BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Alichoandika ni kweli tupu. Miezi michache iliyopita hawa matapeli waliweza kuhack kampuni
moja ya kusafirisha mafuta USA na kusababisha upungufu mkubwa wa petroli hivyo bei kupanda hadi walipolipwa milioni nne na ushee na walitaka walitoa order kwamba walipwe kwa cryptocurrency. Inadaiwa mwaka jana wamepiga 90 millions na zote walitaka order walio we kwa hiyo currency.
lhttps://www.newsweek.com/darkside-hacker-group-russia-colonial-pipeline-1590352
moja ya kusafirisha mafuta USA na kusababisha upungufu mkubwa wa petroli hivyo bei kupanda hadi walipolipwa milioni nne na ushee na walitaka walitoa order kwamba walipwe kwa cryptocurrency. Inadaiwa mwaka jana wamepiga 90 millions na zote walitaka order walio we kwa hiyo currency.
lhttps://www.newsweek.com/darkside-hacker-group-russia-colonial-pipeline-1590352
Sio kweli marekani wana makampumy mengi sana kuliko nchi nyingi yoyote ubishi nitayataja hapa
Marekani Japan na baadhi ya nchi nyingine zizozo za wanyonge makampuny yao yanatoa hadi Card kama za bank wa members wao fanya utafiti usipotoshe watu