Sasa utawaambia nini wakati mpaka hizo vipaza sauti, magari na kila kitu kimetoka kwao 🤣Eti hatujawah kuwafundsha wao namna ya kuongoza kwann watuseme sisi wakat nchi zao zinamauaji pia,kameshasahau pia kwamba huwa kanaenda kuomba omba huko kwa wakubwa kukopa lakin wao hawajawah kuja kukopa hapa
Unajidanganya bure, kumbuka: hata ndege anayotumia kusafiria kwenda katika nchi mbalimbali imetengenezwa na hao hao anaowasema. Watch out!Leo ndio amenikosha kwa furaha. Hatuwezi kuwa taifa la watu wakujikomba. Akina chief Mangingo endeleeni kulamba miguu. Leo laongea kama Rais wa nchi. Japo yapo siyaelewi ya rasilimali za nchi
Wazungu!! Mkuu tulia. Kama ulipanga kushiriki maandamano fanya mambo yako. Hii ni nchi na ina Serikali yenye Mamlaka Kamili. Sio Serikali ya Samaki!!! Fanya mambo yako, Jenga taifa, shuhulikia familia yako, kama unayo. Samia ndiye Rais wa nchi hii kwa sasa.Usimjaze upepo bure, atahujumiwa. Wazungu Wana mbinu nyingi Sana. Usiwachezee.
Waingereza kwenye kuwadhibiti watu kama hao huwa Wana msemo wao kwamba "There is more than one way of skining a cat."
Hakuwa yeye nani!??Inasikitisha sana ! Hakuwa yeye.
Unapoteza muda wako bure kushauri au kuelimisha mpumbavu.Kauli yako kuwa Balozi za Kigeni ambazo zilikemea na kutaka Uchunguzi wa Kifo cha Mzee Kibao (ukiilenga hasa Marekani) kuwa zilifanya hivyo bila ya Baraka za Marais wao umeikosea mno Kuisema.
Na ukaenda mbali zaidi kusema kuwa kama kungekuwa na baya basi hao Marais wenye Uwakilishi wao kupitia Balozi zao nchini Tanzania wao wenyewe wangekupigiia.
Yaani Rais Samia pamoja na Urais wako wote huo na hao Wasaidizi wako hujui kuwa Sauti ya Balozi mwakilishi wa nchi ni Sauti ya Rais wa hiyo nchi husika?
Kiufupi ni kwamba huna Watu wazuri wa Masuala ya Kidiplomasia kwani kama ungekuwa nao nina uhakika wasingekuruhusu Kukizungumza hiki Kituko ulichokizungumza leo.
Namalizia kwa Kukushauri tu kwamba ukitaka haya Mataifa ya Kigeni yaache ulichokimaanisha kuwa ni Kihehere chao kwa Kukemea matukio mabaya ya Utekaji na Mauwaji basi nawe hakikisha unaongoza vyema na Kuchukua hatua stahiki kwa haraka.
Na ni matumaini yangu makubwa GENTAMYCINE kuwa baada ya leo Kukerwa nao (haya Mataifa makubwa ukiilenga Marekani) kwa Kukemea matukio mabaya nchini basi hata Wewe (kama Rais) hutotembeza tena Bakuli Kwao kuwaomba Misaada mbalimbali kwakuwa kwa sasa Tanzania ilipofikia chini yako ina uwezo wa Kujitegemea yenyewe Kiuchumi, Kisiasa, Kijamii na tayari imeshaifikia Marekani kwa kila Kitu.
Soma Pia: Rais Samia kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yetu
Alionywa mapema kabisa kuwa "adui yako siyo wapinzani bali ni mvaa shati la kijani mwenzako". Leo hii anawatolea povu wapinzani na nchi wahisani wakati hiyo michezo anachezewa na wateule wake mwenyewe wanamtisha na ametishika hadi anapanic na kutoa speech ya kukurupuka,wenyewe wanachekea tumboni kuwa ameshajaa kwenye mfumo wao na watamchezesha singeli hadi kiti atakuona kichungu hicho. Hivi kweli Chadema wana ubavu gani wa kumuondoa madarakani? Naona aibu mimi Rais kuogopeshwa naye akaogopa.Kauli yako kuwa Balozi za Kigeni ambazo zilikemea na kutaka Uchunguzi wa Kifo cha Mzee Kibao (ukiilenga hasa Marekani) kuwa zilifanya hivyo bila ya Baraka za Marais wao umeikosea mno Kuisema.
Na ukaenda mbali zaidi kusema kuwa kama kungekuwa na baya basi hao Marais wenye Uwakilishi wao kupitia Balozi zao nchini Tanzania wao wenyewe wangekupigiia.
Yaani Rais Samia pamoja na Urais wako wote huo na hao Wasaidizi wako hujui kuwa Sauti ya Balozi mwakilishi wa nchi ni Sauti ya Rais wa hiyo nchi husika?
Kiufupi ni kwamba huna Watu wazuri wa Masuala ya Kidiplomasia kwani kama ungekuwa nao nina uhakika wasingekuruhusu Kukizungumza hiki Kituko ulichokizungumza leo.
Namalizia kwa Kukushauri tu kwamba ukitaka haya Mataifa ya Kigeni yaache ulichokimaanisha kuwa ni Kihehere chao kwa Kukemea matukio mabaya ya Utekaji na Mauwaji basi nawe hakikisha unaongoza vyema na Kuchukua hatua stahiki kwa haraka.
