Rais Samia: BoT wajiandae kuruhusu Crypto-Currency

Rais Samia: BoT wajiandae kuruhusu Crypto-Currency

Alikuwa live TBC1 mkuu akihutubia baada ya kuzindua jengo la BoT tawi la Mwanza. Kaongea mengi likiwamo hili na kutaka riba za mabenki zipungue kutoka (12%- 18%) hadi 10% kushuka chini.

Download mwenyewe hotuba yote ya rais akiwa Mwanza.
Ipungue kutoka 12%-18% ndio nini umeandika ???
 
Rais Samia Suluhu Hassan hataki Sheria za nchi ziwe kikwazo kwa watanzania kutumia Sarafu za Kimtandao. Ameyasema haya leo wakati anazindua jengo la BoT Tawi la Mwanza.

Hivyo ameitaka BoT kuandaa mazingira ya kisheria na taratibu nyingine ya wananchi kutumia Sarafu za Kimtandao:- mfano Crypto-Currency na Bitcoin.
Paypal tu shida. Sembuse crypto...
 
Kwenye kuwekeza siwezi mshauri mtu ujalibu mwisho wapicha utatapeliwa tu BTC ni mzuri kwa malipo unanunua online kwakutumia simu kisha unatuma unafanya malipo nje ya nchi unaweza badala ya kwenda bank na kufanya TT utapoteza muda mwingi pia pesa inachelewa sana kufika ila btc ni sawa na PayPal au email ukimtumia dakika kaisha pata fee ni kidogo sana.

Kwale wanaosafiri kwenda nje ya nchi pia btc inasaidia sana hata kama una dolla laki 8 unaweka kwenye btc wallet au unaweza print out ukifika unakokwenda nchi nyingi wana mashine za ATM zina sehemu ya btc una scan kwenye barcode unatoa mpungu

We zangu na mimi ccm wanasafiri na mabunda ya pesa wakifika airport wananyanganywa na kufunguliwa kesi za utakatishaji pesa badili wana wa mapindu dunia iko mbali sana sisi tuko nyuma sana
Hayo matransation yaliniacha hoi baada ya kuona wahusika wanamind sana hizi zetu za cash tulizooea.
 
Ipungue kutoka 12%-18% ndio nini umeandika ???
Duuh! Soma vzuri nilivyoandika. Riba ya sasa ina range kati ya 12% na 18% ktk mabenki tofauti tofauti.

Mama anataka ipungue iwe 10% kwenda chini. Ndiyo maana hizo figures nikaweka kwenye brackets.

Daah! Shida kweli.
 
Hata mie nataka kujua. Mbona kufungua PayPal account simple tu. Au ku-link PayPal na Bank account ndio tatizo lilipo? Nitafurahi akitoa ufafanuzi.
Tatizo ni wewe kupokea pesa kwenye account wale PayPal wanatufanya sisi kama ndondocha wa mataifa mengine kazi yetu sisi ni kulipa watu wa mataifa mengine ila sisi hatuwezi kupokea pesa kutoka kwa kwao
 
Hata mie nataka kujua. Mbona kufungua PayPal account simple tu. Au ku-link PayPal na Bank account ndio tatizo lilipo? Nitafurahi akitoa ufafanuzi.
PayPal yako ina sh ngap?
 
Hi
Hayo matransation yaliniacha hoi baada ya kuona wahusika wanamind sana hizi zetu za cash tulizooea.
wana ccm kutoa raisi wanapenda analog kwasabu ya ulasimu na wizi na Ndio maana na wachukia wanarudisha maendeleo nyuma

Mtu anayependa mifumo ya kizamani anaweza kuwa nchawi anataka watu wapange foleni ili atupie majini

ukiangalia bajeti zao na mawazo yao ya ki analogia ukiwaambie turushe satellite kwajili ya mawasiliano wazee wana analog wataanza ku google na kuliza hiyo satellite inabeba watu wangapi wanafikiri ni bomba dia hawa jamaa akili zao wanazijua wao
 
Wafuasi wa mwendazake mna shida sana, ni lini mtaamini kwamba jamaa yenu ameshafukiwa na harudi tena? Mwacheni Mama atawale kwa namna yake ya uongozi, 2035 mtamweka mtu wenu mwingine mumtakaye
Tutaamini pale na sisi tutakapoenda alipoenda tukiwaacha ninyi mkiishi milele na milele!
 
Tutaamini pale na sisi tutakapoenda alipoenda tukiwaacha ninyi mkiishi milele na milele!
Sasa si muende now? Kama walivyofanya wafuasi wa Pharaohs Misri? Maana miaka 14 kuishi katika nchi ambayo Rais wake humpendi ni tatizo kubwa kisaikolojia, ni mateso makubwa, bora ujiondoshe mapema
 
Haya mawizara hayawezi kufanya kazi bila maelekezo ya Rais?Halafu unaruhusu vipi biashara ya online currencies huku ukiwa umezifungia media za online transactions kama vile Paypal na Skrills?Hawa CCM wana funza kichwani badala ya akili?
 
Sasa si muende now? Kama walivyofanya wafuasi wa Pharaohs Misri? Maana miaka 14 kuishi katika nchi ambayo Rais wake humpendi ni tatizo kubwa kisaikolojia, ni mateso makubwa, bora ujiondoshe mapema
Na wewe utabaki milele? Pumbavu!!
 
Haya mawizara hayawezi kufanya kazi bila maelekezo ya Rais?Halafu unaruhusu vipi biashara ya online currencies huku ukiwa umezifungia media za online transactions kama vile Paypal na Skrills?Hawa CCM wana funza kichwani badala ya akili?
Atazifungua tu
 
Cryptocurrency ni pesa ya elon musk mvuta bangi wa tesla company na yeye kikataa mwezi jana tu. Mama amesoma kwa taarifa za mitandaoni kaanza kudemka na yeye.Urais ni taasisi hilo wataalamu wa uchumi watamkatalia , hata US , baba wa ubepari ameikataa na China ameikataa. Kwa jinsi mataifa kama China wanavyochukia na kuumizwa na majivuno ya marekani, kisa dollar yake kuwa ndio inayofanya 70 per cent ya transaction ya biashara duniani, kama bitcoin na cryptocurrency zingekuwa za maana mchina na mrusi na EU wangekuwa wa kwanza kuipitisha.
 
Mama naye ameanza kudemka kwakutaka kudandia mambo anatakiwa awaulize wataalam kwanini sheria imekataza kabla ya kutoia tamko na kujichanganya kwenye biashara za kitapel na sina hakika kama ana A,b, c za hicho anacho kiongelea hahahah hiyo nisawa na q-net tuu...Mama anaweza kuwa ameambiwa tuu na mtu na uzuri wamemgundua sio mfatiliaji na msomaji.....
Lakini yeye ndio Rais acha ademke nayo
 
Cryptocurrency ni pesa ya elon musk mvuta bangi wa tesla company na yeye kikataa mwezi jana tu. Mama amesoma kwa taarifa za mitandaoni kaanza kudemka na yeye.Urais ni taasisi hilo wataalamu wa uchumi watamkatalia , hata US , baba wa ubepari ameikataa na China ameikataa. Kwa jinsi mataifa kama China wanavyochukia na kuumizwa na majivuno ya marekani, kisa dollar yake kuwa ndio inayofanya 70 per cent ya transaction ya biashara duniani, kama bitcoin na cryptocurrency zingekuwa za maana mchina na mrusi na EU wangekuwa wa kwanza kuipitisha.
Wewe mwenyewe unademka. Aliyekwambia Elon Musk anamiliki crypto hata moja ni nani?
 
Back
Top Bottom