Kumaniokor tutaelewana tu taratibu wacha tuoneshane makali!
JPM mlimuita kichaa but that muthafucka was straight.Huwezi kufurahisha kila mtu you are not an ice cream! Changes come with pains ila wadanganyika wanataka changes zije smoothly. Katiba ni muhimu ila mkumbuke pia mabadiliko yake yatasababisha maumivu kwa watu flani and you know what,,,
”The ones to suffer ndio walioshikilia mpini and you guys mko kwenye makali”
Sasa ni nani atakubali ku Jeorpadize kesho yake kwa kukufurahisha wewe? [emoji28][emoji28][emoji28] Think Big!!! High stakes are to the advantaged! Subirieni malaika atakae kuwa raisi wa nchi ndio atakaeleta katiba mpya!