Ccm ilishinda wapi wakati walifukuza wote uwanjani wakabaki peke yao na bila hata watazamaji. Chama kiko madarakani kwa zaidi ya nusu karne lakini kinaogopa uchaguzi balaa. Very hopeless indeed.Si ndio waliochagua CCM ikashinda law kishundu au??
Pamoja na wananchi wengine lakini wana CCM ndio walioiachagua ilani ya CCM na kupenda sera zao na ndio maana ikashinda na sasa mama ndio anafanyia kazi ilani hiyo