Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Bwege huyomahitaji ya chadema ndo mahitaji ya nchi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bwege huyomahitaji ya chadema ndo mahitaji ya nchi?
Kumaniokor tutaelewana tu taratibu wacha tuoneshane makali!
JPM mlimuita kichaa but that muthafucka was straight.Huwezi kufurahisha kila mtu you are not an ice cream! Changes come with pains ila wadanganyika wanataka changes zije smoothly. Katiba ni muhimu ila mkumbuke pia mabadiliko yake yatasababisha maumivu kwa watu flani and you know what,,,
”The ones to suffer ndio walioshikilia mpini and you guys mko kwenye makali”
Sasa ni nani atakubali ku Jeorpadize kesho yake kwa kukufurahisha wewe? [emoji28][emoji28][emoji28] Think Big!!! High stakes are to the advantaged! Subirieni malaika atakae kuwa raisi wa nchi ndio atakaeleta katiba mpya!
Kaponzwa nani sasa mimi au nyie na yeye aliye waaminisha kuwa ni mungu wenu mkamuamini Na matumaini yote mkaweka kwake mkiamini sasa mmepata mungu wa dunian matokeo yake kawaacha solembaUsimlaumu, laumu ufisadi wako na wenzio umewaponza.
Andamana basi🤣🤣🤣 mmeambiwa msubirie uchumi ujengwe kwanza, eti “Mama..mama...mama kwa hili hapana!”Acha uduwanzi, katiba kwa taifa lolote imara ndio msingi wa maendeleo kwa taifa kiuchumi na kijamii, sasa nyinyi mlioko madarakani ndio mnakwamisha mchakato huu ili muendelee kufaidika.
Katiba mpya ni lazima aisee.
Ujue rangi yake halisi mara mbili?Hukusikia maagizo aliyotoa?Unajilazimishia kuwa wewe ni tahira?Asante kwa maoni, tunamtaka afuate katiba au la, tujue rangi yake halisi
Ameshaanza kupandisha mabega. Spana ziendelee tu hakuna jinsi nyingineMuda si mrefu na yeye atakuwa kama mtangulizi wake tu. Kwa mbaali madaraka yameshaanza kumlevya.
Ukiwa Kiongozi, halafu ukashindwa kutambua mahitaji ya wale unao waongoza kwa wakati huo, maana yake umeshakuwa failure tayari
Hahahah watu wanategemea mkutano wa kisiasa ndio wale?
Bwege huyo
Hahaha sasa wale mkutano wa kisiasa kwao si wameruhusiwa 😂😂😂 hawawezi kufa njaa!!! Ila kitu ambacho wengi hatujui ni kuwa hawa viongozi wa CCM wanafanya kazi kwa welfare ya CCM pia so kila maamuzi ni lazma yawe yanai favour CCM sometime unaeza ona mtu ni katili ila sasa ndio vikaoni humo kaambiwa afanye jambo flani 😀 kwa niaba ya chama! Sasa CCM wafanye maamuzi ya kuji self destruct we uliskia wapiii?Wengi tu, wakiwemo wabunge wote wa CCM,
Bwege ni wewe ambaye unahisi katiba itakuletea ugali hapo kwakoKwa hiyo Kikwete aliye asisi huu mchakato ni Chadema? Hapa bwege ni nani sasa mimi au wewe?
Andamana basi[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mmeambiwa msubirie uchumi ujengwe kwanza, eti “Mama..mama...mama kwa hili hapana!”
Huyo shwaini angekuwa raisi kwa alivyo mgumu kama wheelspanner sijui kama hata angekubali kuachia madaraka!
Kwa hiyo wananchi wote walioshiriki kwenye mchakato wa kutoa maoni kwa ajili ya Katiba Mpya miaka ya 2012, walikuwa wote ni Chadema!mahitaji ya chadema ndo mahitaji ya nchi?
Umesoma mstari wa mwisho.....What are you implying then, that let her be feared?
Mshauri Mama atende kwa majubi wa matakwa ya wananchi walio wengi na kwa mujibu wa sheria zetu.
We dont need favor nor sympathy from her, we need our rights to be fully exercised.
Ah wapii tulianza kunyoosha nchi sahizi tunajenga uchumi kwanza sio mda wa siasa😂😂😂 na kampeniMiaka 60 madarakani bado mnatengemaza uchumi? CCM ni matapeli na mafisadi wa kudumu?
Semeni mnachohofia, wala sio mambo ya uchumi, mnajua fika kayiba mpya ndio hukumu yenu ya kifo
Hahaha sasa wale mkutano wa kisiasa kwao si wameruhusiwa [emoji23][emoji23][emoji23] hawawezi kufa njaa!!! Ila kitu ambacho wengi hatujui ni kuwa hawa viongozi wa CCM wanafanya kazi kwa welfare ya CCM pia so kila maamuzi ni lazma yawe yanai favour CCM sometime unaeza ona mtu ni katili ila sasa ndio vikaoni humo kaambiwa afanye jambo flani [emoji3] kwa niaba ya chama! Sasa CCM wafanye maamuzi ya kuji self destruct we uliskia wapiii?
NIAMBIE HIYO KATIBA MPYA INAKWAMISHAJE MAENDELEO KAMA UNA AKILI UTAFAFANUA LAKINI KAMA UNAFUATA MKUMBO SWALI GUMU SANA NA NDIYO NITAJUWA WENGI MNAFUATA MKUMBO INAKWAMISHAJE MAENDELEO?Acha uduwanzi, katiba kwa taifa lolote imara ndio msingi wa maendeleo kwa taifa kiuchumi na kijamii, sasa nyinyi mlioko madarakani ndio mnakwamisha mchakato huu ili muendelee kufaidika.
Katiba mpya ni lazima aisee.
Bwege ni wewe ambaye unahisi katiba itakuletea ugali hapo kwako
Uzi wako ni mzuri sana mkuu.Watu wa kukwambia ukweli kuhusu taifa hili, ni wapinzani wako wa kisiasa na wananchi wasio na mamlaka ya kisiasa.
huo ndiyo ujinga wenu kuna mtu anakula kutokana na mikutano? kunahela inatoka wapi unayogawiwa kwenye mkutano?acheni ujingaHakuna aliyemzuia kufanya hizo kazi, kama ambavyo wewe unauza mchicha sokoni kupata kitu, kuna wengine maisha yao yanategemea mikutano na shughuli za kisiasa, na ni haki yao.