Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes upo sahihi, IT hata kitaa wapo wengi wazur, tatizo huko serikalini wengi ni incompetent ndo maana wanaogopa sana technology mpya kwa sababu hawataweza kui counter attack, angalia mfano wa matumizi ya VPN hapa kwetu.IT sio lazima kutumia wakwetu wako online wanatengeneza wallet za btc kwenye website gate ways kwa mda nfupi mno
Police watajua tu kulingana na mazingira na vigezo vya kuajiri inabidi wapitie upya
Hii sarafu haina location mkuu tusipotezaneUmefungua kwa location ya TZ? Au details za nje?
sasa km taarifa km hizi unakua hujazipata wkt mama kasema openly, ss kwenye internet unafatiliaga nini! Porn?Kumekuwa na tabia ya watu kupindisha maneno ya Samia na Viongozi wengine!
Weka nukuu ya alichosema au link?
Hii niliuliza Jumapili ilikuwa ni muda sio mrefu tangu Samia aliposema. Ilikuwa bado haijaenea hata vyombo vya habari hapa Tanzania vilikuwa bado havija andika. Nadhani huyu aliyeleta hii thread ndio alikuwa kwanza kuandika!sasa km taarifa km hizi unakua hujazipata wkt mama kasema openly, ss kwenye internet unafatiliaga nini! Porn?
Uwe unasikiliza vizuri kabla hujacomment! Alisema wafuatilie mambo yanavyokwenda hakusema tuanze kutumia digital currency!Mama Rais wangu Samia Suluhu, mambo ya digital Currency tusikimbilie kwanza, ni fedha ambazo ni very unstable, leo unaamka iko juu, kesho mwenye share kubwa kafa au kasema negative about future hela inashuka kama upepo.. Tusikimbilie kabisa
Tuanze kutumia malangapi waka inauzwa hapa tangu 2008 watu wanatumia kawaidaUse
Uwe unasikiliza vizuri kabla hujacomment! Alisema wafuatilie mambo yanavyokwenda hakusema tuanze kutumia digital currency!
Mmh hata saizi zinafanya kazi ingia kwenye Company yoyote yakuuza btc jisajili ukikamilisha usajili na wallet yako inakua tayariKwa maana hiyo Wallet nazi zitaanza kufanya kazi...
Bongo ni bahati mbaya kwa kweli! Dogo Fernandez wa Nala alipata usajili kenya na uingereza lakini bongo wakamkatalia.Mama naona anaelea kwenye mstari wa uchumi wakufaidisha watu wengi
Nikipata nafasi ya kukutana yae nitanshauri mambo mengi sana mazuri hasa kwenye upande wa wajasiriamali
Pesa za kigeni tunazikosa Kwasabu ya uzembe wa viongozi wa ccm kutokuwa wabunifu kwa muda mrefu
Kwanfano dunia iko kwenye e-commerce tuna weza uza bidhaa zetu kama mazao Madini na vitu kibao kwanjia ya online kupita EMS Posta nakupata pesa za kigeni lakini kuna vikwazo vya kufa mtu
Bidhaa zandani pia serekali inabidi sera na mipango inayokwenda na wakati watu wanatoka kwenye nfumo wa kuuza bidhaa madukani kuhamia kwenye maduka ya online Dunia iko huko kitambo
It's new world order hutaki unataka lazima utakuja kutumia crypocurrencyNimegundua kitu huyu mama ni mwepesi sana kumdanganya, naona kabisa tunapoelekea vitaruhusiwa vitu ambavyo hata shetani mwenyewe anaviogopa
Hakuna mfanyabiashara makini au anayefanya biashara zake kihalali akakubali malipo ya haya mafedha mtandao leo ukiuliza hyo bitcoin mwenyewe au founder ni nani wanasema ni Satoshi Nakamoto yupo wapi hakuna anayejua sasa kama mwanzilishi kajificha hyo ni biashara halali kweli?
China tells banks to stop supporting Cryptocurrency
SOURCE: China tells banks not to support cryptocurrency - BBC News
Bitcoin falls on China crackdown, Death Cross formation
SOURCE: Investing
Kwani watoa Rushwa wanatumia Crypto-currency kutoa Rushwa? Hayo ni mawazo yako tu...China juzi juzi imepiga marufuku Cryptocurrencies kutoka na sababu mbali mbali. Tesla nayo imetengua uhamuzi wake wa awali wa kukubali malipo ya crypto.
Crypto inakubalika nchi kama El Salvador ambayo inanuka rushwa!!
China ndio role model wenu pumbavu , China is a surveillance Caged hell hole
China sio kwamba walishuku crypto currencies kuna kitu kinaitwa mining ni sehemu ndogo ya crypto acha kukariri mambo someni ccm kuelewa hii kitu vizuri si chini ya miaka 3 acha uvivu wa kusomaSisi pumbavu were mshenzi!! Wenye fedha wakina Elon Mask nao pia wamezishtukia crypto currencies!!! Sio vizuri kuiga TEMBO mwisho wake unaweza kuwa mbaya! Learn to be cautious.
Wewe mbwiga hujasema lolote la maana hapo; kama China hawakushuku walifanya nini na hicho kitu unachoita kidogo?China sio kwamba walishuku crypto currencies kuna kitu kinaitwa mining ni sehemu ndogo ya crypto acha kukariri mambo someni ccm kuelewa hii kitu vizuri si chini ya miaka 3 acha uvivu wa kusoma
China alichofanya ni kuzuia cryptocurrency mining. Lakini sio crypto sina muda wa kukuelezea Crypto Mining ni nini katafute vitabu usome. Sio unabishana vitu ambavyo huvijui.Wewe mbwiga hujasema lolote la maana hapo; kama China hawakushuku walifanya nini na hicho kitu unachoita kidogo?
ccm kila kitu wako nyuma kwasabu ya uvivu wakusoma, hawa watu ukiwaambia matumizi ya satellite watakubia ya kazi gani bomba dia zinatosha wanashindwa kutofauti satellite na ndege unategemea nini crypto si unawaoteza kabisaChina alichofanya ni kuzuia cryptocurrency mining. Lakini sio crypto sina muda wa kukuelezea Crypto Mining ni nini katafute vitabu usome. Sio unabishana vitu ambavyo huvijui.