Kwisense
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 475
- 1,142
Punguza hasira boss, Zanzibar ni miongoni mwa nchi zinazounda muunganoVisiwani wapewe kwa sababu gani? Walihusika vipi kuzipata?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Punguza hasira boss, Zanzibar ni miongoni mwa nchi zinazounda muunganoVisiwani wapewe kwa sababu gani? Walihusika vipi kuzipata?
Muulize mchonga meno huko aliko kwanini aliungana na Zanzibar?Visiwani wapewe kwa sababu gani? Walihusika vipi kuzipata?
Si bado unasoma...!? Ukielimika itakusaidia kuelewa Kwa upana Matumizi mazuri ya pesa Hizi Kati ya kuzitumbua na kuboresha huduma ya Afya!!Huu upumbavu aliuanzisha Jiwe.
Wakati wanatenga hizo fedha walikuwa wamepungukiwa akili(vichaa)?
Ni vyema wangeifuta sherehe yenyewe isisomeke kwenye kalenda
Muliidhulumu sana Zanzibar tokea uhuru at least mama aonyeshe kwamba nchi 2 ziliungana hivo faida iwe 50-50MTU kwao......
Kwanza bajet ya sherehe za muungano znz walihusika....kama walihusika wachukue chao kama sio basi anawapendelea tuuSiyo sawa kugawa sawa, Zanzibar ni ndogo sana inabidi ipate kutokana na ukubwa wake.
Kwanini Tanganyika pamoja na udogo wa Zanzibar lakini ilikubali kuungana?? Kwanini mchonga meno hakuiunganisha Tanganyika na Algeria ama Nigeria nchi kubwa mwenzake??Siyo sawa kugawa sawa, Zanzibar ni ndogo sana inabidi ipate kutokana na ukubwa wake.
Unaposema Tanganyika iliungana na nchi ya zanzibar kwa hiari yake Je nchi ya zanzibar haikuungana na nchi ya tanganyika kwa hiari yake? Unapojibu weka unafiki pembeni.Tulijua tu kwa kuapishwa mama samia kuwa Rais wa JMT wenye chuki na maendeleo ya Zanzibar watanyoosha vidole tu, hawa ndio wanafiki ambao siku zote huitazama Zanzibar kwa udogo wake lakini siku zote hawako tayari kuiacha Zanzibar isimame kwa miguu yake pamoja na kwamba Tanganyika iliungana na nchi ya Zanzibar kwa hiyari zake.
Uwanja wa ndege Chato ulijali ukubwa wa mahitaji?Siyo sawa kugawa sawa, Zanzibar ni ndogo sana inabidi ipate kutokana na ukubwa wake.
Muliidhulumu sana Zanzibar tokea uhuru at least mama aonyeshe kwamba nchi 2 ziliungana hivo faida iwe 50-50
Huu upumbavu aliuanzisha Jiwe.
Wakati wanatenga hizo fedha walikuwa wamepungukiwa akili(vichaa)?
Ni vyema wangeifuta sherehe yenyewe isisomeke kwenye kalenda
Si za muunganano kaka ama huelewi maana ya muungano.Visiwani wapewe kwa sababu gani? Walihusika vipi kuzipata?
asiishia hapo tu, tunataka kujua hizo pesa zimefanya shughuli gani, kipindi cha jpm tumeona hosptali ya ya uhuru dodoma, barabara za morocco- mwenge etc. samia amefeli kusema zikafanye shughuli zingine. ingekuwa jjpm angeshazialocate kabisa hizo hela zikafanye nini.Mama kaanza vizuri; baadhi ya mambo yaliyofanya JPM awe kwenye mioyo ya watu ni maamuzi kama haya.
Sherehe za Uhuru na Muungano ni sherehe muhimu sana katika historia ya nchi yetu, na ni muhimu zitengewe budget.
Lakini matumizi ya hizo pesa inabidi yafanye kitu cha maana kitakachosaidia watu wengi badala ya kuliwa na wale wajanja wajanja wa mujini kwa kukodi vihema, vicocktail, kuweka mafuta mashangingi, n.k.