Rais Samia chagua upande wa Haki au Dhuluma, huwezi kwenda na vyote

Rais Samia chagua upande wa Haki au Dhuluma, huwezi kwenda na vyote

Sasa wameruhusiwa kwa sheria ipi? Na wasio wabunge wamekatazwa kwa sheria ipi? Embu kuwa wazi kidogo, au tuchue maoni ya rais kuwa sheria? Kwamba kila rais atakeyatamka alichokubaliana na wenzake kiwe sheria???
Sheria ipo mzee ukifungua vizuri kijitabu kilichoandikwa 1977 lazma utaikuta mle aidha amendment lakini itakuwepo! Shida inayofanya wapuuzi wa CHADEMA wanapigwa spana za kisiasa ni kwamba hawana ustaarabu!
 
Nadhani bwege ni wewe usiyejua umuhimu wa katiba, hujui hata rais aliyerithi madaraka ni kwa sababu ya katiba?

Au unatumia nini kufikili???
kwahiyo kurithi wewe imekuuma au ulitaka hiyo katiba mpya izuie kurithi?
 
Ah wapii tulianza kunyoosha nchi sahizi tunajenga uchumi kwanza sio mda wa siasa[emoji23][emoji23][emoji23] na kampeni

Ulianza kunyoosha nani aliipindisha? Chadema au Cuf??

Wewe utakuwa Mlinzi wa Lumumba unahofia mkate wako
 
Nadhani bwege ni wewe usiyejua umuhimu wa katiba, hujui hata rais aliyerithi madaraka ni kwa sababu ya katiba?

Au unatumia nini kufikili???
Natumia matako ila naelewa hilo fika mzee mwenzangu! Katiba ime stipulate kila kitu...na ndio umuhimu wake ulipo ila hata ikija mpya wakapuuza vipengele flani hali itakuwa ile ile tu! Tukubali kutokukubaliana katika hili! Katiba hata ikiwa excellent ila msimamizi akawa mbovu hali itakuwa tete tu!
 
Kuanzia jana mimi na mke wangu tumeanza maombi kwa Mungu ampende zaidi mama kabla hajaturudisha kwenye uongozi kama wa dikteta magufuli
 
NIAMBIE HIYO KATIBA MPYA INAKWAMISHAJE MAENDELEO KAMA UNA AKILI UTAFAFANUA LAKINI KAMA UNAFUATA MKUMBO SWALI GUMU SANA NA NDIYO NITAJUWA WENGI MNAFUATA MKUMBO INAKWAMISHAJE MAENDELEO?

Sasa mm nimesema wapi Katiba mpya inakwamisha maendeleo? Mm ni pro Katiba mpya boss, acha kuchanganya mafile
 
Ulianza kunyoosha nani aliipindisha? Chadema au Cuf??

Wewe utakuwa Mlinzi wa Lumumba unahofia mkate wako
Hahahahah walipindisha akina Aikaeli na genge lake la UKAWA na sasa COVID19 wanaendelea kupindisha ila tumewakaukia tunajenga uchumi kwanza
 
Ukiwa mjinga wa kutupwa huwezi tambua umuhimu wa katiba inayofaa, ni sawa na kujiita mkristo huku hutaki biblia ama kujiita muslim huku hutaki kitabu kitakatifu. Shame on you.
sasa kama una akili hebu sema katibba ya sasa inakosa gani au inakunyoima maendeleo kivipi ukijibu hayo nitakuona una akili ukishindwa nitakuona kama changudoa tu anaye vizia walevi wambandue maana utakuwa hujijui hata unataka nini
 
Sasa mm nimesema wapi Katiba mpya inakwamisha maendeleo? Mm ni pro Katiba mpya boss, acha kuchanganya mafile
sawa twende sawa tutafika tu sasa hihi katiba ya sasa inatatizo gani kubwa kwako mpaka unalazimisha katiba mpya hii ya sasa ina kosa gani?
 
Muda si mrefu na yeye atakuwa kama mtangulizi wake tu. Kwa mbaali madaraka yameshaanza kumlevya.

