Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Si unajua waswahiliRais asiye na bidii yeyote kwa nchi yake ,her performance reflect her academic record
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si unajua waswahiliRais asiye na bidii yeyote kwa nchi yake ,her performance reflect her academic record
Ndugu itabidi muwe wakimbizi kama sie tuliomkimbia Magufuli na alipoondoka tukambiwa nchi imetulia ameanza maridhiano wanasiasa wakaitwa lakini hakuna hata mwanasiasa mmoja aliesema kwenye maridhiano jamani kwani ndio sisi tu tuliokuwa wakimbizi??!!Wengine je wafanyabiashara vipi wawekezaji vipi na kadhalika.Hilo ndio tatizo la Tanzania kila mtu anapambana na matatizo yake huku ulaya ukiwa na shida atakaekusaidia ni mtu wa huku ulaya sio ubalozi wako wa Tanzania au Mtanzania mwenzako kwa hiyo ndio ukweli wa Watanzania pambaneni tu mkiungana labda mtafanikiwaUjue kwa Africa ni mamiunguwatu. Tofauti sana na huko ulipo.
Hapa ndiyo kama hivyo bandari zinaenda kwa mikataba mibovu. Na wanaohoji wanapewa uhaini na kuwindwa kama ndege pori.
Kwani kwanini asione umuhimu wa ku review hivyo vinavyolalamikiwa ?!. Kwanini aone solution ni kuwapa watu uhaini !!.
Hahahha au sioTumemuweka kwenye maombi naamini hatufiki nae January ....
Matapeli makubwa..
Bring it on mamaRais Samia Suluhu Hassan leo amekutana na kufanya mazungumzo na viongozi pamoja na baadhi ya Wanachama wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) pamoja na Chama cha Wanasheria Zanzibar (ZLS) Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma
Akizungumza katika mkutano huo Rais Samia amekumbusha juu ya wajibu wa TLS na ZLS kusimamia utawala wa sheria kwa mujibu wa Katiba ya nchi kwa kuzingatia weledi na uadilifu huku akiwataka pia kumsaidia kusimamia misingi ya "R" nne katika kujenga umoja wa nchi na kuleta maendeleo
"Nimekuja na R zangu nne, sitaki shida nataka Watanzania waishi vizuri, nisaidieni huko. Kwa karne tuliyonayo hapa hakuna Mtanzania atakayeuza Tazania hii wala atakayegawa Tanzania hii, na sisi serikali, vyama vya siasa tukianza fukunyuku Wananchi watatusuta, nendeni kanisaidieni hizo R nne." Ameeleza Rais Samia
Chanzo: Clouds Media
Kwamba keshakua Kama jiwe[emoji28]Haya
Duuuh hati ya kiwanja.., hapo nahis kawaziba kiaina. Na hautawasikia wakikosoa tena hiyo kitu watabaki wananong'ona pemben tu.Nadhani mama pengine hajausoma ule mkataba vizuri na akauelewa ama wanasheria aliowaamini sana wamempotosha ndio maana akaja na maneno kama hayo
Cha pili nadhani angevunja ukimya na kujitokeza kwenye presidential press conference aongee na taifa kwa mamlaka kama kiongozi mkuu, awape watu confidence na kuamrisha wanasheria kupitia upya mkataba (hata kwa kuzuga) tu ili at least a win public trust kwa muda
Kuwaendea TLS na kuwataka wamasaidie bado kunatengeneza ama kunazidi kutengeneza ombwe na hisia hasi kama kiongozi mkuu kati yake na wananchi wake
Kingine kibaya zaidi ni kuwakabidhi TLS hati ya kiwanja katika mazingira kama haya.. Hli halijajenga bali limezidi kuharibu.. Ni kama vile TLS wamefungwa mikono rasmi..!
Mama apunguze kuwaamini watu maana wameshamharibia vya kutosha sana sasa anahangaika pekeyake huku wao wakiwa nyuma ya pazia wanamcheka View attachment 2717731
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana jiwe alikuwa Firauni usimlinganishe huyo mama na jiwe with all due respect i think she’s a million better than mwendazakeKwamba keshakua Kama jiwe[emoji28]
Maneno yake na matendo yake ni vitu viwili tofauti mnafiq mkubwa huyu yalimoyo kifuani mwake ni tofauti na ayatendayo!!....MwenyeziMungu atuondolee huu mkosi!!Rais Samia Suluhu Hassan leo amekutana na kufanya mazungumzo na viongozi pamoja na baadhi ya Wanachama wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) pamoja na Chama cha Wanasheria Zanzibar (ZLS) Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma
Akizungumza katika mkutano huo Rais Samia amekumbusha juu ya wajibu wa TLS na ZLS kusimamia utawala wa sheria kwa mujibu wa Katiba ya nchi kwa kuzingatia weledi na uadilifu huku akiwataka pia kumsaidia kusimamia misingi ya "R" nne katika kujenga umoja wa nchi na kuleta maendeleo
"Nimekuja na R zangu nne, sitaki shida nataka Watanzania waishi vizuri, nisaidieni huko. Kwa karne tuliyonayo hapa hakuna Mtanzania atakayeuza Tazania hii wala atakayegawa Tanzania hii, na sisi serikali, vyama vya siasa tukianza fukunyuku Wananchi watatusuta, nendeni kanisaidieni hizo R nne." Ameeleza Rais Samia
Chanzo: Clouds Media
Kamuulize Magufuli huko jehanam kama tulimpa siku ngapi usichezee maisha ya watu kibaka weweHahahha au sio
Magufuli alikuwa hivyo hivyoManeno yake na matendo yake ni vitu viwili tofauti mnafiq mkubwa huyu yalimoyo kifuani mwake ni tofauti na ayatendayo!!....MwenyeziMungu atuondolee huu mkosi!!
Anza wewe mkuuWatu wengine mijadala kama hii haiwafai. Rudi kwenye ubishani wenu wa Simba na Yanga.