Kiufupi huu mfumo wa ESS ni chenga tu.Jana siku ya Alhamis nikiwa Daresalaam, internet full of charge ilinichukua masaa manne hadi kufanikiwa kuufungua.
Ulichosema ni kweli tupu.
Ila nimegundua ukiufungua Jumatatu, Jumanne na Jumatano unafunguka kiurahisi.
Ila sio Alhamis.
Wahusika fanyieni kazi hii changamoto.
Hii ni Daresalama, sijawauliza jamaa zangu wa Mpitimbi.
Mkuu umeona mbali sana and what you're saying makes a lot of sense ingawa ni mapema kuliona hili lakini linaweza kuja kutokea baadaeThat is a delay tactic ambayo hutumiwa na watawala kumnyima mtumishi haki zake,ishu ya kupandishwa madaraja ni km haipo wanatafuta visingizio
Huo ushauri kampe bwanako nawote mfiche makalio yenu mnayotumia kufikiri, unarukaruka kama nimeyapapasa wakati nilomtania hajajali...Jitahidi kuficha uchi wa akili yako mbele za watu. Ebu chukua huu ushauri utakusaidia siku moja. Leo wana JF tumeuona utupu wa kichwa chako kuwa kichwa chako ni cha kuotea nywele tu na umebeba mzigo wa fuvu usio na faida kwako.
Tafadhali bwana mdogo, chukua ushauri huu. Jitahidi kufucha uchi wa akili yako mbele ya jamii.
Ficha huo utupu dogo, hakuna umuhimu wa kutonedha kiwa umebeba fuvu tupu hapo kichwani. Pokea ushauri, nimekuhushauri kwa nia njema tu.Huo ushauri kampe bwanako nawote mfiche makalio yenu mnayotumia kufikiri, unarukaruka kama nimeyapapasa wakati nilomtania hajajali...
I'm done and finish with you stupid toy.
Halafu watumishi hawajapewa posho ya bando, maana wanakaa siku nzima kusaka mtandao, na wengine mpaka siku mbili mfululizoInaonekana hawakujipanga vizuri, Wametengeneza mfumo unaotumia Server resources kubwa kuliko walizo nazo ,
Mfumo mbona ni mrahisi tu na unaeleweka tatizo Ofisi za Umma zimejaa wazee ambao kufungua tu mifumo kwao n mtihani mara aambiwe weka Check no au password wao wanaona Tabu ila mfumo n mrahisi kuliko kutumia Jf app.CCM ni chama chama wakulima na wafanyakazi, lazima kiwasemee watu hawa. Ni wapiga kura wake.
Katika pitapita zangu mitaani, ni hofu imetanda miongoni mwa watumishi wa umma.
Watumishi wa umma wamewekewa mfumo wa kutathmini kazi zao, na wanatakiwa wajaze taarifa zao humo.
Kwa mujibu wa watumishi walio wengi, mtandao huo haupatikani kabisa, na watumishi wanatishiwa kutolipwa mishahara kwa uzembe ambao hawahusiki.
Chama cha Mapinduzi kiwasemee watumishi hawa, mfumo usimame mpaka pale serikali itakapotatua tatizo la mtandao.
Nchimbi, Katibu Mkuu, usikubali chama kilaumiwe kwa jambo ambalo walioliandaa hawakuwa makini. Toa kauli kesho nchi nzima ijae shangwe.
Umeandika takatakaMfumo mbona ni mrahisi tu na unaeleweka tatizo Ofisi za Umma zimejaa wazee ambao kufungua tu mifumo kwao n mtihani mara aambiwe weka Check no au password wao wanaona Tabu ila mfumo n mrahisi kuliko kutumia Jf app.
kwanini ni Takataka ili hali mfumo nautumia kila siku na idara niliyopo Tunasubmitt report bila shida.Umeandika takataka
Mfumo unakubali saa 11 alfajiri mpaka saa moja fulani hivi kisha ni mashikolo kwakwenda mbele!
Hapo ndipo Walipofeli.Halafu walitakiwa kuwa na pilot study ya taasisi moja moja au baadhi, kuliko kuqnza kwa wakati mmoja
Simu Janja mnazitumia tu ku-comment humu Jukwaani?? Hamuwezi ku Scan wenyewe???Majuzi walitoa tangazo la ku-scan vyeti vya shule, kuzaliwa, kuanza kazi, ndoa nk. Iwe imekamilika ndani ya siku 2 la sivyo hupati mshahara. Wenye stationery walipiga pesa balaa. Kila cheti huku kijijini kwetu ilikuwa buku halafu vyeti zaidi ya kumi.