Pre GE2025 Rais Samia: Bei ya Sukari Ikiwa Juu Gen Z Wataingia Barabarani

Pre GE2025 Rais Samia: Bei ya Sukari Ikiwa Juu Gen Z Wataingia Barabarani

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa mkoani Morogoro katika uzinduzi wa bwawa la mradi wa upanuzi wa kiwanda cha Mtibwa sugar Ltd amesema Serikali itahakikisha kuwa wananchi wanapata sukari kwa bei nafuu na kulinda viwanda vya ndani kutokana na uwekezaji uliofanyika.

Serikali inavyosimama upande wa wananchi katika kuhakikisha wanapata sukari kwa bei himilivu, ni kwa msingi wa kulinda uwekezaji wa viwanda lakini lazima tulinde wananchi, hatuna shari na viwanda. Ukipandisha sukari hapa leo generation Z wataingia barabarani" - Rais Samia.

Soma pia: Baadhi ya mambo yaliyotokea kwa kusababishwa na Maandamano ya GEN Z Kenya






 
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa mkoani Morogoro katika uzinduzi wa bwawa la mradi wa upanuzi wa kiwanda cha Mtibwa sugar Ltd amesema serikali itahakikisha kuwa wananchi wanapata sukari kwa bei nafuu na kulinda viwanda vya ndani kutokana na uwekezaji uliofanyika.

Serikali inavyosimama upande wa wananchi katika kuhakikisha wanapata sukari kwa bei himilivu, ni kwa msingi wa kulinda uwekezaji wa viwanda lakini lazima tulinde wananchi, hatuna shari na viwanda. Ukipandisha sukari hapa leo generation Z wataingia barabarani" - Rais Samia.

===

My Take
Raha ya Rais Samia ni usikivu.
Kwanini anandelea kumkumbatia huyo waziri shakubimbi aliyeleta tharuki ya sukari kwa Taifa?

Maneno ya blah blah bila kuchukua hatua madhubuti kwa Mawaziri mizigo hatutafika popote.
 
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa mkoani Morogoro katika uzinduzi wa bwawa la mradi wa upanuzi wa kiwanda cha Mtibwa sugar Ltd amesema serikali itahakikisha kuwa wananchi wanapata sukari kwa bei nafuu na kulinda viwanda vya ndani kutokana na uwekezaji uliofanyika.

Serikali inavyosimama upande wa wananchi katika kuhakikisha wanapata sukari kwa bei himilivu, ni kwa msingi wa kulinda uwekezaji wa viwanda lakini lazima tulinde wananchi, hatuna shari na viwanda. Ukipandisha sukari hapa leo generation Z wataingia barabarani" - Rais Samia.

===

My Take
Raha ya Rais Samia ni usikivu.
anawa please kiana. siasa raha sana sometimes, zuga zuga tu bas
 
Back
Top Bottom