Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,356
- 38,922
Nadhani bajeti ya sherehe za muungano hupangwa na waziri ofisi ya makamu wa Rais muungano.na vyanzo vya fedha vinatoka pande zote mbili za muungano.Kwanza bajet ya sherehe za muungano znz walihusika....kama walihusika wachukue chao kama sio basi anawapendelea tuu