Rais Samia: Haikuwa na maana kuchoma vifaranga wa kuku mpakani

Mbona Kenya hawakuiteketeza dhahabu ya Tanzania iliyokuwa imeingia kwa magendo? Wakairudisha Tanzania.

Mbona hawakutaifisha ng'ombe 9,000 waliokuwa wameingia Kenya, wakati sisi tulitaifisha ng'ombe 4,000 walioingia Tanzania?

Sisi tulikosa tu uongozi wa hekima.
 
Sisi tulimkemea Luhaga Mpina waziwazi kwa ile misifa yake aliyofanya kuchoma vifaranga mbele ya makamera. Yani wasukuma mlichotufanyia mmejichumia laana kubwa sana!
Ndio maama mvua zimegoma😅😅
 
Walikuwa marehemu?
Magu kabla hajafa alikuwa yupo tayari kusemwa na kukosolewa?

Umesahau yaliyowapata waliojifanya majasiri kumkosoa.

Tundu lissu mpaka leo ana ulemavu.

Ben sa nane yuko wapi?

Kwa vile alikataa kusemwa akiwa hai watu tutamsema akiwa amekufa.
 

Yote ni dhambi tu. Ndio hasara ya kuingiza jazba katika majukumu ya kiserikali.

Rais kusema visivyo kuhusu Mbowe katika chombo kikuu cha media kama BBC huku akiwa macho makavu ni adha ya kitaifa isiyoelezeka kirahisi. Hapa ndipo waswahili tunasema: aibu naona mimi.

Vifaranga vingezuiwa pale pale mpakani visiingie nchini. Kama ni magonjwa yangebakia huko huko Kenya. Kuvichukua kisha kununua petroli na kuvichoma moto vikiwa hai mbele ya kamera za tv ni kielelezo cha matatizo ya kisaikolojia. Ask the honest opinion of any reputable psychiatrist.

Inabidi tujiongeze kama taifa. We really need to be beyond these despicable acts. No defense can exonerate our leaders from suspicion of insanity - beyond malice, that is.
 
Wanafiki hawawezi kwisha duniani. Amalizie ungwe yake atoke.
 
Your browser is not able to display this video.

Na ile kauli dhidi ya waziri wa Kilimo Bwana Mkenda imekaaje?
Mkenda aachie tu ngazi, mama amuweke mtu wake(Nape Mosses Nauye) pale.
Your browser is not able to display this video.
 
Kama elimu yako ni ya ubabaishaji na walimu wako wa kitanzania ni vilaza ni bora walimu wa Kenya waje watufaulishie watoto wetu.

Wewe kaa unainba kiswahili hadi unapandisha jaji cheo kwa hukumu ya kiswahili.


Magufur ndiyo kiboko ya wakenya maana wakenya walitutesa Sana miaka 30 walikuwa wanaingia Tanzania bila viba wanafanya kaz za ualimu bila kibali cha kaz wa uhamiaji sasa wataanza kutamba tena
 
Utalindaje wazalishaji wa ndani, bei za bidhaa nchi jirani ziko chini na mipaka ya nchi ipo wazi kila pembe kupitisha magendo, Tunaenda kuua viwanda vya ndani
Acha vife. Kama kulinda viwanda vya ndani ni kununua na kuuziana bidhaa kwa bei ghali kuliko nchi nyingine, acha hivyo viwanda vife kabisaaaaa!!!! Mfano sukari ikiingizwa kutoka nje itauzwa kg 2000 halafu sukari ya ndani inauzwa kg @ 3000[emoji3064] Acha vife maana sukari ya nje plus usafiri lakini bado bei iko chini lakini hii ya ngani ambayo usafiri ni wa ndani humu humu lakini bado iko juu [emoji119][emoji119][emoji119]
 
Hayo majibu ya kuwa hao vifaranga wana ugonjwa yalitolewa na tapeli yule yule aliyepima covid kwenye mapapai na diseli. Halafu akasema tumepiga maombi kisha Corona ikaondoka!
 
Rais amesema, "tulikuwa tunachomeana" then wehu kadhaa wanakuja na mapovu useless kabisa kumtuhumu Rais Samia kuwa anamsaliti Magufuli!. Baadhi ya mitanzania mivivu kusoma na hivyo miakili yao imevilia tu. Hakuna mahali Rais amejitoa kwenye kadhia ya vifaranga!. Kama mtu amemsikiliza vizuri Rais, ameonesha kujihusisha katika hilo na hivyo kujilaumu kwa makosa ambayo waliyafanya kama serikali awamu iliyopita.
 
View attachment 2026534
Na ile kauli dhidi ya waziri wa Kilimo Bwana Mkenda imekaaje?
Mkenda aachie tu ngazi, mama amuweke mtu wake(Nape Mosses Nauye) pale.
View attachment 2026531

Tanzania kununua sukari Uganda ni ujinga kupitiliza .

Wakati mwingine nchi yetu kama nchi inakosa thinktank kila kitu tunamwachia Rais atuamulie hata kama kina madhara kwa taifa.

Tanzania haiwezi kuwa nchi ya kununua tu hata pale tunapoweza kama nchi.Uganda inaingia mara nne au zaidi iweje Rais ashabikie tununue sukari badala ya kuweka mikakati ya kuzalisha sukari ya kutosha hapa nchini.
 
Utalindaje wazalishaji wa ndani, bei za bidhaa nchi jirani ziko chini na mipaka ya nchi ipo wazi kila pembe kupitisha magendo, Tunaenda kuua viwanda vya ndani
Bora vife tu,Kama vinatukamua
 
Hayo majibu ya kuwa hao vifaranga wana ugonjwa yalitolewa na tapeli yule yule aliyepima covid kwenye mapapai na diseli. Halafu akasema tumepiga maombi kisha Corona ikaondoka!
Hahahahaha .......corona haikuondoka Ila waliipa masharti kupitia Polepole kwamba " aidha iondoke au ituogope ikubali kuishi nasi". Mara moja Makonda akapewa jukumu la kusherekea corona kukubali kwishuishi Na na sisi. Ogopa watu wenye uwezo wa kutoa amri kwa virus. Hii nchi kiboko sana.
 
Mara nyingi mtu husema kwakuwa mdomo ni mali yake ila siku hazigandi kama nikwahisia au nikwa maono ya mtu binafsi time will tell us. Marehem hasemwi. End
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…