Memento
JF-Expert Member
- Jun 13, 2021
- 4,423
- 9,986
Bado Bei ya mafuta USA ipo chini kulingana na Tz, mama kakoseaMsisahau hata kama kipato cha USA kipo juu pia ni wazalishaji ilipaswa hii bidhaa iwe chini zaidi kwa USA compared to Tanzania.
Au sababu kipato kipo juu ndo mtu anunue pipi ya TZS 50 kwa TZS 50,000?