Rais Samia: Hakuna atakayeuza Tanzania. Sitaki Shida nataka Watanzania Waishi Maisha mazuri

Ndugu itabidi muwe wakimbizi kama sie tuliomkimbia Magufuli na alipoondoka tukambiwa nchi imetulia ameanza maridhiano wanasiasa wakaitwa lakini hakuna hata mwanasiasa mmoja aliesema kwenye maridhiano jamani kwani ndio sisi tu tuliokuwa wakimbizi??!!Wengine je wafanyabiashara vipi wawekezaji vipi na kadhalika.Hilo ndio tatizo la Tanzania kila mtu anapambana na matatizo yake huku ulaya ukiwa na shida atakaekusaidia ni mtu wa huku ulaya sio ubalozi wako wa Tanzania au Mtanzania mwenzako kwa hiyo ndio ukweli wa Watanzania pambaneni tu mkiungana labda mtafanikiwa
 
Mkataba tayari umeshatugawa., wapo wanaouona hauna tatizo, na wapo wanaouona unatatizo. Ndio maana wanaouona unatatizo tunataka tuwafungulie mashtaka ya Uhain kama aliyekuwa Rais wa Niger.
 
Bring it on mama
Sema mimi naimani haya yote yatakuwa sawa tu
 
Duuuh hati ya kiwanja.., hapo nahis kawaziba kiaina. Na hautawasikia wakikosoa tena hiyo kitu watabaki wananong'ona pemben tu.
 
Maneno yake na matendo yake ni vitu viwili tofauti mnafiq mkubwa huyu yalimoyo kifuani mwake ni tofauti na ayatendayo!!....MwenyeziMungu atuondolee huu mkosi!!
 
Maneno yake na matendo yake ni vitu viwili tofauti mnafiq mkubwa huyu yalimoyo kifuani mwake ni tofauti na ayatendayo!!....MwenyeziMungu atuondolee huu mkosi!!
Magufuli alikuwa hivyo hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…