Crypocurrency is here to stay! Nyie wajima bakini na ushamba wenu.Cryptocurrencies imekuwa ina husishwa na,
1)fraud
2) money laundering
3)Bad for environment.
4)….list goes on
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Crypocurrency is here to stay! Nyie wajima bakini na ushamba wenu.Cryptocurrencies imekuwa ina husishwa na,
1)fraud
2) money laundering
3)Bad for environment.
4)….list goes on
Mama naona anaelea kwenye mstari wa uchumi wakufaidisha watu wengiRais Samia Suluhu Hassan hataki Sheria za nchi ziwe kikwazo kwa watanzania kutumia Sarafu za Kimtandao. Ameyasema haya leo wakati anazindua jengo la BoT Tawi la Mwanza.
Hivyo ameitaka BoT kuandaa mazingira ya kisheria na taratibu nyingine ya wananchi kutumia Sarafu za Kimtandao:- mfano Crypto-Currency na Bitcoin.
China juzi juzi imepiga marufuku Cryptocurrencies kutoka na sababu mbali mbali. Tesla nayo imetengua uhamuzi wake wa awali wa kukubali malipo ya crypto.
Crypto inakubalika nchi kama El Salvador ambayo inanuka rushwa!!
Cryptocurrencies imekuwa ina husishwa na,
1)fraud
2) money laundering
3)Bad for environment.
4)….list goes on
Ma bank ya Kibongo nayo yako kama ccm mambo yalishabadilika kitambo mtu unalipigia mzigo Dubai au ununugari Japan kwa BTC unatuma milioni 10 kwa fee ya buku ukiwa kitandni umelalaCrypto currecy ni very volatile wawe makini sio inshu za kukurupukia! Bank zinategemea fees na interest km asset/revenue with crypto currency kama bitcon,litecoin,etherium izo mambo hazipo wajiandae kisaikolojia ila km inchi tunaweza kuencourage matumizi ya blockchain techology coz inapply sehemu nyingi ilanmambo virtual curency yakaja baadae kidogo!
Crypto ndio njia salama ya smugglers,wauza unga, magaidi, kwa nini? Kwa sababu haipo regulated na mamlaka za serikali.Tuwe waangalifu kuiga mambo ya wenzetu bila kufanya utafiti wa kina!!! Je tunajua sababu zinazowafanya magaidi , majangili na hard criminals wengine kupenda kutumia crypto currencies? What is the secret behind these currencies such that even China has put a stop to their use!
Njoo na hoja ukiingia kichwa kichwa kwenye technology kama mganga wa kienyeji utaumbuka kamna una hoja ilete mezaniNimegundua kitu huyu mama ni mwepesi sana kumdanganya sana naona kabisa tunapoelekea vitaruhusiwa vitu ambavyo hata shetani mwenyewe anaviogopa
Una hofu ya mabadiliko tu mkuu. I.e Fear of the unknown.Nimegundua kitu huyu mama ni mwepesi sana kumdanganya, naona kabisa tunapoelekea vitaruhusiwa vitu ambavyo hata shetani mwenyewe anaviogopa
Hii awamu ya sita mzee we bado unamkumbuka mwendazake tu.Ametisha sana mama ktk hili.
Siyo kama mwendazake alikaa kizamadamu sana yule.
Mama asikimbilie hayo mambo, bado machanga sana na bado yako volatile sana. Nchi nyingi zilizoendelea bado hazijaruhusu hizo currency so hakuna haja ya kukimbilia.
Bitcoin yule jamaa wa Tesla Elon akiongea vibaya inaporomoka thamani, akiongea vizuri inapanda thamani, sasa currency gani iko weak namna hiyo inategemea kauli za wavuta bangi kama wale😂?
Hayo madude unaweza kulala tajiri ukaamka maskini kwa matamshi ya mtu.Mama asikimbilie hayo mambo, bado machanga sana na bado yako volatile sana. Nchi nyingi zilizoendelea bado hazijaruhusu hizo currency so hakuna haja ya kukimbilia.
Bitcoin yule jamaa wa Tesla Elon akiongea vibaya inaporomoka thamani, akiongea vizuri inapanda thamani, sasa currency gani iko weak namna hiyo inategemea kauli za wavuta bangi kama wale😂?
China juzi juzi imepiga marufuku Cryptocurrencies kutoka na sababu mbali mbali. Tesla nayo imetengua uhamuzi wake wa awali wa kukubali malipo ya crypto.
Crypto inakubalika nchi kama El Salvador ambayo inanuka rushwa!!
Unajua falsafa za hizi kitu au unadandia train kwa mbele..?Uwoga na michakato michakato hii imetuchelewesha sana ndugu zangu (in mwendazake's voice)
Sio kweli marekani wana makampumy mengi sana kuliko nchi nyingi yoyote ubishi nitayataja hapaCrypto ndio njia salama ya smugglers,wauza unga, magaidi, kwa nini? Kwa sababu haipo regulated na mamlaka za serikali.
Marekani pamoja na kwenda mbali kiuchumi na technology hawatathubutu kuruhusu crypto. Hapa mama awe makini
Technology gani hapo unazungumzia ??? Nitajie nchi moja tu ambayo wameikubali hyo Bitcoin kuwa legal tender zaidi ya El Salvador? Kila nchi hawataki hayo mambo ya cypto unadhani ni wajinga mama yenu ndo anakili sana?Njoo na hoja ukiingia kichwa kichwa kwenye technology kama mganga wa kienyeji utaumbuka kamna una hoja ilete mezani