Rais Samia hana Mbadala Wake wa kuweza kuvaa viatu vyake katika Uchaguzi hapo Mwakani

Kwa wakati huu hatuwezi kupata kiongozi mchapa kazi , mzalendo,akili kubwa ,mwenye maono ,utulivu,uzalendo , unyenyekevu, busara,hekima kama alivyo Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan
 

SAMIA SULUHU HASSAN ANATOSHA
 
Huku bara akipata hata kura 20k zitakuwa za wizi.... Hata CCM wenzake kutoa wewe na Pasco watamnyima kura...
 
Wapi huko Kizimkazi au wapi
huKO KIZIMKAZI HANA KWELI LKN HUKU KWINGINE WAPO WAKUTOSHA SANAAA ,HATA LUHANGA MPINA ANATOSHAA KULIKO YEYE
 
Umesahau kuweka number yako ya simu.
 
Vua chupi akuweke nyuma chapu. Jinga wewe. Mungu chukua hili lishetani haraka Sana lichome moto liteketee
 

Kwenye uchaguzi ujao nitakuwa tayari kupiga kura iwapo tu atatokea mgombea atakayeahidi kudhibiti na kuwaangamiza CHAWA wote nchini.

Aisee CHAWA wanakera nyinyi!! Yaani uwasikie tu kwa majirani. Ila wakiingia nyumbani mwako, ndiyo utasimulia.
 
Yupo Simba Lisu anaemfanya Mama aliekufikisha aweweseke huku na huko..
 

Labda mwenzetu unajua ana mpango kazi gani kusimamisha hili wimbi la utekaji na kuachiliwa kwa mateka wote wanaoshikiliwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…