HORSE POWER
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 2,238
- 1,577
This country will never be ruled by dogs. Forget about thatKwendraa huko. Kujipendekeza pendekeza tu. Tukija kuchukua nchi nitakusaka wewee
Kwenye uongozi wa Nchi kama Mungu hajapenda huwezi kupata. Acha kumuonea wivu ndiyo Rais wako upende usipende. Akina Lowassa wameutafuta uRais kuanzia mwaka 1995 na wakaenda ndani ya CCM na UPINZANI hawakupata. Hata kama humkubali wewe hayuko hapa kufurahisha nafsi ya Wyatt Mathewson bali kutimiza kazi akiyotumwa na Watanzania.Mkuu
Nadhani huna akili au unazo ila umeamua kutokuzitumia
Kiongozi anatakiwa aweke personal emotions zake pembeni
Hii inadhihirisha kabisa rais na nyie walamba magoti yake ni hamjui mnalolifanya
Yaani wewe unaongoza nchi unachukulia mambo kibinafsi eti humpendi fulani unamfungulia mashitaka hewa ili umfunge sababu tu kakuudhi wewe binafsi yako kwenye moyo wako regardless sheria za nchi?
Yaani mnaipersonalize nchi kua roho binafsi ya mtu?
hii maanae yake hamkustahili kupewa hii nchi ndio maana alipata madaraka kwa bahati mbaya kama ajali baada ya lile taahira kufa!
Ingekua ni kugombea kwa kura ndani ya CCM hata mchuja wa kwanza mama asingepita kokote...Alipata madaraka kwa bahati mbaya kama ajali!Maana ni kwamba yeye sio the most popular au most capable human being ndani ya CCM maana hajawahi pigiwa kura popote ndani ya CCM kugombea chochote!
Huwezi tesa wanadamu wengine sababu umeudhika kwenye moyo wako binafsi...unatunga kesi ili afungwe kuridhisha moyo wako
Ndio tunaita uongozi legelege,roho ndogo,hazifai kupewa madaraka makubwa hivi
Hakuna mahali Mbowe kasema anataka msamaha wa yeyote,hajawahi ongea na yeyote wala kuomba chochote tangu ashikwe.
Na Zitto kuja kujiongelesha hapo ni yeye binafsi Chadema haijamtuma popote....
Unachosikia Chadema mbalimbali wanachosema ni aachiwe bila masharti yeyote maana hana hatia yeyote maana yeye hajafungwa labda useme anaomba msamaha au hiyari ya rais..Aachiwe bila sharti lolote
Mbowe atatoka na utaona mzidi wa CDM
Kuwekwa jela nayo ni issue?Are you serious kweli?Lissu kapigwa risasi 30 hajaona lolote ndio jela ya Mbowe?
Jela ni vacation wewe maiti....
ugaidi sio kuvunja sheria?Kuna maswali muhimu ya kujiuliza
Afuate sheria gani? Kavunja sheria gani?
Amheshimu nani? Ni nani kamkosea heshima?
Kwahiyo kesi yake sio ugaidi tena? Bali ni maswala ya sheria na heshima?
Ww mirungi ya arusha inakuharibu akili....hivi ww unajiona ulikuwa na akili kuliko magufuli mpaka umuite tahira? Huna credibility yoyote ya kusikilizwa kwa kichwa chako kichafu hivi......yaan ww mi mchaga wa hovyo sanaMkuu
Nadhani huna akili au unazo ila umeamua kutokuzitumia
Kiongozi anatakiwa aweke personal emotions zake pembeni
Hii inadhihirisha kabisa rais na nyie walamba magoti yake ni hamjui mnalolifanya
Yaani wewe unaongoza nchi unachukulia mambo kibinafsi eti humpendi fulani unamfungulia mashitaka hewa ili umfunge sababu tu kakuudhi wewe binafsi yako kwenye moyo wako regardless sheria za nchi?
Yaani mnaipersonalize nchi kua roho binafsi ya mtu?
hii maanae yake hamkustahili kupewa hii nchi ndio maana alipata madaraka kwa bahati mbaya kama ajali baada ya lile taahira kufa!
Ingekua ni kugombea kwa kura ndani ya CCM hata mchuja wa kwanza mama asingepita kokote...Alipata madaraka kwa bahati mbaya kama ajali!Maana ni kwamba yeye sio the most popular au most capable human being ndani ya CCM maana hajawahi pigiwa kura popote ndani ya CCM kugombea chochote!
Huwezi tesa wanadamu wengine sababu umeudhika kwenye moyo wako binafsi...unatunga kesi ili afungwe kuridhisha moyo wako
Ndio tunaita uongozi legelege,roho ndogo,hazifai kupewa madaraka makubwa hivi
Hakuna mahali Mbowe kasema anataka msamaha wa yeyote,hajawahi ongea na yeyote wala kuomba chochote tangu ashikwe.
