JERUSALEM 2006
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 527
- 596
- Thread starter
- #121
Kwa maoni yangu mimi katiba mpya inahitajika. Tatizo linakuja mnapotaka ipatikane the way mnavyotaka ipatikane.
Ipatikane kwa mujibu wa sheria tu iliyotungwa, na kufuata muongozo na msingi wa maoni ya wananchi. Sio wana CCM wajipe mandate ya kujitungia katiba yao