Mbona Kenya hawakuiteketeza dhahabu ya Tanzania iliyokuwa imeingia kwa magendo? Wakairudisha Tanzania.Daktari gani atapima kitu ambacho kimeingia kimagendo nchini? Manake walikuja kupimwa baada ya kukamatwa ili nchi ijiridhirishe kulikuwa attempt gani kutoka kwa jirani zetu. Utaratibu wa custom unajulikana, vipimo vinachuliwa custom, sasa wale walipimwaje halafu wakose permits?
Ndio maama mvua zimegoma😅😅Sisi tulimkemea Luhaga Mpina waziwazi kwa ile misifa yake aliyofanya kuchoma vifaranga mbele ya makamera. Yani wasukuma mlichotufanyia mmejichumia laana kubwa sana!
..alizungukwa na watu wanaoamini ktk ukatili na kutumia mabavu.
Alikuwepo but she had no power... kipindi hicho hayo yanafanyika alikuwa wapi?
Sasa unadhani angefanyaje?... kipindi hicho hayo yanafanyika alikuwa wapi?
Magu kabla hajafa alikuwa yupo tayari kusemwa na kukosolewa?Walikuwa marehemu?
"wenzake tayari wanatumikia sentence zao, yeye kakimbilia Nairobi nadhani ni calculation tu". Hapa siyo dhambi, dhambi ni kuchoma kuku wenye magonjwa waliokuwa wanaingia nchi bila kujali sheria transboundary movement of live animal. Kama nchi tupo tayari kuingiza magonjwa nchini kudhuru afya ya walaji almradi kufurahisha majirani? Tufuate sheria zilizopo.
Wanafiki hawawezi kwisha duniani. Amalizie ungwe yake atoke.Katika kongamano la biashara lililofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam ambalo limehusisha viongozi wawili wakubwa ambao ni Rais wa Uganda Yoweri Museveni na Rais wa Tanzania Samia Hassan Suluhu.
Rais wa Tanzania Samia Suluhu amesema kwamba hakukuwa na haja ya kuchoma vifaranga waliokamatwa nchini Tanzania kutoka nchi jirani.
Amesema pia kuna kipindi ilitokea pia Sukari kutoka nchi ya Uganda iligomewa na wafanya biashara kutoka Tanzania, hivyo amemueleza Rais Museven kwamba hivi sasa Sukari kutoka Uganda itanunuliwa na wafanyabiashara wa Tanzania!
Amehimiza pia kwamba vikwazo vya kibiashara kati ya nchi hizi mbili viondolewe!
Hayo yamesemwa wakati Kongamano hilo likifungwa.
dah walifanya makosa makubwa sana..Hawakuwa na magonjwa. Eti sababu ya kuchomwa ni kwamba documents hazikukamilika.
Matapeli watupu.Samia na Mwendazake kitu kimoja.
Magufur ndiyo kiboko ya wakenya maana wakenya walitutesa Sana miaka 30 walikuwa wanaingia Tanzania bila viba wanafanya kaz za ualimu bila kibali cha kaz wa uhamiaji sasa wataanza kutamba tena
Acha vife. Kama kulinda viwanda vya ndani ni kununua na kuuziana bidhaa kwa bei ghali kuliko nchi nyingine, acha hivyo viwanda vife kabisaaaaa!!!! Mfano sukari ikiingizwa kutoka nje itauzwa kg 2000 halafu sukari ya ndani inauzwa kg @ 3000[emoji3064] Acha vife maana sukari ya nje plus usafiri lakini bado bei iko chini lakini hii ya ngani ambayo usafiri ni wa ndani humu humu lakini bado iko juu [emoji119][emoji119][emoji119]Utalindaje wazalishaji wa ndani, bei za bidhaa nchi jirani ziko chini na mipaka ya nchi ipo wazi kila pembe kupitisha magendo, Tunaenda kuua viwanda vya ndani
Hayo majibu ya kuwa hao vifaranga wana ugonjwa yalitolewa na tapeli yule yule aliyepima covid kwenye mapapai na diseli. Halafu akasema tumepiga maombi kisha Corona ikaondoka!Hiyo nchi itakubali kuwapokea tena wakati lab test kwa upande wetu imeshadhihirisha kuwa vifaranga vile vina infestation of quarantine importance? Kenya wenyewe wapo tayari kupeleka mlipuko wa magonjwa kwao? Kupiga kiberiti ilikuwa ni suluhusho ili kuzuia magonjwa ya mifugo kuingia nchini. Ndo utaratibu wa quarantine duniani.
Ukumbuke vifaranga vile siyo vya nchi ni vya individual mfugaji, shipping ilifanyika kinyemela kati Wafanyabiashara wa pande mbili bila kufuata utaratibu. Imekuja kubainika kwamba vifaranga vina shida, Kenya itawapokea?! Never on earth. Watakwambia infestation ilitokea at the point of entry kwa bakini na mzigo wenu huko.
View attachment 2026534
Na ile kauli dhidi ya waziri wa Kilimo Bwana Mkenda imekaaje?
Mkenda aachie tu ngazi, mama amuweke mtu wake(Nape Mosses Nauye) pale.
View attachment 2026531
Bora vife tu,Kama vinatukamuaUtalindaje wazalishaji wa ndani, bei za bidhaa nchi jirani ziko chini na mipaka ya nchi ipo wazi kila pembe kupitisha magendo, Tunaenda kuua viwanda vya ndani
Hahahahaha .......corona haikuondoka Ila waliipa masharti kupitia Polepole kwamba " aidha iondoke au ituogope ikubali kuishi nasi". Mara moja Makonda akapewa jukumu la kusherekea corona kukubali kwishuishi Na na sisi. Ogopa watu wenye uwezo wa kutoa amri kwa virus. Hii nchi kiboko sana.Hayo majibu ya kuwa hao vifaranga wana ugonjwa yalitolewa na tapeli yule yule aliyepima covid kwenye mapapai na diseli. Halafu akasema tumepiga maombi kisha Corona ikaondoka!
Mara nyingi mtu husema kwakuwa mdomo ni mali yake ila siku hazigandi kama nikwahisia au nikwa maono ya mtu binafsi time will tell us. Marehem hasemwi. EndKatika kongamano la biashara lililofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam ambalo limehusisha viongozi wawili wakubwa ambao ni Rais wa Uganda Yoweri Museveni na Rais wa Tanzania Samia Hassan Suluhu.
Rais wa Tanzania Samia Suluhu amesema kwamba hakukuwa na haja ya kuchoma vifaranga waliokamatwa nchini Tanzania kutoka nchi jirani.
Amesema pia kuna kipindi ilitokea pia Sukari kutoka nchi ya Uganda iligomewa na wafanya biashara kutoka Tanzania, hivyo amemueleza Rais Museven kwamba hivi sasa Sukari kutoka Uganda itanunuliwa na wafanyabiashara wa Tanzania!
Amehimiza pia kwamba vikwazo vya kibiashara kati ya nchi hizi mbili viondolewe!
Hayo yamesemwa wakati Kongamano hilo likifungwa.