Rais Samia chagua upande wa Haki au Dhuluma, huwezi kwenda na vyote

Rais Samia chagua upande wa Haki au Dhuluma, huwezi kwenda na vyote

Hahaha sasa wale mkutano wa kisiasa kwao si wameruhusiwa [emoji23][emoji23][emoji23] hawawezi kufa njaa!!! Ila kitu ambacho wengi hatujui ni kuwa hawa viongozi wa CCM wanafanya kazi kwa welfare ya CCM pia so kila maamuzi ni lazma yawe yanai favour CCM sometime unaeza ona mtu ni katili ila sasa ndio vikaoni humo kaambiwa afanye jambo flani [emoji3] kwa niaba ya chama! Sasa CCM wafanye maamuzi ya kuji self destruct we uliskia wapiii?
Hiyo K Vant ya jana nahisi ilikuwa na upako flani kwako, hilo duka usihame.
 
hivi wewe una akilikweli hivi ungekuwa wewe upo pale madarakani ungeweza kuresign kilahisi namna hiyo eti tu kulinda legacy ya nini hiyo kitu?
Kwa sisi shithole si rahisi lakini kwa wenzetu ni kawaida ku resign pale anapokua hakubaliani na ujinga flani
 
siyo geni kikwete alikuwa kama yeye? mkapa alikuwa kama yeye? mwinyi alikuwa kama yeye? au hao waliyumia katiba gani? hujui unaweza ukaleta hiyo unayotaka na mtawala akafanya anavyotaka? utamfanya nini? yupo madarakani utamfanya nini?
This was my point earlier! Katiba inataka mtu muadilifu wa kuifata,,,asipokuwepo muadilifu hata hio iliofanyiwa maboresho itakuwa haina maana! Na raisi kupewa powers ni ili kuhakikisha nchi inatawalika vyema! Ingekuwa raisi anaweza kufanyiwa fujo jinsi wananchi watakavyo utawala ungefanyikaje sasa? Maraisi wa 4 wa kwanza hawakutaka tu ku exercise hizo extreme powers ila wangetaka wangeweza tu ila Magufuli alizi exercise ndio maana akaonekana mmbaya na hafai ila kwa nchi ilipokuwa imefikia ilibidi tu iwe hivyo! Wenye akili timamu watanielewa!
 
I have a closely friend from the core of the centre. He told me that there were no means to let him survive. As the country lost direction, there were two options ahead. One is "ku di ta" and the other is perishing him. The analysis and evaluation of the options informed the analysts and evaluators that the second option was the best. This was because the first option could put even innocent people into trouble while the 2nd option could not and its effects will be directly to the targeted.

Those who aspire to be leaders especially being national figures, watch out. If you will reach at the point of terrorizing the fate of the nation you will not remain safe. We have organs which are after national interests and not individual interests.
 
This was my point earlier! Katiba inataka mtu muadilifu wa kuifata,,,asipokuwepo muadilifu hata hio iliofanyiwa maboresho itakuwa haina maana! Na raisi kupewa powers ni ili kuhakikisha nchi inatawalika vyema! Ingekuwa raisi anaweza kufanyiwa fujo jinsi wananchi watakavyo utawala ungefanyikaje sasa? Maraisi wa 4 wa kwanza hawakutaka tu ku exercise hizo extreme powers ila wangetaka wangeweza tu ila Magufuli alizi exercise ndio maana akaonekana mmbaya na hafai ila kwa nchi ilipokuwa imefikia ilibidi tu iwe hivyo! Wenye akili timamu watanielewa!
ndugu unafaa hata kuwa mkuu wa wilaya yaani utawala kama utawala lazima hayo yafanyike huwezi kufuata kila analotaka mbowe ufanye la lissu ufanye la nani sijui ufanye utakuwa mtawala wa aina gani?
 
Kwahiyo ndugu ushabadilika sasa???? Kwahiyo mama asisikilize tena matakwa ya watu walio wengi?? Kwa sababu sio wa kweli???[emoji3][emoji3][emoji3]

Hebu tulieni jamani Mama apige kazi

Kwani kwa maoni yako walio wengi ni walioko madarakani?? Au wana CCM?

Kwa takwimu zipi sasa? Zile za polepole na tume ya taifa ya uchaguzi? Au umesahau uchafuzi uliofanywa na tume 2020??

Pleasee!!
 
NIAMBIE HIYO KATIBA MPYA INAKWAMISHAJE MAENDELEO KAMA UNA AKILI UTAFAFANUA LAKINI KAMA UNAFUATA MKUMBO SWALI GUMU SANA NA NDIYO NITAJUWA WENGI MNAFUATA MKUMBO INAKWAMISHAJE MAENDELEO?
Haikwamishi maendeleo ila sio kipaumbele kwa sasa! Ishi humo mzee!!!
 
Kwani kwa maoni yako walio wengi ni walioko madarakani?? Au wana CCM?

Kwa takwimu zipi sasa? Zile za polepole na tume ya taifa ya uchaguzi? Au umesahau uchafuzi uliofanywa na tume 2020??

Pleasee!!
Kwa maoni yangu mimi katiba mpya inahitajika. Tatizo linakuja mnapotaka ipatikane the way mnavyotaka ipatikane.
 
Kwa sisi shithole si rahisi lakini kwa wenzetu ni kawaida ku resign pale anapokua hakubaliani na ujinga flani
safi sana kwahiyo sisi hatujafikia level hiyo inachotubidi ni kukomaa tu na huwezi kusikiliza maneno ya kila mtu kuongoza nchi never
 
Si ndio waliochagua CCM ikashinda law kishundu au??

