Rais Samia: Bei ya mafuta Tanzania ni rahisi kuliko Marekani

Rais Samia: Bei ya mafuta Tanzania ni rahisi kuliko Marekani

N
Rais Samia katika kuwajibu wale wanaolalamika kuwa bei ya mafuta ni kubwa sana amesema hiyo bei ni ndogo sana hasa ukilinganisha na bei ya mafuta Marekani.

Rais anasema juzi alikuwa Marekani akakuta bei ya mafuta iko juu sana kuliko Tanzania.

Hayo Rais ameyasema leo hii kwenye kipindi cha mahojiano na Tido Mhando.

Juzi pia Rais akiwa Arusha alisema kuwa watu wanapenda kulalamika umeme ukikatika kidogo tu wakati hata New York umeme unakatika tu hata kuliko Tanzania.



Nadhani atakua amesahau hao wamalekani wananunua kwa galoni sasa inawezekana akiona bei ya galoni akafikili ni ya lita.
Wakati wa corona walikua na bei isiyozidi 450 hadi mia tano kwa lita sasa leo hata ikipanda haiwezi kufika au kuzidi 1000 kwa lita.
Sasa inaonekana aliona inayolingana na elfu nne akadhani ni ni kwa lita moja kumbe ni galoni ya lita 5
 
Mtu aki like hii comment yako unitag nimfuatilie nione kwenye post zake anaandikaganini.
UnaonaaaMkuu yaani ndo ilivyo asante sana kwa kuikubali yaani sisi ma diapora tuna uelewa kweli!! wewe uko nchi gani mkuu!
 
Rudi shule, au kadai urudishiwe ada yako shuleni ulikosoma. Au umesoma skuli!
Hapana mkuu ndo ukweli!! DSM kati, niliwahi kuwa nalipwa sh.60,ooo/= na mbona niliishi??...nikapanda kidogo sh.2,500,000/ yaani maisha yalikuwa Bomba sana? na nyumba nzuri saaana!! paleee ilala Boma!
 
Huyu mama huyu !!!! ??????

Nimeishi UK, kule kila kitu gharama nguo, viatu kodi ya pango n.k. , Ila kipato changu nilichokuwa napata kule kwa wiki kwa kazi hio huku hata kwa mwaka huenda nisingepata..., (yaani hapo naongelea unskilled labor bado sijaongelea professional jobs)

Hivi haya anayasema kama siasa, kukosa uelewa au anatudharau (insulting our intelligence)
Hivi mlioenda mambele viwanja huko vinapatikana kweli mtu ajenge ka kiosk, genge kwa mbali Nipande zangu saladi mferejini

Niliwahi sikia unaeza fia kwenye nyumba za watu na ulikuwa unalipwa milion kadhaa kwa mwezi
 
Tatizo tozo ...hio mafuta wala sio bei kiivo

Diesel prices, litre, 02-May-2022​

Diesel prices, 02-May-2022: The average price of diesel around the world is 1.31 U.S. Dollar per litre. However, there is substantial difference in these prices among countries. As a general rule, richer countries have higher prices while poorer countries and the countries that produce and export oil have significantly lower prices. One notable exception is the U.S. which is an economically advanced country but has low gas prices. The differences in prices across countries are due to the various taxes and subsidies for diesel. All countries have access to the same petroleum prices of international markets but then decide to impose different taxes. As a result, the retail price of diesel is different. Use the drop menu to see the prices in gallons.
 
Hiyo ya kuishi dola 1 kaikataa jana, kasema Kuna wamasai Wana ng'ombe na kila siku wanakulaa nyama mnasemaje wanaishi kwa dola 1
Daaa sasa tumejifunza mtu wa kumweka mwenza wa mgombea tuwe makini sana maana kifo kinaweza take place muda wowote afu tukaachiwa majanga
 
Hivi mlioenda mambele viwanja huko vinapatikana kweli mtu ajenge ka kiosk, genge kwa mbali Nipande zangu saladi mferejini

Niliwahi sikia unaeza fia kwenye nyumba za watu na ulikuwa unalipwa milion kadhaa kwa mwezi
For example in US there is no law that says non-US residents cannot own property in the United States. In fact, foreign investors or businessmen and women frequently own homes or property in the US, just as their US equivalents can also own property in other countries. BUT price is high so you have to streatch you financial muscles compare to TZ.
 
Angalia mfano huu mkuu.
Kibarua ujenzi siku nzima masaa 10, malipo 10000.
Mbeba box USA kwa saa dola 7 sawa na 17000 akifanya masaa 10 sawa na 170000.
Wakienda kununua mafuta kwa bei za nchi zao nani atanunua lita nyingi?
Your level of thinking is critical low
Kifupi tunanunua mafuta bei ghal kuliko hao kwa sasa ni sawa tsh2900 kwa lita huku ni elf tatu
 
Hivi mlioenda mambele viwanja huko vinapatikana kweli mtu ajenge ka kiosk, genge kwa mbali Nipande zangu saladi mferejini
Upande Salad mferejini ili uzipeleke wapi, iwapo una ajira yenye ujira wa kuweza kukidhi maisha yako ya kila siku
Niliwahi sikia unaeza fia kwenye nyumba za watu na ulikuwa unalipwa milion kadhaa kwa mwezi
Nyumba za watu na nyumba zako ni nini / zipi ? Kama kuna kitu kinaitwa mortgage unaweza kununua na kuuza nyumba wakati wowote ukiwa mzee unauza nyumba yako unapata pesa za kuongezea kwenye pension yako kula bata au kwenda kwenye old peoples home..., ukizeeka nyumba kubwa gharama ya maintenance anafanya nani na unamlipa kitu gani (nyumba sio necessarily an asset)

Na huku yatakuja sio kila mtu unajijengea tu kuna developers na mpaka kununua ardhi sio pesa ya ndogo kwahio ni mwendo wa mortgage (mentality ya hii ni yangu nimejenga itakwisha, itabaki kwamba nina mortgage na a place to sleep yaani sio homeless) owning a house unaweza dakika yoyote na kuuza pia hali kadhalika....
 
Rais Samia katika kuwajibu wale wanaolalamika kuwa bei ya mafuta ni kubwa sana amesema hiyo bei ni ndogo sana hasa ukilinganisha na bei ya mafuta Marekani.

Rais anasema juzi alikuwa Marekani akakuta bei ya mafuta iko juu sana kuliko Tanzania.

Hayo Rais ameyasema leo hii kwenye kipindi cha mahojiano na Tido Mhando.

Juzi pia Rais akiwa Arusha alisema kuwa watu wanapenda kulalamika umeme ukikatika kidogo tu wakati hata New York umeme unakatika tu hata kuliko Tanzania.



Tuwe na wasi mwenye kigoda akianza kupeana majibu rahisi.
 
Back
Top Bottom