Rais Samia: Hakuna atakayeuza Tanzania. Sitaki Shida nataka Watanzania Waishi Maisha mazuri

Rais Samia: Hakuna atakayeuza Tanzania. Sitaki Shida nataka Watanzania Waishi Maisha mazuri

Rais Samia Suluhu Hassan leo amekutana na kufanya mazungumzo na viongozi pamoja na baadhi ya Wanachama wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) pamoja na Chama cha Wanasheria Zanzibar (ZLS) Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma

Akizungumza katika mkutano huo Rais Samia amekumbusha juu ya wajibu wa TLS na ZLS kusimamia utawala wa sheria kwa mujibu wa Katiba ya nchi kwa kuzingatia weledi na uadilifu huku akiwataka pia kumsaidia kusimamia misingi ya "R" nne katika kujenga umoja wa nchi na kuleta maendeleo

"Nimekuja na R zangu nne, sitaki shida nataka Watanzania waishi vizuri, nisaidieni huko. Kwa karne tuliyonayo hapa hakuna Mtanzania atakayeuza Tazania hii wala atakayegawa Tanzania hii, na sisi serikali, vyama vya siasa tukianza fukunyuku Wananchi watatusuta, nendeni kanisaidieni hizo R nne." Ameeleza Rais Samia


Chanzo: Clouds Media
Maisha bora hayalazimishwi kwa mitutuna kesi za kubumba.
 
Rais Samia Suluhu Hassan leo amekutana na kufanya mazungumzo na viongozi pamoja na baadhi ya Wanachama wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) pamoja na Chama cha Wanasheria Zanzibar (ZLS) Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma

Akizungumza katika mkutano huo Rais Samia amekumbusha juu ya wajibu wa TLS na ZLS kusimamia utawala wa sheria kwa mujibu wa Katiba ya nchi kwa kuzingatia weledi na uadilifu huku akiwataka pia kumsaidia kusimamia misingi ya "R" nne katika kujenga umoja wa nchi na kuleta maendeleo

"Nimekuja na R zangu nne, sitaki shida nataka Watanzania waishi vizuri, nisaidieni huko. Kwa karne tuliyonayo hapa hakuna Mtanzania atakayeuza Tazania hii wala atakayegawa Tanzania hii, na sisi serikali, vyama vya siasa tukianza fukunyuku Wananchi watatusuta, nendeni kanisaidieni hizo R nne." Ameeleza Rais Samia


Chanzo: Clouds Media
Umesha uza Tanganyika kwa DP world kila mtu anajua fika
 
Kutetea dili ambalo pesa mmeshaipasua alafu linataka kubuma kazi kweli kweli mana utatumia kila njia mambo yaende..
 
Umesha uza Tanganyika kwa DP world kila mtu anajua fika
Nadhani mama pengine hajausoma ule mkataba vizuri na akauelewa ama wanasheria aliowaamini sana wamempotosha ndio maana akaja na maneno kama hayo
Cha pili nadhani angevunja ukimya na kujitokeza kwenye presidential press conference aongee na taifa kwa mamlaka kama kiongozi mkuu, awape watu confidence na kuamrisha wanasheria kupitia upya mkataba (hata kwa kuzuga) tu ili at least a win public trust kwa muda
Kuwaendea TLS na kuwataka wamasaidie bado kunatengeneza ama kunazidi kutengeneza ombwe na hisia hasi kama kiongozi mkuu kati yake na wananchi wake

Kingine kibaya zaidi ni kuwakabidhi TLS hati ya kiwanja katika mazingira kama haya.. Hli halijajenga bali limezidi kuharibu.. Ni kama vile TLS wamefungwa mikono rasmi..!

Mama apunguze kuwaamini watu maana wameshamharibia vya kutosha sana sasa anahangaika pekeyake huku wao wakiwa nyuma ya pazia wanamcheka
FB_IMG_1692047468444.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais Samia Suluhu Hassan leo amekutana na kufanya mazungumzo na viongozi pamoja na baadhi ya Wanachama wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) pamoja na Chama cha Wanasheria Zanzibar (ZLS) Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma

Akizungumza katika mkutano huo Rais Samia amekumbusha juu ya wajibu wa TLS na ZLS kusimamia utawala wa sheria kwa mujibu wa Katiba ya nchi kwa kuzingatia weledi na uadilifu huku akiwataka pia kumsaidia kusimamia misingi ya "R" nne katika kujenga umoja wa nchi na kuleta maendeleo

"Nimekuja na R zangu nne, sitaki shida nataka Watanzania waishi vizuri, nisaidieni huko. Kwa karne tuliyonayo hapa hakuna Mtanzania atakayeuza Tazania hii wala atakayegawa Tanzania hii, na sisi serikali, vyama vya siasa tukianza fukunyuku Wananchi watatusuta, nendeni kanisaidieni hizo R nne." Ameeleza Rais Samia


Chanzo: Clouds Media
 

Attachments

  • 13C6B242-1374-4A34-8B95-1A29C92A0262.jpeg
    13C6B242-1374-4A34-8B95-1A29C92A0262.jpeg
    27.3 KB · Views: 2
  • 5DD3A3BE-7B02-41B8-BF44-8C2C67A9C184.jpeg
    5DD3A3BE-7B02-41B8-BF44-8C2C67A9C184.jpeg
    51.7 KB · Views: 2
  • ACBCCFC8-88EA-4C32-9C6E-08454D77A821.jpeg
    ACBCCFC8-88EA-4C32-9C6E-08454D77A821.jpeg
    103.2 KB · Views: 2
  • B89B6DD9-9307-4424-B3C5-CDEBC583BDD1.jpeg
    B89B6DD9-9307-4424-B3C5-CDEBC583BDD1.jpeg
    44.1 KB · Views: 2
Back
Top Bottom