Kwendraa huko. Kujipendekeza pendekeza tu. Tukija kuchukua nchi nitakusaka weweeThubutu yako. Never underestimate a woman in power. Kwanza amemuonyesha kuwa she can na ndiyo maana mnalia lia kila mahali aachiwe. Kama Mbowe ni mwamba akae kimya asbiri Mahakama. Na hizi Mahakama zilizomhukumu Sabaya na zikaonekana huru, msianze kusema ooh haziko huru sababu ya huyo DJ wenu. And alitoka I swear ataufyata, wacha michezo na Serikali
Kwa busara alio nayo Zito, atapata kigugumizi kujadiri jibu la rais. Btw, the leader is always right.Zitto sijui kama atajibu ama ndo atatulia tulii.
Akijibu ombi la Mheshimiwa Zitto leo kuhusu ombi la kumwachilia Mbowe ili kuweka nchi kwenye mshikamano wa Kitaifa.
Mh. Samia amesema kwanza afuate sheria pili awe na heshima.
Tofauti na tuhuma alizosema huko nyuma wakati akihojiwa na BBC kuwa Mbowe ana tuhuma za ugaidi.
Umejibu bila kysoma sawasawa.Mama ndio wa kumwambia Mbowe afate sheria?
Hivi huyu mama anajua sheria yeyote ya hii nchi kwenye ubongo wake mpaka amuelekeze yeyote yule cha kufanya?
Na Mbowe afate sheria ipi hebu zitajeni?Za ugaidi wakati hajafanya ugaidi ni story za kutunga?Hivi utungaji nao ni sheria?
Unajua mna vichaa
Magufuli. Anaingiaje hapa?? Pambaneni na unafiki wenu na mama yenu .Hivi wajua magufuli alikuwa na infiriority complex za kisukuma?ndizo alizo anzo Samia aise anamuhukumu Mbowe kisa heshima.
Kwani si mkubwa kicheo ?!!!Hivi Samia ana uwezo wa kumzaa Zitto kweli au madaraka yamemlevya? Naona analitumia sana neno mwanangu kujipa ukubwa!!
Kwa maslahi ya kumwumiza kuliumiza Taifa, na kutaka kuonesha kuwa japo anatoka kakisiwa ka jirani, tena mwanamke, bado ana uwezo wa kuwakomesha Watanganyika na wanaume.Je huyu mama ka mfunga mbowe kwa maslai ya taifa au kwa maslai yake yeye mwenyewe kwa kujiona zaifu na kutotaka pressure
Kwa Tanganyika hii tunabahati mbaya sana kuwa na rais ambae anasahau Jana alisema nini na leo atasema nini ?
Cheo cha Urais ndiyo umama wenyewe huo ndugu. ni cheo kikubwa sana kwa katiba yetu ya sasa. kwa hili tuliache ila tujadili content za kile alichokisema kuhusu mh. mbowe.Hivi Samia ana uwezo wa kumzaa Zitto kweli au madaraka yamemlevya? Naona analitumia sana neno mwanangu kujipa ukubwa!!
Mmezianzisha wenyewe kuptia kwa Mahita na kingaiCDM hizi siasa za jino kwa jino hazina afya, hebu kuweni na HEKIMA walau kidogo.
Bila haki utulivu na amani ni ndoto. Binadamu amezaliwa huru na ana haki zake za msingi. Ukimnyima atapambana kuzipata, hata hatima ikiwa ni kwenda kaburini.UTULIVU NA AMANI NDIO NGUVU YETU-mh.Rais SSH
#Siempre JMT
Nashukuru sijui kiswahili ndo maana naandika kwa kiingereza hapa. Hata hivo acha kupindisha maneno, mtu akiiba tunasema hakufuata sheria... mtu akitenda kosa lolote lile ina maana hakufuata sheria... usimlishe Rais maneno ambayo hakusema... suala la kufuata sheria na heshima ni mambo mawili tofauti kabisa aliyoyagusa katika hotuba yake akionyesha msisitizo wa kuheshimu sheria za nchi na watanzania wenzetu... ukienda kinyume chake ndo tatizo.Tatizo wewe hata Kiswahili hujui.
Aliposema kufuata sheria, maana yake ufuate sheria unapofanya mambo yako.
Kwa uelewa wako mdogo, unamaanisha Rais alikusudia kumwambia Mbowe afuate sheria anapotaka kufanya ugaidi?
Ni dhahiri, anamaanisha kuwa Mbowe kuna kitu akifanya, na kwa mawazo yake, hakufuata shwria wala hakumtii. Ndiyo maana tunataka kujua jambo gani alilolifanya Mbowe bila kufuata sheria, na kipi ambacho yeye Samia anaona Mbowe hakumtii.
Hawa watu si wamefoji umri mkuu unaweza kuta yeye kiukweli hakosi miaka 73 na Zitto 48 au 50 hivyo ni sawa kumuita mwananguHivi Samia ana uwezo wa kumzaa Zitto kweli au madaraka yamemlevya? Naona analitumia sana neno mwanangu kujipa ukubwa!!
Huyu mama asifanye mchezo, kuna siku anaweza kuning'nizwa kizimbani, tena wakati akiwa kikongwe.Hii sio Rule of Law hata kidogo. Tabia hii ya watawala wetu kujifanya DPP ni ubatili mtupu na upumbavu mkubwa. Wasipoangalia kuna siku watakuja kuiingiza hii nchi kwenye machafuko yasiyokuwa ya lazima!