Rais Samia: Bei ya mafuta Tanzania ni rahisi kuliko Marekani

Nimeisikiliza hii Intvw daah kweli kazi ipo ,hii awamu yaani naiona ndefu, eeh Mungu tusaidie hapa mpaka mwishoni mwa mwaka ngoma itakuwa 4000+ per litre,tukiingia mwakani sitoshangaa kufika 5000+ per litre.

Kweli mwingi unapigwa na sukari inalambwa.
 
Huyu bibi, aende TU akaishi huko Marekani maana imemjaa akilini mwake! Hovyo kabisa!
Tunaongelea gharama za maisha kupanda tangu awe rais, anaongelea Marekani πŸ€”!
 
Huyu Rais huyu nahisi kuna kitu hakiko sawa....
So what?...yaani hii ndio justification..aisee
Ok yeye anasaidiaje katika hili?....
Kuwa kiongozi sio lelemama....
Hatari sana

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Tuwe wapole, hata marekani umeme huwa unakatika!
===

 

Hii ni kukosa uelewa aisee. Ni hatari kua na raisi mwenye uwezo huu wa kufikiri.
 
Wastani wa kipato cha Mtanzania mmoja kwa mwezi 500K na litre ya mafuta ni Tzs 3,184 wakati wastani wa kipato cha Mmarekani wa hali ya chini ni 11M kwa mwezi wakati gallon ya mafuta ambayo ni sawa na litre 3.4 ni USD 5.

Sasa hapo nani mwenye nafuu?
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa. 😁
 
Sasa purchasing power ya mwananchi wa Tanzania ni sawa na Marekani,yani kipato cha mtu unskilled labour kipo juu sana kuliko hata hapa bongo kwa upande wa skilled ..kwel kunasehemu tumekosea kama nchi.Magufuri lala salama baba..
REASONING ABILITY yake ndo inaniacha na maswali, juzi tu hapa alisema hata MAREKANI umeme unakatika kwahiyo Wadanganyika tusimsumbe Waziri Makamba...
 
Kwahiyo pia Mishahara ya Wafanyakazi wa Tanzania ni mikubwa kuliko Mishahara ya Wafanyakazi wa Marekani!
Marais Wetu wanavyopenda Kurongopa kwa kujilinganisha na nchi zingine! Akili ya Watanzania tunajijua Wenyewe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…