Pre GE2025 Rais Samia: Bei ya Sukari Ikiwa Juu Gen Z Wataingia Barabarani

Pre GE2025 Rais Samia: Bei ya Sukari Ikiwa Juu Gen Z Wataingia Barabarani

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mwaka 2023 Vijana wa kitanzania kwa umoja wao walishindwa kuunga mkono maandamano ya kupinga mali zetu za taifa kupigwa mbana, ila pengine mwaka huu 2024 tutakuwa tumejifunza ya GEN-Z ya Kenya.

Pengine tahadhari ya mheshimiwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania huko Morogoro kuwa maandamano yanaweza kutokea ya viiana ni kweli kwa kuwa ana utitiri wa vyombo vya Dola vinavyompa
taarifa ya hali ya kisiasa na kijamii mtaani na vijijini Tanzania

TOKA Maktaba:
19 June 2023

Dar es Salaam, Tanzania

MAANDAMANO YA MWAKA 2023, ILIKUWA GEN-Z ILIYOSHINDWA KUUNGWA MKONO TANZANIA


View: https://m.youtube.com/watch?v=ewNw5e22LWY

Jeshi la Polisi limewatawanya na kuwakamata baadhi ya waandamanaji wanaopinga mkataba wa uwekezaji katika bandari Tanzania.Maandamano hayo yaliitishwa na Deusdedith Soka Juni 15, 2023 kwa ajili ya kupinga mkataba huo wa uendeshaji wa bandari kati ya Kampuni ya DP World na Tanzania.Hata hivyo Juni 17, 2023 Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam lilipiga marufuku maandamano hayo na kueleza kuwa, mtu aliyeandaa maaandamano hayo ameshajibiwa kwa barua.
 
Mwaka 2023 Vijana wa kitanzania kwa umoja wao walishindwa kuunga mkono maandamano ya kupinga mali zetu za taifa kupigwa mbana, ila pengine mwaka huu 2024 tutakuwa tumejifunza ya GEN-Z ya Kenya.

Pengine tahadhari ya mheshimiwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania huko Morogoro kuwa maandamano yanaweza kutokea ya viiana ni kweli kwa kuwa ana utitiri wa vyombo vya Dola vinavyompa
taarifa ya hali ya kisiasa na kijamii mtaani na vijijini Tanzania

TOKA Maktaba:
19 June 2023

Dar es Salaam, Tanzania

MAANDAMANO YA MWAKA 2023, ILIKUWA GEN-Z ILIYOSHINDWA KUUNGWA MKONO


View: https://m.youtube.com/watch?v=ewNw5e22LWY

Jeshi la Polisi limewatawanya na kuwakamata baadhi ya waandamanaji wanaopinga mkataba wa uwekezaji katika bandari Tanzania.Maandamano hayo yaliitishwa na Deusdedith Soka Juni 15, 2023 kwa ajili ya kupinga mkataba huo wa uendeshaji wa bandari kati ya Kampuni ya DP World na Tanzania.Hata hivyo Juni 17, 2023 Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam lilipiga marufuku maandamano hayo na kueleza kuwa, mtu aliyeandaa maaandamano hayo ameshajibiwa kwa barua.


Tujikumbushe RC alivyozima maandamano ya GEN-Z wa Tanganyika
WANAJESHI ELFU 5, POLISI 3000, FFU KUFANYA USAFI TAREHE YA MAANDAMANO YA CHADEMA JAN 24, “MSIOGOPE”


View: https://m.youtube.com/watch?v=tBTqDwONUec
 
Kweli kabisa na visungura

Bado haijafahamika ni nini kitawasukuma waTanzania kupinga utawala wa chama kongwe dola kwa kupitia sanduku la kura, maandamano, midahalo ya wazi wasomi kujitokeza kuonesha mapungufu ya sera za serikali ya CCM, maisha magumu n.k
 
Bado haijafahamika ni nini kitawasukuma waTanzania kupinga utawala wa chama kongwe dola kwa kupitia sanduku la kura, maandamano, midahalo ya wazi wasomi kujitokeza kuonesha mapungufu ya sera za serikali ya CCM, maisha magumu n.k
Tatzo wakikosoa wanakanyagwa na policcm pia machawa wamo wasomi ndan yake kitu kinacho haribu mitazamo
 
Back
Top Bottom