Rais Samia Suluhu Hassan hataki Sheria za nchi ziwe kikwazo kwa watanzania kutumia Sarafu za Kimtandao. Ameyasema haya leo wakati anazindua jengo la BoT Tawi la Mwanza.
Hivyo ameitaka BoT kuandaa mazingira ya kisheria na taratibu nyingine ya wananchi kutumia Sarafu za Kimtandao:- mfano Crypto-Currency na Bitcoin.
SOMA PIA:
1) BoT yazuia matumizi ya pesa ya kidigitali (Cryptocurrency)
2) BoT yawaonya wanaojihusisha na fedha za kimtandao, yakana kuhusika nazo
3) Gavana wa BoT, Benno Ndulu: Watanzania wanatakiwa kuwa makini na hatari inayoambatana na fedha za kidigitali
Hivyo ameitaka BoT kuandaa mazingira ya kisheria na taratibu nyingine ya wananchi kutumia Sarafu za Kimtandao:- mfano Crypto-Currency na Bitcoin.
SOMA PIA:
1) BoT yazuia matumizi ya pesa ya kidigitali (Cryptocurrency)
2) BoT yawaonya wanaojihusisha na fedha za kimtandao, yakana kuhusika nazo
3) Gavana wa BoT, Benno Ndulu: Watanzania wanatakiwa kuwa makini na hatari inayoambatana na fedha za kidigitali