Hilo Mama HalijuiHajui asemalo. Kila nchi ina gharama zake za maisha. Kima cha chini cha mshahara US ni zaidi ya Tshs 5,000,000 . Kwa tafisili hiyo siyo ajabu chapati kuuza 10,000 huko Marekani kwa sababu gharama za maisha zipo juu na kipato cha ndani kipo juu
Huyu mama ashauriwe ili awe ananyamaza. Vinginevyo 2025 hatoamini macho yakeNa Maisha marekani Ni Magumu kuliko Tanzania?😆
Huyu mama nadhani anahisi kila mtu anatokea Zanzibar kama yeyeRais Samia katika kuwajibu wale wanaolalamika kua bei ya mafuta ni kubwa sana amesema hiyo bei ni ndogo sana hasa ukilinganisha na bei ya mafuta Marekani.
Rais anasema juzi alikua Marekani akakuta bei ya mafuta iko juu sana kuliko Tanzania.
Hayo Rais ameyasema leo hii kwenye kipindi cha mahojiano na Tido Mhando.
Juzi pia Rais akiwa Arusha alisema kua watu wanapenda kulalamika umeme ukikatika kidogo tu wakati hata New York umeme unakatika tu hata kuliko Tanzania.
Atuambie mara ya mwisho yeye alinunua lini mafuta?Ameshiba yeye hadi amekinai
kipato cha wamarekani sawa na hapa Tanzania?Na Maisha marekani Ni Magumu kuliko Tanzania?😆
Kwa tume ipi? wananchi wana hasira naye mbaya kabisa lakini hakuna jinsiHuyu mama ashauriwe ili awe ananyamaza. Vinginevyo 2025 hatoamini macho yake
Labda na uchumi wa Tanzania ni mkubwa kuliko wa Marekanikipato cha wamarekani sawa na hapa tanzania?
Wastani wa kipato cha Mtanzania mmoja kwa mwezi 500K na litre ya mafuta ni Tzs 3,184 wakati wastani wa kipato cha Mmarekani wa hali ya chini ni 11M kwa mwezi wakati gallon ya mafuta ambayo ni sawa na litre 3.4 ni USD 5.Ko anamaanisha kipato cha mmarekani na mtanzania ni sawa hivyo sisi tuna unafuu wa maisha kuliko wamarekani. 😎 hii ndo bongo nyoso.
Ni sawa tu na kusema Shut the F*** up suckers..!Rais Samia katika kuwajibu wale wanaolalamika kua bei ya mafuta ni kubwa sana amesema hiyo bei ni ndogo sana hasa ukilinganisha na bei ya mafuta Marekani.
Rais anasema juzi alikua Marekani akakuta bei ya mafuta iko juu sana kuliko Tanzania.
Hayo Rais ameyasema leo hii kwenye kipindi cha mahojiano na Tido Mhando.
Juzi pia Rais akiwa Arusha alisema kua watu wanapenda kulalamika umeme ukikatika kidogo tu wakati hata New York umeme unakatika tu hata kuliko Tanzania.
Wananchi gani sisi huku mtaani tukifunguliwa njia Kama enzi za jk 2025 tunampa nchiKwa tume ipi? wananchi wana hasira naye mbaya kabisa lakini hakuna jinsi
mwenye unafuu mmarekaniWastani wa kipato cha Mtanzania mmoja kwa mwezi 500K na litre ya mafuta ni Tzs 3,184 wakati wastani wa kipato cha Mmarekani wa hali ya chini ni 11M kwa mwezi wakati gallon ya mafuta ambayo ni sawa na litre 3.4 ni USD 5.
Sasa hapo nani mwenye nafuu?
hapo atakuuaTukitaka katiba ya kuwajibishana kama Marekani atakubali?
Huyu mama anazingua sana yani that is like comparing apple to an orangemwenye unafuu mmarekani
Ndugu raisi angeulizwa ni lini mara ya mwisho alijaza gari lake.Rais Samia katika kuwajibu wale wanaolalamika kua bei ya mafuta ni kubwa sana amesema hiyo bei ni ndogo sana hasa ukilinganisha na bei ya mafuta Marekani.
Rais anasema juzi alikua Marekani akakuta bei ya mafuta iko juu sana kuliko Tanzania.
Hayo Rais ameyasema leo hii kwenye kipindi cha mahojiano na Tido Mhando.
Juzi pia Rais akiwa Arusha alisema kua watu wanapenda kulalamika umeme ukikatika kidogo tu wakati hata New York umeme unakatika tu hata kuliko Tanzania.
Kwamba wastani wa kipato cha mtanzania kwa mwaka ni Ml.6..!!!Wastani wa kipato cha Mtanzania mmoja kwa mwezi 500K na litre ya mafuta ni Tzs 3,184 wakati wastani wa kipato cha Mmarekani wa hali ya chini ni 11M kwa mwezi wakati gallon ya mafuta ambayo ni sawa na litre 3.4 ni USD 5.
Sasa hapo nani mwenye nafuu?