cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
Ndio hali halisi yani gari wengi tutazipaki round hiiKwamba wastani wa kipato cha mtanzania kwa mwaka ni Ml.6..!!!
DSM tu jiji tajiri nchi nzima,haifiki mil.5..
Nimeisikiliza hii Intvw daah kweli kazi ipo ,hii awamu yaani naiona ndefu, eeh Mungu tusaidie hapa mpaka mwishoni mwa mwaka ngoma itakuwa 4000+ per litre,tukiingia mwakani sitoshangaa kufika 5000+ per litre.Rais Samia katika kuwajibu wale wanaolalamika kua bei ya mafuta ni kubwa sana amesema hiyo bei ni ndogo sana hasa ukilinganisha na bei ya mafuta Marekani.
Rais anasema juzi alikua Marekani akakuta bei ya mafuta iko juu sana kuliko Tanzania.
Hayo Rais ameyasema leo hii kwenye kipindi cha mahojiano na Tido Mhando.
Juzi pia Rais akiwa Arusha alisema kua watu wanapenda kulalamika umeme ukikatika kidogo tu wakati hata New York umeme unakatika tu hata kuliko Tanzania.
Na pia mwandishi kwa nn asingemhoji juu ya kipato kati TZ na USA sometime naonaga wanahabari chenga tuNdugu raisi angeulizwa ni lini mara ya mwisho alijaza gari lake.
Huyu bibi, aende TU akaishi huko Marekani maana imemjaa akilini mwake! Hovyo kabisa!Rais Samia katika kuwajibu wale wanaolalamika kua bei ya mafuta ni kubwa sana amesema hiyo bei ni ndogo sana hasa ukilinganisha na bei ya mafuta Marekani.
Rais anasema juzi alikua Marekani akakuta bei ya mafuta iko juu sana kuliko Tanzania.
Hayo Rais ameyasema leo hii kwenye kipindi cha mahojiano na Tido Mhando.
Juzi pia Rais akiwa Arusha alisema kua watu wanapenda kulalamika umeme ukikatika kidogo tu wakati hata New York umeme unakatika tu hata kuliko Tanzania.
Tuwe wapole, hata marekani umeme huwa unakatika!Huyu Rais huyu nahisi kuna kitu hakiko sawa....
So what?...yaani hii ndio justification..aisee
Ok yeye anasaidiaje katika hili?....
Kuwa kiongozi sio lelemama....
Hatari sana
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Huyu mama huyu !!!! ??????
Nimeishi UK, kule kila kitu gharama nguo, viatu kodi ya pango n.k. , Ila kipato changu nilichokuwa napata kule kwa wiki kwa kazi hio huku hata kwa mwaka huenda nisingepata..., (yaani hapo naongelea unskilled labor bado sijaongelea professional jobs)
Hivi haya anayasema kama siasa, kukosa uelewa au anatudharau (insulting our intelligence)
Njia Zipi?Wananchi gani sisi huku mtaani tukifunguliwa njia Kama enzi za jk 2025 tunampa nchi
MkuuSio siri
Huyo MAMA namchukia sana
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa. πWastani wa kipato cha Mtanzania mmoja kwa mwezi 500K na litre ya mafuta ni Tzs 3,184 wakati wastani wa kipato cha Mmarekani wa hali ya chini ni 11M kwa mwezi wakati gallon ya mafuta ambayo ni sawa na litre 3.4 ni USD 5.
Sasa hapo nani mwenye nafuu?
REASONING ABILITY yake ndo inaniacha na maswali, juzi tu hapa alisema hata MAREKANI umeme unakatika kwahiyo Wadanganyika tusimsumbe Waziri Makamba...Sasa purchasing power ya mwananchi wa Tanzania ni sawa na Marekani,yani kipato cha mtu unskilled labour kipo juu sana kuliko hata hapa bongo kwa upande wa skilled ..kwel kunasehemu tumekosea kama nchi.Magufuri lala salama baba..
Kwahiyo pia Mishahara ya Wafanyakazi wa Tanzania ni mikubwa kuliko Mishahara ya Wafanyakazi wa Marekani!Rais Samia katika kuwajibu wale wanaolalamika kua bei ya mafuta ni kubwa sana amesema hiyo bei ni ndogo sana hasa ukilinganisha na bei ya mafuta Marekani.
Rais anasema juzi alikua Marekani akakuta bei ya mafuta iko juu sana kuliko Tanzania.
Hayo Rais ameyasema leo hii kwenye kipindi cha mahojiano na Tido Mhando.
Juzi pia Rais akiwa Arusha alisema kua watu wanapenda kulalamika umeme ukikatika kidogo tu wakati hata New York umeme unakatika tu hata kuliko Tanzania.
Hiyo ya kuishi dola 1 kaikataa jana, kasema Kuna wamasai Wana ng'ombe na kila siku wanakulaa nyama mnasemaje wanaishi kwa dola 1Hivi hichi kibibi kinajua kuna watanzania wanaishi chini ya Dola moja kwa siku na hiyo Dola moja marekani hata kuna pipi huwezi nunua