Na Zitto kuja kujiongelesha hapo ni yeye binafsi Chadema haijamtuma popote....
Unachosikia Chadema mbalimbali wanachosema ni aachiwe bila masharti yeyote maana hana hatia yeyote maana yeye hajafungwa labda useme anaomba msamaha au hiyari ya rais..Aachiwe bila sharti lolote
Mbowe atatoka na utaona mzidi wa CDM
Kuwekwa jela nayo ni issue?Are you serious kweli?Lissu kapigwa risasi 30 hajaona lolote ndio jela ya Mbowe?
Jela ni vacation wewe maiti....
Mbona unaji - contradict na kauli ya Rais wako...?Mbowe hayupo juu ya sheria, ameshtakiwa kisheria atahukumiwa kwa sheria na kama akishinda ni kwa sheria. Sio kwamba akishinda alikuwa kaonewa ni kwa sababu ametumia udhaifu wa sheria
Hata zile za Makaburu, Hitler na Iddi Amin zilikuwa dola na ndizo zilizokuwa zina control kila jambo katika Mataifa yao ila haikuzuia kina Mandela, Niemoller na Luwum kuibuka.Kuzitii mamlaka na kuziheshimu..
Mamlaka au Dola ndio inacontrol kila jambo katika Taifa kupitia vyombo vyake, Dola kupitia vyombo vyake ina taarifa ya kila jambo linaloendelea hapa Tanzania kuliko mtu yeyote..
Kupitia taarifa hizo Dola ndio pia inapata nguvu ya kulinda mipaka na kutulinda humu ndani..
Dola kupitia vyombo vyake inaposema hili kwasasa lisifanyike na twende na uelekeo huu halafu ikatokea tofauti HAPO UTAKUWA UMESHINDWA KUIHESHIMU DOLA, kujaribu kuipa dola mashinikizo ya kisiasa wakati yenyewe kupitia vyombo vyake inajua position ya nchi kwa sasa iko hapa na kuliachia hili tutafika pale, UKAJARIBU KULAZIMISHA KWA NGUVU HOJA ZA KISIASA ni kutokuiheshimu dola na kukosa usikivu..m
Mbona hukusema hayo kwa jiwe wewe mataga?Hii sio Rule of Law hata kidogo. Tabia hii ya watawala wetu kujifanya DPP ni ubatili mtupu na upumbavu mkubwa. Wasipoangalia kuna siku watakuja kuiingiza hii nchi kwenye machafuko yasiyokuwa ya lazima!
Kwendraa huko. Kujipendekeza pendekeza tu. Tukija kuchukua nchi nitakusaka wewee
Mkuu sheria za ndoa za mwaka 71 ndiyo zinatumika hadi sasa.60 mpaka 76 ni miaka 16 ni mimba za utotoni.
@Kiturilo kikwetu ni ule ute ute anaotoa mama ule mweupe kule chini. Halafu CCM wanapenda sana matusi.Kiturilo kwa lugha ya kwetu ni nyeti za kuku
Huna hata uelewa wa msingi katika sheria.Rais akizungumz kama Mkuu wa Executive sio state anawez kumtambua mtu yeyote alifikishwa Mahakamani kwa kosa la Jinai kama Mhalifu kwa kuwa upande wake (Serikali) ndio unatuhumu na kupeleka kesi mahakaman kama ambavyo upande unaotuhumiwa unaweza kutambua Mashtaka kama mashtaka ya kubambikiza
Kama una haki ya kutambua kesi ya Mbowe kuwa ya kubambikiwa basi na mwingine ana haki ya kutambua mashtaka hayo hayo kama mashtaka ya kweli
Kuna watu wanaamini wao wana haki ya kumkosoa Rais ila Rais hana haki ya kuwakosoa
Hayo hutendeka hivyo kwenye banana republics.Mimi ukinipiga nakupeleka Mahakamani nikiamini Wewe umenipiga sio nakutuhumu umenipig, wengine ndio watakuita unatuhumiwa kwa kuwa watasubiri hukumu ndio waamue kama wewe ni mhalifu au laa
…mie ulienitendea uovu sihitaji na silazimiki kukuita mtuhumiwa
Kuna shida mahali katika kumuelewa Raisi ,Akijibu ombi la Mheshimiwa Zitto leo kuhusu ombi la kumwachilia Mbowe ili kuweka nchi kwenye mshikamano wa Kitaifa.
Mh. Samia amesema kwanza afuate sheria pili awe na heshima.
Tofauti na tuhuma alizosema huko nyuma wakati akihojiwa na BBC kuwa Mbowe ana tuhuma za ugaidi.