Rais Samia: Hakuna atakayeuza Tanzania. Sitaki Shida nataka Watanzania Waishi Maisha mazuri

Rais Samia: Hakuna atakayeuza Tanzania. Sitaki Shida nataka Watanzania Waishi Maisha mazuri

Hivi ni kweli huyu mama hajui ni vipengele vipi vya mkataba vinavyolalamikiw? Auxhajui kusoma nini?
 
Mkuu wa nchi hawezi kulingana na mimi wala wewe.
Speech yake inaandaliwa na jopo la wasomi wazuri kadhaa na inafanyiwa mapitio.

Kauli ya rais ni kauli ya nchi, sio mipasho mipasho kama ya Kopa anayejitungia ashki zikimshika
Ndugu yangu mimi naishi kwenye nchi ambayo mkuu wa nchi anapada treni au daladala anaenda kazini hazingirwi na watu wa kumlinda kama kuku.Anaenda disco kucheza mdundiko bila shida hana mav8 ingawa anatoa msaada Tanzania za mamilioni.
 
Hao wasomi unaowaits wewe ni wazuri ndio wanakula KEKI YA NCHI PEKE YAO.

Na huyu mama anasema hataki matatizo,
Kwanini analazimisha kuendelea na WAARABU na DP WORLD yao,kwanini wao ndio wawe watu PEKEE wa kuchukua Bandari ZETU Tena bila kushindanishwa.

Kwa namna walivyofanya Siri kuingia mkataba na DP WORLD ndiposa wenye Akili tunang'amua AGENDA YA SIRI NI KUUZA TANGANYIKA KWA MANUFAA YAO NA WAARABU NA SIO KULETA MAENDELEO KWETU WANANCHI.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Qur'an inasema " mwanamke ni kiumbe dhaifu , hakistahili katika uongozi " kumbe ilikuwa na maana hii
Mtu amekuwekea panga shingoni kabisa na umeona pale kuna Maiti pemben anakuambia yeye hawezi kukuua ,hataki shida na ww hiyo si itakuwa ni dhihaka kuendelea kuwamin. Ngoro ngoro imepita hivi ,misitu hivi na faida yaek haionekani halafu anakuja na huo uharo wake kuwa hataki shida
 
Mtu amekuwekea panga shingoni kabisa na umeona pale kuna Maiti pemben anakuambia yeye hawezi kukuua ,hataki shida na ww hiyo si itakuwa ni dhihaka kuendelea kuwamin. Ngoro ngoro imepita hivi ,misitu hivi na faida yaek haionekani halafu anakuja na huo uharo wake kuwa hataki shida
Aya gani hio kwenye Qurani.
Mimi najua biblia ndio INASEMA mwanamke Ni kiumbe dhaifu.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mama samia hilo tunaliona kwa viendo.

Leo hii Tanzania watu wanapewa mashamba mpaka eka kumi kumi na wanafundishwa na wanawekewa visima. Hakika asitutakia maisha mema, hawezi kutufanyia hivyo.


Mimi nimefurahi sana, mama Samia kalenga haswa kwenye tija, kilimo kina tija sana.
 
Rais Samia Suluhu Hassan leo amekutana na kufanya mazungumzo na viongozi pamoja na baadhi ya Wanachama wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) pamoja na Chama cha Wanasheria Zanzibar (ZLS) Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma

Akizungumza katika mkutano huo Rais Samia amekumbusha juu ya wajibu wa TLS na ZLS kusimamia utawala wa sheria kwa mujibu wa Katiba ya nchi kwa kuzingatia weledi na uadilifu huku akiwataka pia kumsaidia kusimamia misingi ya "R" nne katika kujenga umoja wa nchi na kuleta maendeleo

"Nimekuja na R zangu nne, sitaki shida nataka Watanzania waishi vizuri, nisaidieni huko. Kwa karne tuliyonayo hapa hakuna Mtanzania atakayeuza Tazania hii wala atakayegawa Tanzania hii, na sisi serikali, vyama vya siasa tukianza fukunyuku Wananchi watatusuta, nendeni kanisaidieni hizo R nne." Ameeleza Rais Samia


Chanzo: Clouds Media
Niliacha kufuatilia chochote kwa watu wenye akili matope
 
Mama samia hilo tunaliona kwa viendo.

Leo hii Tanzania watu wanapewa mashamba mpaka eka kumi kumi na wanafundishwa na wanawekewa visima. Hakika asitutakia maisha mema, hawezi kutufanyia hivyo.


Mimi nimefurahi sana, mama Samia kalenga haswa kwenye tija, kilimo kina tija sana.
Shetwani kabisa.
Huyu mama msiomjua SAA hizi wacha endelee kuwa madarakani,
Mtaisoma namba mpaka mtajuta.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Ndugu yangu mimi naishi kwenye nchi ambayo mkuu wa nchi anapada treni au daladala anaenda kazini hazingirwi na watu wa kumlinda kama kuku.Anaenda disco kucheza mdundiko bila shida hana mav8 ingawa anatoa msaada Tanzania za mamilioni.
Ujue kwa Africa ni mamiunguwatu. Tofauti sana na huko ulipo.
Hapa ndiyo kama hivyo bandari zinaenda kwa mikataba mibovu. Na wanaohoji wanapewa uhaini na kuwindwa kama ndege pori.

Kwani kwanini asione umuhimu wa ku review hivyo vinavyolalamikiwa ?!. Kwanini aone solution ni kuwapa watu uhaini !!.
 
Mkataba umeshafafanuliwa kifungu kwa kifungu tena na Hamza Johari aliyeshiriki kuuandika akiwa na wanasheria wa Dubai.

Kusema Rais aufafanue wakati ufafanuzi ulishafanyika ni vurugu na ni ukosefu wa adabu wa kwa Rais.
Watu wengine mijadala kama hii haiwafai. Rudi kwenye ubishani wenu wa Simba na Yanga.
 
Back
Top Bottom