Rais Samia: Fedha ambazo zingegharamia Sherehe za miaka 57 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, zigawanywe sawa

Rais Samia: Fedha ambazo zingegharamia Sherehe za miaka 57 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, zigawanywe sawa

Mama kakopi yale yaleee!

Hiyo fedha ipo cash?

Ukute tunapigizana kelele hapa huku hela yenyewe haijapatikana.
 
Kifungu cha katiba 37/5 kitatutesa sana mpk 2030 Zanzibar ni New Chato in Town

Hz fedha zinazoitwa za muungano kwa nini Tanganyika ndo anaambiwa ampe Zanzbar wasije kuwa Kodi zetu watanganyika zinakwenda kutumika kulima mikarafuu
 
Halafu kwenye hotuba yake hiyo juzi kasema watanunua meli 6 za uvuvi 3 zenji na 3 bara. Sijui hiyo ratio imekaaje uzingatia ukubwa wa nchi, na idadi ya watu
 
Dodoma!

Akizungumza Leo katika kongamano la Muungano jijini Dodoma, Makamu wa Raisi Dr . Philip Mpango amesema Raisi Samia Suluhu Hassan ameelekeza Fedha zilizotakiwa kutumika katika shughuli za maadhimisho ya miaka 57 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar zigawanywe pande hizo mbili (Tanganyika na Zanzibar) ili zikafanye shughuli za maendeleo!

Dk. Philip Mpango ametumia takribani dakika 20 kuhutubia wanakongamano na Kisha kuondoka ili aendelee na shughuli zake za Kila siku za kulijenga taifa!
View attachment 1764536
TAREHE 26 Aprili, 1964 Mataifa mawili haya ya Jamuhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya watu wa Zanzibar yalioungana na kuunda Taifa jipya la Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ambapo badae ikabadilishwa na kuwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Hivyo kila mwaka ifikapo Aprili 26, tunakumbuka siku ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, ambapo mwaka huu Muungano huu unatimiza miaka 57, huku ukiwa ni Muungano wa mfano na imara katika Bara la Afrika na ulimwenguni pote.
View attachment 1764577
Sio fair [emoji24]

"Kwa busara za mama yetu Rais Samia Suluhu Hassan, ameagiza fedha zilizokuwa zitumike kwa ajili ya sherehe za Muungano mwaka huu, zitagawanywa kwenda pande zote mbili za muungano kwaajili ya kuamua namna ya kutumia fedha hizo kwenye shughuli za maendeleo" - Dk. Philip Mpango, Makamu wa Rais.

#KongamanoLaMuunganoTanzania
 
Hatamu za muungano zipo Tanganyika, Zanzibar kote kumetapakaa vichogo/majeshi kutoka Tanganyika, kama 50-50 imekuwa nongwa basi vunjeni muungano mkaungane na Algeria nchi kubwa mwenzenu.,

Unapokuja kwenye mgao na faida ya muungano huwezi kumuangalia mshiriki mwenza wako kwa udogo wake sababu nchi 2 huru ziliungana.
Unavyozungumza kama vile zanzibar imeendelea saana. Wewe ni kichaa na kwa namna yoyote akili hizi wanakuwa nazo MASHOGA. Huwezi mtu mzima ukaongea ujinga hivi. Huu muungano mnufaika mkubwa ni ZANZIBAR wa BARA wao wanauhitaji kwa ajili ya USALAMA hasa lkn sio kiuchumi kama unavyodhani ww mpuuzi. Afu wanaotaka muungano uvunjwe ni wale wapuuzi ma masikini wanaoisha VISIWA VYA PEMBA ambako robo 3 ni wajinga ambao huamini kwenye MADRASA na USULTANI. Zanzibar hupata upendeleo mkubwa sana. Ajira wanapata sehemu zote ila wabara kuna limit za kuajiriwa. Kuhusu wanajeshi hata BARA kambi nyingi hasa UKANDA WA PWANI WAMEJAA WANZANZIBAR sema ww kwakuwa ni mpumbavu hujui. Acha upumbavu wako, nyie ndio mnakaa kuwatetea wala vichaa wa UAMSHO. MIMI NINGEKUWA RAIS NINGEAMURU WAUAWE BILA HATA KWENDA MAHAKAMANI.
NYIE WAZANZIABAR MOST OF YOU NI WAPUMBAVU, WAVIVU, WAJINGA NA VICHAA.
 
Ilipaswa wapewe zoteee, ili kufidia na za miaka ya nyumaa.hawa wakojani tuliwanyonyaa sanaaas.

Ki ufupi sisi machogo zanzibar ni koloni letuuuu.zamu yenu wakojani mshindwe wenyewe, mkipoteza hapa mbele ya safari msije laumuuu
 
Endapo serikali ya awamu ya 6 itaendelea na utamaduni wa kuachana na sherehe zisizo na ulazima na yakafanyika makongamano tu basi tutaokoa fedha nyingi na zitaelekezwa kwenye maendeleo.
vivo hivyo kwa serikali ya Mapinduzi ya znz, tuokoe fedha, tuachane na masherehe ambayo yanateketeza fedha za wananchi buree.
 
hizo fedha zinatoka serikali ya bara au zote? na kama kila serikali inachanga kwa nin kila serikali akabaki na hela yake? na kama zinatoka serikal ya bara kwa nin zanzibar wapewe mgao
 
Ivi sherehe za muungano kitaifa zimewahi fanyikia Zanzibar.kama jibu ni ndio ilikuwa lini?Rais wa upande upi alikagua gwaride?kama ni hapana kwanini?
Kazi iendelee.au nasema uongo ndugu zangu?
 
Sherehe zinafanyika mji mkuu wa nchi....

Rais wa zanzibar hawezi kukagua gwaride maana si amri jeshi mkuu wa Tanzania.
 
hizo fedha zinatoka serikali ya bara au zote? na kama kila serikali inachanga kwa nin kila serikali akabaki na hela yake? na kama zinatoka serikal ya bara kwa nin zanzibar wapewe mgao
Bara hakuna serikali, pesa zinatoka kwenye serikali ya Muungano
 
Back
Top Bottom