Rais Samia: BoT wajiandae kuruhusu Crypto-Currency

Rais Samia: BoT wajiandae kuruhusu Crypto-Currency

Dude is manipulating this market.
507B1B10-2497-4262-B478-6E9335D68737.jpeg
 

Musk says Tesla will accept bitcoin again as crypto miners use more clean energy​

Tesla CEO Elon Musk on Sunday said the company will resume bitcoin transactions once it confirms there is reasonable clean energy usage by miners.

"When there's confirmation of reasonable (~50%) clean energy usage by miners with positive future trend, Tesla will resume allowing bitcoin transactions."

Musk was reacting to comments from Magda Wierzycka, CEO of South African asset manager Sygnia, who said that Musk's tweets on bitcoin prices were "market manipulation" and should have triggered an investigation by the U.S. Securities and Exchange Commission.

Tesla revealed in an SEC filing in February that it purchased $1.5 billion worth of bitcoin and said it would begin accepting bitcoin as a payment method for its products.

However, the electric-car maker halted car purchases with bitcoin in mid-May due to concerns over how cryptocurrency mining, which requires banks of powerful computers, contributes to climate change.
"We are concerned about rapidly increasing use of fossil fuels for Bitcoin mining and transactions, especially coal, which has the worst emissions of any fuel," Musk said in May.

On Sunday, Musk disputed Wierzycka's allegations of market manipulation, explaining, "Tesla sold roughly 10% of its bitcoin holdings "to confirm BTC could be liquidated easily without moving market," he said. During the first quarter, Tesla sold $272 million worth of "digital assets," which helped it reduce operating losses by $101 million, the company revealed in its earnings statement.

Source: CNBC
 

Musk Denies Bitcoin ‘Pump And Dump’—And Says Tesla Will Resume Transactions Once This Mining Goal Is Reached​

Source: Forbes
 
Rais Samia Suluhu Hassan hataki Sheria za nchi ziwe kikwazo kwa watanzania kutumia Sarafu za Kimtandao. Ameyasema haya leo wakati anazindua jengo la BoT Tawi la Mwanza.

Hivyo ameitaka BoT kuandaa mazingira ya kisheria na taratibu nyingine ya wananchi kutumia Sarafu za Kimtandao:- mfano Crypto-Currency na Bitcoin.

SOMA PIA:

1) BoT yazuia matumizi ya pesa ya kidigitali (Cryptocurrency)

2) BoT yawaonya wanaojihusisha na fedha za kimtandao, yakana kuhusika nazo

3) Gavana wa BoT, Benno Ndulu: Watanzania wanatakiwa kuwa makini na hatari inayoambatana na fedha za kidigitali

Hiyo ni kama desi ile ya kupanda mbegu. Haina regulators wala laws. Ipo ipo tu kupiga watu. Ukiangalia kwenye financial or debt markets huioni. Ile ni kamali fulani hivi.
 
1Bitcoin=$35,6000
1Bitcoin=Tsh 77 milioni

Naomba nijuze thamani 1 ya QNET= Dollar kiasi gani?

Naomba nijuze ili nipate QNET 1 natakiwa niwe Tsh kiasi gani?
Je hiyo milioni 77 nikitaka kuwa nayo mkononi nafanyaje?

Si lazima nitafute mtu nimuzie ili mimi nipate keshi? Asipopatikana.?

Mimi ni mwana forex ila hii bitcoin sitaki hata kuifuatilia.
 
SSH Wacha mihemuko BTC moja thamani yake ni zaidi ya USD elfu 30 na ushee. Kazania BOT waweke gold reserve kitu ambacho kina thamani sio hii speculation ya matajiri uchwara. Vile vile tunachubiri mrejesho wa makusanyo ya kodi ya kila mwezi.
 
Kupanda na Kusha nikawaida hata dolla upanda na kushuka kulingana na demand

Kuhusu utapeli iko hivi kwanfano matepili waweza kuingi kwenye Database ya system ya bank kisha wanatia password yao nakuweka ujumbe kwamba mkitata tuachilie system yenu tuma bilioni moja kwenye Address hii ya btc tuachie system yenu isipungue hata mia

Kisha wanakaa kimya wanajua bank wakipoteza saa moja bila kutoa huduma usumbufu utakua nkubwa sana lazima bank itatuma hicho kiasi cha pesa

Baada ya kutuma vyombo vya ulinzi na usalama waneza ku track na kupata IP address ya mpokeaji kama hatumii VPN

Swalilangu kati ya VPN na sarafu kipi ni kikwakozo kwa mpelelezi?

Wakiweza kuzuia matumizi ya VPN nadhani utakuwa mwisho wa utapeli kwa kutumia sarafu

Bongo mtu anaenda kwa wakala anasajili line kwa alama za vidole anajilipua na kutepeli watu kila siku na pokea msg za tuma kwenye namba hii hawa nao Vipi wanatumia sarafu?
😂😂😂 ukifanya malipo kwa njia Cypro huwezi kumtambua unayemtumia never na huwezi kum track mahali alipo hata utumie ma CIA 😂😂😂 hutamkamata

Kwanza unajua namna malipo yake yalivyo?
 
Mimi ni mwana forex ila hii bitcoin sitaki hata kuifuatilia.
Lkn nadhani mama ameitaja tu Bitcoin na crypto currency kama mfano. Alimaanisha sarafu mtandao kwa ujumla
 
kwa watanzania ambao bado wanatuma pesa ktk namba hiii....halafu unaleta mambo ya crypto hahaaaa...
 
😂😂😂 ukifanya malipo kwa njia Cypro huwezi kumtambua unayemtumia never na huwezi kum track mahali alipo hata utumie ma CIA 😂😂😂 hutamkamata

Kwanza unajua namna malipo yake yalivyo?
Natumia Hii sarafu tangu 2010 hadi leo btc moja ikiwa sawa na m.2 Tzs nimefanya naendelea kufanya transactions nyingi sana kutuma na kupokea Kama unataka ligi sina muda wakubisha na mtu

Kama unataka kujua kuhusu Hii sarafu njoo na fact

Hii sarafu uwezi rudisha nyuma
Haina Central bank basi
Unaweza ku track na kupata IP address ya wallet ya mpokeaji kama mtu kajisahau kutumia VPN

Kuhusu kumtambua mtu au Company sawa kuna baadhi ya wallet zinatoa majina kabla ya kufanya maliko kwanji ya ku scan QRCode ukitumia njia copy na past address ningumu kuonyesha jina kama ni mtu au Company
 
Back
Top Bottom