Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Ila ziara yake imepoa sana.Ametisha sana mama ktk hili.
Siyo kama mwendazake alikaa kizamadamu sana yule.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila ziara yake imepoa sana.Ametisha sana mama ktk hili.
Siyo kama mwendazake alikaa kizamadamu sana yule.
Alikuwa live TBC1 mkuu akihutubia baada ya kuzindua jengo la BoT tawi la Mwanza. Kaongea mengi likiwamo hili na kutaka riba za mabenki zipungue kutoka (12%- 18%) hadi 10% kushuka chini.Kumekuwa na tabia ya watu kupindisha maneno ya Samia na Viongozi wengine!
Weka nukuu ya alichosema au link?
Hataki makuu kama yule mwendazake ambaye alikuwa ana-frustrate tu wenzie. Ili aijenge Chato.Ila ziara yake imepoa sana.
Mwanasiasa ambaye hataki makuu anakuwa amevamia fani isiyo yake!Hataki makuu kama yule mwendazake ambaye alikuwa ana-frustrate tu wenzie. Ili aijenge Chato.
'anashinda mtandaoni kwa magumashi" Nisaidie ufafanuzi hapo nilipo qoute au una maana wale jamaa wa wall street wanafanya magumashiYaani mi niwe na cash halisi/ benki halafu kuna jamaa naye anashinda mitandaoni kwa magumashi mara uit wake then heti inatambulika rasmi!!
Tunahitaji elimu zaidi hili tuwe na common understanding kwanza.
Tangu mwaka 2009 ilipoanzishwa Cryptocurrency ya kwanza mpaka sasa ni nchi moja tu ndio imekubali Bitcoin as legal tender. Labda Tanzania ndio itakuwa ya pili!!Alikuwa live TBC1 mkuu akihutubiqbaada ya kuzindua jengo la BoT tawi la Mwanza. Kaongea mengi likiwamo hili na kutaka riba za mabenki zipungue kutoka (12%- 18%) hadi 10% kushuka chini.
Download mwenyewe hotuba yote ya rais akiwa Mwanza.
Mwendazake alikua ni mtu pori.Ametisha sana mama ktk hili.
Siyo kama mwendazake alikaa kizamadamu sana yule.
Rais SSH hataki sheria za nchi ziwe kikwazo kwa watanzania kutumia sarafu za kimtandao. Ameyasema haya leo wakati anazindua jengo la BoT tawi la Mwanza).
Hivyo ameitaka BoT kuandaa mazingira ya kisheria na taratibu nyingine ya wananchi kutumia sarafu za kimtandao:- mfano Crypto currency
Rais wa hisani ya katiba huyu hivyo mwie radhi tu..Mwanasiasa ambaye hataki makuu anakuwa amevamia fani isiyo yake!
Acha mama aingie kichwa kichwa...Tangu mwaka 2009 ilipoanzishwa Cryptocurrency ya kwanza mpaka leo ni nchi moja tu ndio one regulate. Labda Tanzania ndio itakuwa ya pili!!
Kwa nini nchi zote kama marekani zimesita?
Kwahiyo unataka awe mtekaji, muuaji na dikteta kama yule mfu mwendazake?Mwanasiasa ambaye hataki makuu anakuwa amevamia fani isiyo yake!
Navyojua Mimi hawa huwa wajanja wajanja tu sasa hata kama umesoma finance hukutani kabisa na hayo mambo sasa ndo hatari ilipo'anashinda mtandaoni kwa magumashi" Nisaidie ufafanuzi hapo nilipo qoute au una maana wale jamaa wa wall street wanafanya magumashi
Hoja ya kipumbavu kabisa!Kwahiyo unataka awe mtekaji, muuaji na dikteta kama yule mfu mwendazake?
Unatakiwa uifate taknolijia sio usubiri ikufate utakuwa huna exposure......Yaani mi niwe na cash halisi/ benki halafu kuna jamaa naye anashinda mitandaoni kwa magumashi mara uit wake then heti inatambulika rasmi!!
Tunahitaji elimu zaidi hili tuwe na common understanding kwanza.
Toa ufafanuzi kwa namna ipi.Cryptocurrencies imekuwa ina husishwa na,
1)fraud
2) money laundering
3)Bad for environment.
4)….list goes on