nakuhakikishia Kuna watu pesa kwao zinaingia Kwa mabilioni. Kuna kiongozi mmoja ana vituo vya mafuta Nchi nzima havina idadi. Unadhan Bei itapoa? KATIBA MPYA ndo inaandikwa hivyo maana ndo itatatua hayo.
 
N

Njia ni nyingi ndugu, No1.kubwa zaidi ni kupunguza au kufuta baadhi ya Kodi ktk Bei ya mafuta. Ktk kila Lita moja ya mafuta Kuna Kodi zaidi ya 15. No.2. Ni bulk purchasing. Au kuinunua mafuta Kwa wingi na kutunza ktk maghala kudhibiti mfumuko na kudhibiti uhaba. No 3. Ni kuinunua mafuta crude au mazito na kuja kuyasafisha huku, mafuta hayo ni Bei mdogo. No.4 Ni kuzuia viongozi wa Serikali kumiliki vituo vya mafuta. Hapa tunavyolalamika nakuhakikishia Kuna watu pesa kwao zinaingia Kwa mabilioni. Kuna kiongozi mmoja ana vituo vya mafuta Nchi nzima havina idadi. Unadhan Bei itapoa? KATIBA MPYA ndo inaandikwa hivyo maana ndo itatatua hayo.
Asante

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Uhuru gani wewe??? Huu ujinga unaendelea hapa nchini ww unaleta hekaya siziso na mantiki
Ni Kweli tupaze sauti Kwa hoja na tutoe solution ya hayo. Matusi yatawafanya wasijue wamekosea wapi ndo maana Kuna wengine wanasema Eti tunawaonea WIVU wao kuwa mawaziri.
 
Nimeukumbuka ule wimbo tu wa Bongo bahati mbaya 🤣 🐒
 
Hata kama mtoto mdogo huwez kulinganisha mzunguko wa hela kati ya marekani na tanzania even kwenye swala la kipato la mtu mmoja mmoja watu wa marekani wapo juu kuliko sisi.

NAJIULIZA AU IPITISHWE SHERIA KUA MTIA NIA YA URAIS KAMA HAJASOMEA SPECIAL SCHOOL ASIWE MGOMBEA URAIS AU MGOMBEA MWENZA?

Kwa sababu hili swala najiuliza nalo kulifikiria linahitaji GPA ya 4.5?
 
Rais Samia katika kuwajibu wale wanaolalamika kua bei ya mafuta ni kubwa sana amesema hiyo bei ni ndogo sana hasa ukilinganisha na bei ya mafuta Marekani.

Rais anasema juzi alikua Marekani akakuta bei ya mafuta iko juu sana kuliko Tanzania.

Hayo Rais ameyasema leo hii kwenye kipindi cha mahojiano na Tido Mhando.

Juzi pia Rais akiwa Arusha alisema kua watu wanapenda kulalamika umeme ukikatika kidogo tu wakati hata New York umeme unakatika tu hata kuliko Tanzania.



3 bed room house in SD carlifonia ambayo ni Sawa na ya Tanzania bei yake ni $1500, Tanzania 250,000/- huwezi compare Tanzania and USA wana kipato tofauti.
 
Huyu RAHISI(RAIS) ni kichaa yeye anaizungumzia nchi ambayo kiwango Cha chini Cha mshahara ni dola 7.3 kwa saa anafananisha na huku...huyu mama no kichaa Sana yaani kazi mipasho na kulembua macho.[emoji35]

Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app
 
Rais Samia katika kuwajibu wale wanaolalamika kua bei ya mafuta ni kubwa sana amesema hiyo bei ni ndogo sana hasa ukilinganisha na bei ya mafuta Marekani.

Rais anasema juzi alikua Marekani akakuta bei ya mafuta iko juu sana kuliko Tanzania.

Hayo Rais ameyasema leo hii kwenye kipindi cha mahojiano na Tido Mhando.

Juzi pia Rais akiwa Arusha alisema kua watu wanapenda kulalamika umeme ukikatika kidogo tu wakati hata New York umeme unakatika tu hata kuliko Tanzania.


Kupata USD 2.00 US ni rahisi kuliko kupata Tshs 3000 Tanzania. Actually kila kitu ni rahisi Tanzania kuliko US. Hiyo haitufabyi tuwe na maisha nafuu kuliko America. Inaelekea Rais amejua hayo baada ya kusafiri this time around. Kila kitu anachozungumza ni America, America, America. Ndiyo maana tunasema Exposure, exposure, exposure.
 
Back
Top Bottom