Rais Samia: Hakuna atakayeuza Tanzania. Sitaki Shida nataka Watanzania Waishi Maisha mazuri

Hao TLS walimwonyesha matobo ya mkataba, sasa kama hataki yazibwe ana lengo gani.
Kuna msemo unasema, the road to hell is paved by good intentions. Inawezekana ana nia njema, ila asikilize watu pia wanaomkosoa arekebishe. Akiishia sikiliza wapambe tu watampoteza
 
Huyu mama ni Delila wa kwenye bibilia.
 
Unawapangia wenzako maisha? Mbona mjinga sana wewe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…