Rais Samia: BoT wajiandae kuruhusu Crypto-Currency

Rais Samia: BoT wajiandae kuruhusu Crypto-Currency

Sawa Mkuu, kwahiyo kumbe ukiwa na PayPal account huwezi pokea pesa ukiwa Bongo si ndio? Yaani account unakuwa nayo ila kwenye kupokea pesa ndio haiwezekani? Naomba unieleweshe zaidi, maana mie nachofahamu ni kuwa, kuna PayPal account na Bank account unayoweza link na PayPal account. Unaweza kuwa na pesa kwenye PayPal account na bado usitake kuzihamisha pesa kwenda kwenye Bank account.
Uwezi kupokea pesa ukiwa bongo japokua Safaricom ya Kenya unapokea

PayPal kufanya malipo nilazima ulink card ya bank au taasisi za kifedha card yenye uwezo wa kufanya malipo online kama visa au MasterCard

Uspo link na card ya bank au kampuni ya simu au Taasi za kifeha unaweza kupokea pesa kama umefungulia account yako ya PayPal nje ya bongo kwenye nchi zinazopokea pesa lakini bado uwezi kuzitoa kwasabu gate way ni card ya bank labda uzifanyie manunuzi ju kwa juu au nunue btc online kisha uziuze
 
Ndo hivyo badilika mkuu
China juzi juzi imepiga marufuku Cryptocurrencies kutoka na sababu mbali mbali. Tesla nayo imetengua uhamuzi wake wa awali wa kukubali malipo ya crypto.

Crypto inakubalika nchi kama El Salvador ambayo inanuka rushwa!!
 
mpuuzi sana wewe/ you know nothing where the world is heading to '
Mama asikimbilie hayo mambo, bado machanga sana na bado yako volatile sana. Nchi nyingi zilizoendelea bado hazijaruhusu hizo currency so hakuna haja ya kukimbilia.

Bitcoin yule jamaa wa Tesla Elon akiongea vibaya inaporomoka thamani, akiongea vizuri inapanda thamani, sasa currency gani iko weak namna hiyo inategemea kauli za wavuta bangi kama wale[emoji23]?
 
Kama una miliki line ya voda inabidi wakutoe kwenye huduma ya mpesa maana you dont believe in technology,nenda kapange foleni bank
Mama asikimbilie hayo mambo, bado machanga sana na bado yako volatile sana. Nchi nyingi zilizoendelea bado hazijaruhusu hizo currency so hakuna haja ya kukimbilia.

Bitcoin yule jamaa wa Tesla Elon akiongea vibaya inaporomoka thamani, akiongea vizuri inapanda thamani, sasa currency gani iko weak namna hiyo inategemea kauli za wavuta bangi kama wale[emoji23]?
 
Ametisha sana mama ktk hili.

Siyo kama mwendazake alikaa kizamadamu sana yule.
Dah! kuna binadamu mmekosa shukrani,aliyekuambia kila kitu kitafanywa na JPM ni nani?unajuaje maamuzi ya SSH kwenye hili ni mawazo ya mtangulizi wake?
pengine wakati ulikuwa haujafika kwa mwendazake kulitolea maamuzi na hasa ukizingatia kuwa kifo nacho akibishagi hodi,sio kila jambo utafute wa kumlaumu😎
 
Hahhahahahahahaaha jamani jamii forum ina watu vichwa humu ndani daaah ///umenichekesha Sana,ubarikiwe sana huko uliko mkuu
Hi

wana ccm kutoa raisi wanapenda analog kwasabu ya ulasimu na wizi na Ndio maana na wachukia wanarudisha maendeleo nyuma

Mtu anayependa mifumo ya kizamani anaweza kuwa nchawi anataka watu wapange foleni ili atupie majini

ukiangalia bajeti zao na mawazo yao ya ki analogia ukiwaambie turushe satellite kwajili ya mawasiliano wazee wana analog wataanza ku google na kuliza hiyo satellite inabeba watu wangapi wanafikiri ni bomba dia hawa jamaa akili zao wanazijua wao
 
Hebu acha kuandika upuuzi!!!! Kama hujui chochote kuhusu kushuka kwa hii currency JIONGEZE!!! Lini ulisikia dollar inashuka kwa 50%?
😳😳😳
In April, 2021 was looking to be a banner year for digital assets, with bitcoin having topped $60,000 for the first time ever. But a recent plunge in crypto prices has shaken confidence in the market. Bitcoin sank to nearly $30,000 last month, and is currently down roughly 50% from its all-time high.

The digital currency is now up only about 12% since the start of the year, though it's still more than tripled in price from a year ago.
Kupanda na Kusha nikawaida hata dolla upanda na kushuka kulingana na demand


Kuhusu utapeli iko hivi kwanfano matepili waweza kuingi kwenye Database ya system ya bank kisha wanatia password yao nakuweka ujumbe kwamba mkitata tuachilie system yenu tuma bilioni moja kwenye Address hii ya btc tuachie system yenu isipungue hata mia

Kisha wanakaa kimya wanajua bank wakipoteza saa moja bila kutoa huduma usumbufu utakua nkubwa sana lazima bank itatuma hicho kiasi cha pesa

Baada ya kutuma vyombo vya ulinzi na usalama waneza ku track na kupata IP address ya mpokeaji kama hatumii VPN

Swalilangu kati ya VPN na sarafu kipi ni kikwakozo kwa mpelelezi?

