Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli ndugu hawa watu wanachuki mbaya sana.miaka yote ilikuwa inatumika huku tu .kusema basi igawanywe kwao imekuwa nongwa.hawa wanaroho mbaya sana. Tupo tunaimani na mama Samia.Tulijua tu kwa kuapishwa mama samia kuwa Rais wa JMT wenye chuki na maendeleo ya Zanzibar watanyoosha vidole tu, hawa ndio wanafiki ambao siku zote huitazama Zanzibar kwa udogo wake lakini siku zote hawako tayari kuiacha Zanzibar isimame kwa miguu yake pamoja na kwamba Tanganyika iliungana na nchi ya Zanzibar kwa hiyari zake.
Hii ni bajeti ya Mwaka 2020/2021 Ilishapitishwa kuwa kutakuwa na sherehe hizo. Mama kaamua kuondoa acha ujuajiHuu upumbavu aliuanzisha Jiwe.
Wakati wanatenga hizo fedha walikuwa wamepungukiwa akili(vichaa)?
Ni vyema wangeifuta sherehe yenyewe isisomeke kwenye kalenda
Kweli ndugu hawa watu wanachuki mbaya sana.miaka yote ilikuwa inatumika huku tu .kusema basi igawanywe kwao imekuwa nongwa.hawa wanaroho mbaya sana. Tupo tunaimani na mama Samia.
TRA haihusiki kabisa kule Zanzibar.Rais yupo sahihi. Ni hela ya Tanzania na sio Tanganyika. Tanganyika haina Tanganyika Revenue Authority. Ni hela iliyokusanywa na Tanzania Revenue Authority ambayo baadhi ya mapato yanatokea Zanzibar.
Ni mpaka Tanganyika iwe na institutions zake ndio inaweza claim kitu flani ni chake! So far, we shut up
Hizo fedha kiasi gani? Na zinatokana na nini? Tunagawana sawa kwa vigezo gani? Kwà kuangalia idadi ya watu au ukubwa wa eneo?Dodoma!
Akizungumza Leo katika kongamano la Muungano jijini Dodoma, Makamu wa Raisi Dr . Philip Mpango amesema Raisi Samia Suluhu Hassan ameelekeza Fedha zilizotakiwa kutumika katika shughuli za maadhimisho ya miaka 57 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar zigawanywe pande hizo mbili (Tanganyika na Zanzibar) ili zikafanye shughuli za maendeleo!
Dk. Philip Mpango ametumia takribani dakika 20 kuhutubia wanakongamano na Kisha kuondoka ili aendelee na shughuli zake za Kila siku za kulijenga taifa!
View attachment 1764536
TAREHE 26 Aprili, 1964 Mataifa mawili haya ya Jamuhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya watu wa Zanzibar yalioungana na kuunda Taifa jipya la Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ambapo badae ikabadilishwa na kuwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Hivyo kila mwaka ifikapo Aprili 26, tunakumbuka siku ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, ambapo mwaka huu Muungano huu unatimiza miaka 57, huku ukiwa ni Muungano wa mfano na imara katika Bara la Afrika na ulimwenguni pote.
View attachment 1764577
Napata shaka juu ya Akili yako kama iko sawasawa. Rudia uandikachoKwanini Tanganyika pamoja na udogo wa Zanzibar lakini ilikubali kuungana?? Kwanini mchonga meno hakuiunganisha Tanganyika na Algeria ama Nigeria nchi kubwa mwenzake??
Na zile ambazo wao Zanzibar walizitenga nazo tutagawana sawa kwa sawa?Salaam
Makamu wa Rais Mteule, Dkt. Philip Isdor Mpango, amesmea kuwa, Rais Samia kaagiza fedha zilizotengwa kugharamia Sherehe za Muungano, amezibadilishia matumizi na kuagiza zigawanywe sawa kwa bara na Visiwani.
Pia kasema kila upande utajiamulia matumizi ya fedha hizo.
Hatamu za muungano zipo Tanganyika, Zanzibar kote kumetapakaa vichogo/majeshi kutoka Tanganyika, kama 50-50 imekuwa nongwa basi vunjeni muungano mkaungane na Algeria nchi kubwa mwenzenu.,
Unapokuja kwenye mgao na faida ya muungano huwezi kumuangalia mshiriki mwenza wako kwa udogo wake sababu nchi 2 huru ziliungana.
Nimepata jambo hapaView attachment 1764570
Kwani zimetoka upande gani?Salaam
Makamu wa Rais Mteule, Dkt. Philip Isdor Mpango, amesmea kuwa, Rais Samia kaagiza fedha zilizotengwa kugharamia Sherehe za Muungano, amezibadilishia matumizi na kuagiza zigawanywe sawa kwa bara na Visiwani.
Pia kasema kila upande utajiamulia matumizi ya fedha hizo.
Hahaa kwaiyo CAG akija kusema zilitumika nje ya bajeti tusilalamike sio?Hii ni bajeti ya Mwaka 2020/2021 Ilishapitishwa kuwa kutakuwa na sherehe hizo. Mama kaamua kuondoa acha ujuaji
Hahahha mkuu bas kazi hipo kama ndiyo hivoWatanganyika tunataka tujue majina ya wajumbe hao kuona maslahi yetu yanalindwa vipi?