Rais Samia chagua upande wa Haki au Dhuluma, huwezi kwenda na vyote

Rais Samia chagua upande wa Haki au Dhuluma, huwezi kwenda na vyote

sasa kama una akili hebu sema katibba ya sasa inakosa gani au inakunyoima maendeleo kivipi ukijibu hayo nitakuona una akili ukishindwa nitakuona kama changudoa tu anaye vizia walevi wambandue maana utakuwa hujijui hata unataka nini

Acha uzwazwa, hivi hujui umungu mtu wa mwendazake umesababishwa na katiba yetu ya sasa?? Au hilo nalo ni geni kwako
 
Tuliwaambia JPM ni the best president, mkabishi. Haya sasa mnajinyatua kurudi taratiiiiibu
He was the worst. Huoni jinsi aliowafunga bila kosa wanavyoachiwa huru? Huoni waliotozwa mifaini isiyo hata na kichwa wala miguu wanaambiwa warudishiwe chao. Huoni DC jambazi aliyekuwa kipenzi chake anavyopata haki yake? He was the worst ever happened in Tanzania. Tumwache mama airudishe nchi kwenye mstari.
 
wacheni mama apige kazi, tunataka pesa hayo mengine baadaye. Maisha bila pesa mjini hayaendi
Kuna wachina walitaka kuwekeza 3 milioni US$ huko Tanga. Kilichotokea ni ujinga wa mkuu wa wilaya kutaka "rushwa" ili atoe go ahead. Taarifa zipo kwa Prof. K. Mkumbo. Wakuu wa Wilaya ni vyeo ambavyo "vinachelewesha" kuwepo kwa pesa nyingi mtaani,kama hujui.
Katiba mpya itaweka utaratibu mzuri wa kuongoza nchi ili kukwepa maujinga ya "kiongozi mmoja mmoja".
 
Acha uzwazwa, hivi hujui umungu mtu wa mwendazake umesababishwa na katiba yetu ya sasa?? Au hilo nalo ni geni kwako
siyo geni kikwete alikuwa kama yeye? mkapa alikuwa kama yeye? mwinyi alikuwa kama yeye? au hao waliyumia katiba gani? hujui unaweza ukaleta hiyo unayotaka na mtawala akafanya anavyotaka? utamfanya nini? yupo madarakani utamfanya nini?
 
Kwa hiyo wananchi wote walioshiriki kwenye mchakato wa kutoa maoni kwa ajili ya Katiba Mpya miaka ya 2012, walikuwa wote ni Chadema!

Uvccm hamjawahi kabisa kumiliki akili!

kushiriki ndo inamaanisha ni preference ya wananchi? 2017 preference za wananchi unajua zilkua zipi na zipi?
 
What are you implying then, that let her be feared?
Mshauri Mama atende kwa majubi wa matakwa ya wananchi walio wengi na kwa mujibu wa sheria zetu.
We dont need favor nor sympathy from her, we need our rights to be fully exercised.
Mkuu, mama anatenda kwa mujibu wa Matakwa ya wananchi walio wengi (wana-CCM).

Au hilo pia ni la kubishana??
 
hivi wewe una akilikweli hivi ungekuwa wewe upo pale madarakani ungeweza kuresign kilahisi namna hiyo eti tu kulinda legacy ya nini hiyo kitu?

Kwa wewe usiyejua uongozi bora hizo ndizo principles za uwajibikaji. Kama hukubaliani na anachofanya mkubwa wako na ukamshauri akakataa then una resign.

Short of that una bear collective responsibilities. Hakuna kumtupia zigo mmoja, kwa sababu wote mliunda serikali moja.

Otherwise, hatuna kiongozi muwajibikaji na ndio maana hasa tuna demand katiba mpya.

Mwinyi(Mzee Ruksa) aliwahi kesign akiwa waziri baadae akapata legacy ya kuwa rais

Tujifunze
 
Tulifikiri kuwa baada ya pombe ni suluhu kumbe majaliwa ya nchi bado ni mpango wa kivuli cha Magufuli!😖😖
 
Itafika hatua hatutaiomba tena hiyo katiba, tutai demand by all means, kwa hiyo kiongozi bora ni yule anayejali waliowengi kwani siku nchi ikiamua atatamani kuruisha siku nyuma.
Kuna mifano mingi ya nchi nyingi

walio wengi ndo chadema?
 
Wanachama walio wengi sio wakweli. Wengi wanayafuta namna ya kunufaka na kiti cha Urais hasa kwa kumfurahisha rais aliyeko madarakani.

Mfano hai, Rais wa sasa ndiye alikuwa mshauri namba moja wa Mtangulizi wake, ndiye alikuwa msaidizi namba moja, lakini wote ni mashahidi kwamba mambo mengi aliyoyafanya mtangulizi wake hakukubaliana nayo, mathalani hakuwahi kumshauri vinginevyo na kama alimshauri akakataa angechukua hatua ya ku resign kulinda legacy yake.

Hivyo basi, kwa nature ya taifa letu watakao sema ukweli kwa manufaa ya taifa ni wale wasiofaidika na uongozi wa kisiasa au teuzi za moja kwa moja za Rais.

Mifano hai ni kutoka kwa mwendazake
Kwahiyo ndugu ushabadilika sasa???? Kwahiyo mama asisikilize tena matakwa ya watu walio wengi?? Kwa sababu sio wa kweli???😀😀😀

Hebu tulieni jamani Mama apige kazi
 
sasa katiba inakuzuia nini kupata ubunge kama watu wanakupenda si watakupa kwani hakuna wabunge wa upinzani bungeni siwapo? na wamepita kwa katiba hihiii

Wewe uko Tanzania kweli?? Au uko Somalia??

Hicho unachosema ni ndoto na hakipo kwa sasa.

Ndio maana tunahitaji katiba mpya
 
Wanaccm wako wengi?

1624953435334.png


una lingine mkuu?
 
Tulifikiri kuwa baada ya pombe ni suluhu kumbe majaliwa ya nchi bado ni mpango wa kivuli cha Pombe!
 
sasa kama una akili hebu sema katibba ya sasa inakosa gani au inakunyoima maendeleo kivipi ukijibu hayo nitakuona una akili ukishindwa nitakuona kama changudoa tu anaye vizia walevi wambandue maana utakuwa hujijui hata unataka nini
Unafikiri mi kasuku? Jinga la kutupwa wewe, nasema hivi huwezi sema wewe ni mkristo huku hutaki biblia ama kujiita muslim huku hutaki kitabu kitakatifu. Full stop na ukitaka nieleze mapungufu ya katiba hii ya sasa utakua umeondoka kwenye ujinga umekua mpumbavu, maana iko wazi hii katiba ya sasa ni shida kwakweli.
 
Wanaccm wako wengi?
Si ndio waliochagua CCM ikashinda law kishundu au??

Pamoja na wananchi wengine lakini wana CCM ndio walioiachagua ilani ya CCM na kupenda sera zao na ndio maana ikashinda na sasa mama ndio anafanyia kazi ilani hiyo
 
siyo geni kikwete alikuwa kama yeye? mkapa alikuwa kama yeye? mwinyi alikuwa kama yeye? au hao waliyumia katiba gani? hujui unaweza ukaleta hiyo unayotaka na mtawala akafanya anavyotaka? utamfanya nini? yupo madarakani utamfanya nini?

Hatuhitaji hisani ya mtu binafsi ili atupe uongozi bora, Kikwete alijiamulia kuwa fisadi, mkapa akaamua kuuza mali za umma, mwinyi yeye hakujua anafanya nn.

Tunataka katiba inayobana viongozi
 
Back
Top Bottom