Wakiweza kuzuia matumizi ya VPN nadhani utakuwa mwisho wa utapeli kwa kutumia sarafu

Bongo mtu anaenda kwa wakala anasajili line kwa alama za vidole anajilipua na kutepeli watu kila siku na pokea msg za tuma kwenye namba hii hawa nao Vipi wanatumia sarafu?
 
Mwache AKURUPUKE tu!!
Nimegundua kitu huyu mama ni mwepesi sana kumdanganya, naona kabisa tunapoelekea vitaruhusiwa vitu ambavyo hata shetani mwenyewe anaviogopa
 
Why do we need another BoT office in Mwanza again? Someone help clarify this on behalf of the JF massses.

Ukitoa USA ambayo in offices NY (which is pretty much a private bankers association), DC (the main government CB which influence policies) and in another in Philadelphia (if I am not mistaken, forgotten what it really does) complicated kwa kwa siasa zao za lobbying kuelezea hizo mbili za ziada zina shughuli gani; other than US who else has more than one Central Bank office outside their capital city.

Someone in the HR department za serikali aliyetoa kibali na BoT alietoa suggestion ya kujengwa office mpya they are not qualified.

Get qualified people to run the central banks;the whole thing is pathetic and adds to unnecessary government expenditures.
 
We bado kweli unataka kufananisha utapeli wa Bongo na hawa matapeli wanaotaka kulipwa kwa hiyo currency? 😅😅😅😅😅 JIONGEZE siyo rahisi kama unavyotaka kudanganya watu humu.
Kupanda na Kusha nikawaida hata dolla upanda na kushuka kulingana na demand

Kuhusu utapeli iko hivi kwanfano matepili waweza kuingi kwenye Database ya system ya bank kisha wanatia password yao nakuweka ujumbe kwamba mkitata tuachilie system yenu tuma bilioni moja kwenye Address hii ya btc tuachie system yenu isipungue hata mia

Kisha wanakaa kimya wanajua bank wakipoteza saa moja bila kutoa huduma usumbufu utakua nkubwa sana lazima bank itatuma hicho kiasi cha pesa

Baada ya kutuma vyombo vya ulinzi na usalama waneza ku track na kupata IP address ya mpokeaji kama hatumii VPN

Swalilangu kati ya VPN na sarafu kipi ni kikwakozo kwa mpelelezi?

Wakiweza kuzuia matumizi ya VPN nadhani utakuwa mwisho wa utapeli kwa kutumia sarafu

Bongo mtu anaenda kwa wakala anasajili line kwa alama za vidole anajilipua na kutepeli watu kila siku na pokea msg za tuma kwenye namba hii hawa nao Vipi wanatumia sarafu?
 

Crypto crackdown​

A number of issues are weighing on cryptocurrencies, including fears of a regulatory clampdown and recent tweets from Tesla CEO Elon Musk.
Chinese authorities last month called for a crackdown on crypto mining and trading. Once a major player in the market, China has since moved to stamp out speculative investment in cryptocurrencies, banning a fundraising method known as initial coin offerings and shuttering local exchanges.
Meanwhile, Elon Musk has gone from a supporter of bitcoin to seemingly falling out of love with it in a matter of months. Musk's electric car firm stopped accepting bitcoin as a payment method last month due to concerns over its environmental impact, resulting in a crypto market sell-off.
"Bitcoin bulls have been chastened by the market pull back and perhaps are feeling once bitten, twice shy," Charles Hayter, CEO of digital currency data firm CryptoCompare, told CNBC.

"The euphoria has worn off to some extent in the retail frenzy, as regulators have moved to temper manias," he added. "Data is showing continued cornering of the market by institutionals."
Kupanda na Kusha nikawaida hata dolla upanda na kushuka kulingana na demand


Kuhusu utapeli iko hivi kwanfano matepili waweza kuingi kwenye Database ya system ya bank kisha wanatia password yao nakuweka ujumbe kwamba mkitata tuachilie system yenu tuma bilioni moja kwenye Address hii ya btc tuachie system yenu isipungue hata mia

Kisha wanakaa kimya wanajua bank wakipoteza saa moja bila kutoa huduma usumbufu utakua nkubwa sana lazima bank itatuma hicho kiasi cha pesa

Baada ya kutuma vyombo vya ulinzi na usalama waneza ku track na kupata IP address ya mpokeaji kama hatumii VPN

Swalilangu kati ya VPN na sarafu kipi ni kikwakozo kwa mpelelezi?

Wakiweza kuzuia matumizi ya VPN nadhani utakuwa mwisho wa utapeli kwa kutumia sarafu

Bongo mtu anaenda kwa wakala anasajili line kwa alama za vidole anajilipua na kutepeli watu kila siku na pokea msg za tuma kwenye namba hii hawa nao Vipi wanatumia sarafu?
 
Yaani mi niwe na cash halisi/ benki halafu kuna jamaa naye anashinda mitandaoni kwa magumashi mara uit wake then heti inatambulika rasmi!!
Tunahitaji elimu zaidi hili tuwe na common understanding kwanza.
Yule mzee wa Namanyere aliyetumiwa smartphone na kijukuu chake nani alimfunza kuchat whatsapp?
 
Alikuwa hajaevolve bado to Homosapiens, kuna viumbe katika same species huwa wanachelewa kuevolve, Alikuwa bado Homohabilis
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom