Rais Samia CCM watoe amri mfumo wa PEPMIS usimame kwanza mpaka pale mtandao wao utakapokuwa na nguvu

Rais Samia CCM watoe amri mfumo wa PEPMIS usimame kwanza mpaka pale mtandao wao utakapokuwa na nguvu

We utakuwa mwalimu tuu eti toa kauli kesho🤣. Utakuta ela ya bando huna kamshahara kameisha hata June haijaanza😭😭.
Hii nchi tatizo kuubwa kwako unaona ni pepomis sio?
 
Watakwambia Maendeleo hayana Chama. Kiufupi serikali Ina mifumo mingi isiyo na tija na isiyofanya kazi. Naonaga ni miradi ya wajanja wachache kupiga hela za kuanzisha mifumo isiyo na tija.

Watumishi hasa walimu wana ESS ambayo ndani yake una PEPMIS, wana mfumo wa TSCMIS, mifumo yote miwili naona kama ina lengo moja.


Ni Upigaji mtupu.
Kama ukiwa registered na mfumo inakatwa hela basi tuseme ccm oyee
 
Upo sahihi sana Tatizo jingine ni Watumishi wa pale UTUMISHI kujiona miungu watu na kutisha tisha watumishi. Kwani hawawezi kufanya kazi bila vitisho??

Huu Mfumo wa PEPMIS ni kama walikurupushwa ila kiukweli haujakamilika, Pia haupo realistic ni rahisi watumishi kudanganya kuhusu majukumu yao na kuya upload na wasijue.
 
Yaan kinachotafutwa ni kuwanyima watumishi haki zao tu. Soon utasikia no promotion kama hujajaza pepmis
 
CCM ni chama chama wakulima na wafanyakazi, lazima kiwasemee watu hawa. Ni wapiga kura wake.

Katika pitapita zangu mitaani, ni hofu imetanda miongoni mwa watumishi wa umma.

Watumishi wa umma wamewekewa mfumo wa kutathmini kazi zao, na wanatakiwa wajaze taarifa zao humo.

Kwa mujibu wa watumishi walio wengi, mtandao huo haupatikani kabisa, na watumishi wanatishiwa kutolipwa mishahara kwa uzembe ambao hawahusiki.

Chama cha Mapinduzi kiwasemee watumishi hawa, mfumo usimame mpaka pale serikali itakapotatua tatizo la mtandao.

Nchimbi, Katibu Mkuu, usikubali chama kilaumiwe kwa jambo ambalo walioliandaa hawakuwa makini. Toa kauli kesho nchi nzima ijae shangwe.
Lakini nyie si.mnasemaga ccm itawale milele tukipinga mnasema sisi siyo wazalendo.
 
CCM ni chama chama wakulima na wafanyakazi, lazima kiwasemee watu hawa. Ni wapiga kura wake.

Katika pitapita zangu mitaani, ni hofu imetanda miongoni mwa watumishi wa umma.

Watumishi wa umma wamewekewa mfumo wa kutathmini kazi zao, na wanatakiwa wajaze taarifa zao humo.

Kwa mujibu wa watumishi walio wengi, mtandao huo haupatikani kabisa, na watumishi wanatishiwa kutolipwa mishahara kwa uzembe ambao hawahusiki.

Chama cha Mapinduzi kiwasemee watumishi hawa, mfumo usimame mpaka pale serikali itakapotatua tatizo la mtandao.

Nchimbi, Katibu Mkuu, usikubali chama kilaumiwe kwa jambo ambalo walioliandaa hawakuwa makini. Toa kauli kesho nchi nzima ijae shangwe.
Kura za ccm zinapigwa na tume sio wananchi, acha porojo za kijinga.
 
Yaani hakuna PROJECT ya Serikali hii ya chama chakavu huwa inaenda smoothly..full janja janja..DART chali..Ndege chalii..
 
CCM ni chama chama wakulima na wafanyakazi, lazima kiwasemee watu hawa. Ni wapiga kura wake.

Katika pitapita zangu mitaani, ni hofu imetanda miongoni mwa watumishi wa umma.

Watumishi wa umma wamewekewa mfumo wa kutathmini kazi zao, na wanatakiwa wajaze taarifa zao humo.

Kwa mujibu wa watumishi walio wengi, mtandao huo haupatikani kabisa, na watumishi wanatishiwa kutolipwa mishahara kwa uzembe ambao hawahusiki.

Chama cha Mapinduzi kiwasemee watumishi hawa, mfumo usimame mpaka pale serikali itakapotatua tatizo la mtandao.