Pamoja na wananchi wengine lakini wana CCM ndio walioiachagua ilani ya CCM na kupenda sera zao na ndio maana ikashinda na sasa mama ndio anafanyia kazi ilani hiyo

Hiyo kushinda kwa kishindo ni very objective, na kwa leo sio mada.

Mtaani walio wengi sio wana CCM na wengi sio wanachama wa vyama vya siasa. Lakini wengi wana kiu ya mabadiriko
 
ndugu unafaa hata kuwa mkuu wa wilaya yaani utawala kama utawala lazima hayo yafanyike huwezi kufuata kila analotaka mbowe ufanye la lissu ufanye la nani sijui ufanye utakuwa mtawala wa aina gani?
Hahahah wajinga wajinga hawawezi elewa yani! Utawala na uongozi unataka sauti moja yenye mamlaka. Ukitaka kutekeleza mpango pale nyumbani mke anapinga watoto nao wengine wanaafiki wengine wanakupinga mwisho wa siku itakubidi uchague kufanya unachoamini ni sahihi kwa manufaa yenu wote na huo ndio uongozi! Huwezi kuokoteza maoni ya kila mtu ukataka yote uyatekeleze utakuwa kichaa!😂😂😂
 
Hiyo kushinda kwa kishindo ni very objective, na kwa leo sio mada.

Mtaani walio wengi sio wana CCM na wengi sio wanachama wa vyama vya siasa. Lakini wengi wana kiu ya mabadiriko
wewe ndiyo unasema hivyo umefanya sensa gani utuonyeshe kuwa wengi wanataka hayo mabadiriko yako? jisemee mwenyewe usimsemee na mtu mwingine ndiyo maana kura huwaga ni siri kila mtu ana mawazo yake usiseme wengi sema wewe unakiu ya mabadiriko nani mwingine ana kiu mbona mimi sina
 
This was my point earlier! Katiba inataka mtu muadilifu wa kuifata,,,asipokuwepo muadilifu hata hio iliofanyiwa maboresho itakuwa haina maana! Na raisi kupewa powers ni ili kuhakikisha nchi inatawalika vyema! Ingekuwa raisi anaweza kufanyiwa fujo jinsi wananchi watakavyo utawala ungefanyikaje sasa? Maraisi wa 4 wa kwanza hawakutaka tu ku exercise hizo extreme powers ila wangetaka wangeweza tu ila Magufuli alizi exercise ndio maana akaonekana mmbaya na hafai ila kwa nchi ilipokuwa imefikia ilibidi tu iwe hivyo! Wenye akili timamu watanielewa!

Sio lazima kuwa na extreme power ili uwe rais bora. Tuna mifano hai ya marais wanaobanwa na katiba na wanalazimika kufuata sheria regardless of their egoism, so hatuwezi kuwa tunafanya bahati na sibu ili kumpata rais bora, tunahitaji katiba itakayomshape rais aliyeko madarakani awe bora
 
Kwa maoni yangu mimi katiba mpya inahitajika. Tatizo linakuja mnapotaka ipatikane the way mnavyotaka ipatikane.
Wanataka ipatikane kwa jinsi wanavyotaka wao! Yani mtoto akwambia baba ninunulie Play station 5 ghafla na analia na kugala gala hataki kula,,,wakati kuna ada ya kulipa mwezi wa 7 mwanzoni na ndio unajipanga kukusanya hela! You can relate na utoto wa akina Mbowe wanaotaka kuleta!
 
Hiyo kushinda kwa kishindo ni very objective, na kwa leo sio mada.

Mtaani walio wengi sio wana CCM na wengi sio wanachama wa vyama vya siasa. Lakini wengi wana kiu ya mabadiriko
Umejuaje mkuu??? Mimi nimeongea kwa kuangalia sanduku la kura. Je wewe umeangalia nini??
 
I have a closely friend from the core of the centre. He told me that there were no means to let him survive. As the country lost direction, there were two options ahead. One is "ku di ta" and the other is perishing him. The analysis and evaluation of the options informed the analysts and evaluators that the second option was the best. This was because the first option could put even innocent people into trouble while the 2nd option could not and its effects will be directly to the targeted.

Those who aspire to be leaders especially being national figures, watch out. If you will reach at the point of terrorizing the fate of the nation you will not remain safe. We have organs which are after national interests and not individual interests.

Hizo ni porojo tu za vijiweni, acheni uzushi.
Hakuna ambaye angeweza kumuondoa jiwe zaidi ya Mungu.

BTW mada hapa ni kumshauri rais afuate misingi yote ya haki
 
Sio lazima kuwa na extreme power ili uwe rais bora. Tuna mifano hai ya marais wanaobanwa na katiba na wanalazimika kufuata sheria regardless of their egoism, so hatuwezi kuwa tunafanya bahati na sibu ili kumpata rais bora, tunahitaji katiba itakayomshape rais aliyeko madarakani awe bora
Basi tuombe uzima ili itapofikia wakati wa kubadilisha katiba hio raisi atoke kuwa mithili ya simba na apewe umbo la paka 😂😂😂
 
This was my point earlier! Katiba inataka mtu muadilifu wa kuifata,,,asipokuwepo muadilifu hata hio iliofanyiwa maboresho itakuwa haina maana! Na raisi kupewa powers ni ili kuhakikisha nchi inatawalika vyema! Ingekuwa raisi anaweza kufanyiwa fujo jinsi wananchi watakavyo utawala ungefanyikaje sasa? Maraisi wa 4 wa kwanza hawakutaka tu ku exercise hizo extreme powers ila wangetaka wangeweza tu ila Magufuli alizi exercise ndio maana akaonekana mmbaya na hafai ila kwa nchi ilipokuwa imefikia ilibidi tu iwe hivyo! Wenye akili timamu watanielewa!
Tumekuelewa mkuu
 
Back
Top Bottom