Ukiwa Kiongozi, halafu ukashindwa kutambua mahitaji ya wale unao waongoza kwa wakati huo, maana yake umeshakuwa failure tayari
Madaraka ni kitu kingine mkuu,

We huoni Mboye ni Mwenyekiti miaka 20 sasa.
 
Uzi wako ni mzuri sana mkuu.

Umemshauri na kunikumbusha Mheshimiwa rais kwa staha na heshima sio kama hawa mapunguani wengine.

Naomba kujuzwa zaidi kwenye hiyo hoja hapo.

Mimi nijuavyo ni kwamba Rais anakuwa na ilani ya chama chake ambayo ndio alioitumia kuwashawishi WANANCHI. Narudia tena mkuu, kuwashawishi WANANCHI wamchague na wala sio wana CCM kama inavyodhaniwa ili wamchague.

Sasa Leo unaposema watu wa kumwambia ukweli rais ni wapinzani wake, hii imekaajee??

Kwahiyo aachane na ahadi (ilani) ya chama?? Ambazo wananchi ndio walizielewa na kumchagua au kukichagua chama chake?? Ili awasikilize wapinzani???

Wanachama walio wengi sio wakweli. Wengi wanayafuta namna ya kunufaka na kiti cha Urais hasa kwa kumfurahisha rais aliyeko madarakani.

Mfano hai, Rais wa sasa ndiye alikuwa mshauri namba moja wa Mtangulizi wake, ndiye alikuwa msaidizi namba moja, lakini wote ni mashahidi kwamba mambo mengi aliyoyafanya mtangulizi wake hakukubaliana nayo, mathalani hakuwahi kumshauri vinginevyo na kama alimshauri akakataa angechukua hatua ya ku resign kulinda legacy yake.

Hivyo basi, kwa nature ya taifa letu watakao sema ukweli kwa manufaa ya taifa ni wale wasiofaidika na uongozi wa kisiasa au teuzi za moja kwa moja za Rais.

Mifano hai ni kutoka kwa mwendazake
 
huo ndiyo ujinga wenu kuna mtu anakula kutokana na mikutano? kunahela inatoka wapi unayogawiwa kwenye mkutano?acheni ujinga

Mikutano inazaa madaraka na mamlaka boss, wabunge, madiwani na rais ni mazao ya shughuli za kisiasa
 
Sheria ipo mzee ukifungua vizuri kijitabu kilichoandikwa 1977 lazma utaikuta mle aidha amendment lakini itakuwepo! Shida inayofanya wapuuzi wa CHADEMA wanapigwa spana za kisiasa ni kwamba hawana ustaarabu!

Nimegundua najibizana na mtu asiyependa kutafiti, wewe ni bendera fuata upepo.

Hakuna sheria inayokataza vyama vya siasa kufanya mikutano ya hadhara. Period
 
Mikutano inazaa madaraka na mamlaka boss, wabunge, madiwani na rais ni mazao ya shughuli za kisiasa
sasa katiba inakuzuia nini kupata ubunge kama watu wanakupenda si watakupa kwani hakuna wabunge wa upinzani bungeni siwapo? na wamepita kwa katiba hihiii
 
Natumia matako ila naelewa hilo fika mzee mwenzangu! Katiba ime stipulate kila kitu...na ndio umuhimu wake ulipo ila hata ikija mpya wakapuuza vipengele flani hali itakuwa ile ile tu! Tukubali kutokukubaliana katika hili! Katiba hata ikiwa excellent ila msimamizi akawa mbovu hali itakuwa tete tu!

Katiba iliyo bora inambana hata msimamizi.
Inamuwajibisha mpaka Rais aliyeko madarakani akishindwa kusimamia baadhi ya mambo kikatiba.

Kwa sasa katiba tuliyonayo ni inafanya marais wawe miungu watu, yani wanajisahau kama na wao watakufa.

Tunataka kayiba itakayo wawajibisha wanasiasa hasa wa ngazi za juu
 
Back
Top Bottom