Nchimbi, Katibu Mkuu, usikubali chama kilaumiwe kwa jambo ambalo walioliandaa hawakuwa makini. Toa kauli kesho nchi nzima ijae shangwe.
Anakata mtaa Korea.
 
We utakuwa mwalimu tuu eti toa kauli kesho🤣. Utakuta ela ya bando huna kamshahara kameisha hata June haijaanza😭😭.
Hii nchi tatizo kuubwa kwako unaona ni pepomis sio?
Mimi mtendaji wa mtaa
 
CCM ni chama chama wakulima na wafanyakazi, lazima kiwasemee watu hawa. Ni wapiga kura wake.

Katika pitapita zangu mitaani, ni hofu imetanda miongoni mwa watumishi wa umma.

Watumishi wa umma wamewekewa mfumo wa kutathmini kazi zao, na wanatakiwa wajaze taarifa zao humo.

Kwa mujibu wa watumishi walio wengi, mtandao huo haupatikani kabisa, na watumishi wanatishiwa kutolipwa mishahara kwa uzembe ambao hawahusiki.

Chama cha Mapinduzi kiwasemee watumishi hawa, mfumo usimame mpaka pale serikali itakapotatua tatizo la mtandao.

Nchimbi, Katibu Mkuu, usikubali chama kilaumiwe kwa jambo ambalo walioliandaa hawakuwa makini. Toa kauli kesho nchi nzima ijae shangwe.
Huu mfumo ni shida inahitaji watetezi. Watumishi wakisema wanaambiwa wazembe. Sasa hivi wanatishia hawampandishi mtu daraja bila PEPMIS. Cha ajabu kuna taasisi au wizara zimeelekezwa haya mambo katka nusu mwaka. Na maelekezo wala hayalingani, leo jaza hivi, baada ya mwezi hivi. Dah kuna kazi kwenye utumishi wa Uma.
Huu Ni uhuni mwingine Hivi MTU wa Ilagala Kigoma na Kagunga Kigoma Huu mtandao haupo Wala network Hamna, Huyu Ridhione aliona Hilo?? Hawa wanaishi mijini wanawaza kimjini mjini.kwanza Ni uwizi mtupu Huo mfumo..Mama kataza Hilo usiwe mpole Mno na Wewe mama.kuwa mkali Basi.
 
Bora bodaboda unabeba vichwa vyako pesa inaingia, mtu-mishi hana maokoto ana mifumo.
 
Watumishi mishara yap midogo, imeishia kwenye bando
Huu Ni uhuni mwingine Hivi MTU wa Ilagala Kigoma na Kagunga Kigoma Huu mtandao haupo Wala network Hamna, Huyu Ridhione aliona Hilo?? Hawa wanaishi mijini wanawaza kimjini mjini.kwanza Ni uwizi mtupu Huo mfumo..Mama kataza Hilo usiwe mpole Mno na Wewe mama.kuwa mkali Basi.
 
Dah yaani umeongea vizuri sana. Watu wanateseka kazini huko kutoa huduma, halafu unaingiza kitu cha kuwatia hofu tu bila maandalizi.
Majuzi walitoa tangazo la ku-scan vyeti vya shule, kuzaliwa, kuanza kazi, ndoa nk. Iwe imekamilika ndani ya siku 2 la sivyo hupati mshahara. Wenye stationery walipiga pesa balaa. Kila cheti huku kijijini kwetu ilikuwa buku halafu vyeti zaidi ya kumi.
 
Majuzi walitoa tangazo la ku-scan vyeti vya shule, kuzaliwa, kuanza kazi, ndoa nk. Iwe imekamilika ndani ya siku 2 la sivyo hupati mshahara. Wenye stationery walipiga pesa balaa. Kila cheti huku kijijini kwetu ilikuwa buku halafu vyeti zaidi ya kumi.
Siku nyingine utumie hata smartphone kuscan mwenywe hivyo viambatanisho. Dunia ya sasa sio Kila kitu stationery.
 
Huu Ni uhuni mwingine Hivi MTU wa Ilagala Kigoma na Kagunga Kigoma Huu mtandao haupo Wala network Hamna, Huyu Ridhione aliona Hilo?? Hawa wanaishi mijini wanawaza kimjini mjini.kwanza Ni uwizi mtupu Huo mfumo..Mama kataza Hilo usiwe mpole Mno na Wewe mama.kuwa mkali Basi.
Unae muongelea hapa ni mama yupi? Huyu asiye zijua shida au yupi?
 
Back
Top Bottom