Na ni matumaini yangu makubwa GENTAMYCINE kuwa baada ya leo Kukerwa nao (haya Mataifa makubwa ukiilenga Marekani) kwa Kukemea matukio mabaya nchini basi hata Wewe (kama Rais) hutotembeza tena Bakuli Kwao kuwaomba Misaada mbalimbali kwakuwa kwa sasa Tanzania ilipofikia chini yako ina uwezo wa Kujitegemea yenyewe Kiuchumi, Kisiasa, Kijamii na tayari imeshaifikia Marekani kwa kila Kitu.
Soma Pia: Rais Samia kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yetu
mPaka 2030,awamu zake mbili zitakapoishaNAOMBA KUULIZA HIVI HUYU ATAKAA MADARAKANI KWA MUDA GANI KIKATIBA? YANI ATAKAA KWA MIAKA MINGAP MPKA PALE AWAMU ZAKE ZITAKAPOKWISHA?
Mimi sizungumzii kuhusu maandamano, bali nazungumzia kuhusu uhalisia wa mambo jinsi yalivyo.Wazungu!! Mkuu tulia. Kama ulipanga kushiriki maandamano fanya mambo yako. Hii ni nchi na ina Serikali yenye Mamlaka Kamili. Sio Serikali ya Samaki!!! Fanya mambo yako, Jenga taifa, shuhulikia familia yako, kama unayo. Samia ndiye Rais wa nchi hii kwa sasa.
Bwabwa mchicha mwiba huu 😂😂😂Kuwa na adabu wewe!! Bwawa umeliacha katikati ya mapaja ya mkeo unakoegelea na kuzama hadi kichwa. Nyoko sana wew. Hotuba ya Amiri Jeshi Mkuu imekutoweni kwenye mstari mmekaa kaa vipanya vilivyonyeshewa na mvua.
Nakumbuka hatukuwa na mwalimu wa kiswahili form one alikuja wakati tuko form two alitufundisha alomofu,mofimu na kuhusu tungo tata, napenda sana kuongea tungo tata na lugha kificho, (silent language), a.k.a codesGENTAMYCINE Dkt Samia sijui kimempata kitu gani. Mi nilitegemea angekaa tu kimya maana wenzetu kila kauli wanaenda field kama ilivyo kwa TISS yetu Mh. Mbowe au Mh. Lisu akitoa kauli, yaani wanaenda chimbo kama la TISS kwa wapinzani then tofauti na TISS wetu wanakuwa na mkakati wa wiki au mwezi wao wanakuja na mkakati wa kizazi, na vizazi. Nadhani kweli washauri wake wamekosea sana. Kingine mpaka sasa Dkt Samia yupo kikaangoni kwa kuegemea kwa waarabu na China maana yake tupo vitani mpaka now na hayo mataifa ya Magharibi in addition na vita tuliyonayo ya dharula ya kifo cha rais aliyekuwa madarakani Dkt Magufuli. Nadhani zile 4R zake angeendelea nazo kimya kimya bila kuleta taharuki na huku mengine akishaghulikia kimya kimya. Kauli tata ni mbaya sana kwa wenzetu wa magharibi kwa sababu maisha yao bila Africa ni magumu sana
Mjazeni ujinga tuWhether yuko sahihi au hayuko sahihi, Rais wa Nchi anatakiwa kuzungumza yale anayoyaamini hadharani. Na ndiyo maana SSH ni Rais wa JMT.
Hatuwezi kuwa na Rais ambaye hasemi anayoyaamini wala kuonesha msimamo wake wazi juu ya yale anayoyaamini kwenye kuongoza nchi yake. JPM allifanya, BWM alifanya, JK alifanya na wengine. Kwa kuzungumza leo amefanya jambo la maana japo wahafidhina na wapinzani wake watamkosoa kwenye yale aliyosema lakini muhimu amesema na hakuna mtu angemsaidia kusema.
That is the President we need.
Kifupi ameyatimba.GENTAMYCINE Dkt Samia sijui kimempata kitu gani. Mi nilitegemea angekaa tu kimya maana wenzetu kila kauli wanaenda field kama ilivyo kwa TISS yetu Mh. Mbowe au Mh. Lisu akitoa kauli, yaani wanaenda chimbo kama la TISS kwa wapinzani then tofauti na TISS wetu wanakuwa na mkakati wa wiki au mwezi wao wanakuja na mkakati wa kizazi, na vizazi. Nadhani kweli washauri wake wamekosea sana. Kingine mpaka sasa Dkt Samia yupo kikaangoni kwa kuegemea kwa waarabu na China maana yake tupo vitani mpaka now na hayo mataifa ya Magharibi in addition na vita tuliyonayo ya dharula ya kifo cha rais aliyekuwa madarakani Dkt Magufuli. Nadhani zile 4R zake angeendelea nazo kimya kimya bila kuleta taharuki na huku mengine akishaghulikia kimya kimya. Kauli tata ni mbaya sana kwa wenzetu wa magharibi kwa sababu maisha yao bila Africa ni magumu sana
Rais hawezi kuwa neutral mzee. Hilo ukilielewa hata hutapata stress. Consequence ya hiki alichokiongea utaona hata mabalozi walioguswa muda si mrefu wataondoshwa na nchi zao. Wazungu pia sio wajinga kihivyo kama unavyofikiri.Mimi sizungumzii kuhusu maandamano, bali nazungumzia kuhusu uhalisia wa mambo jinsi yalivyo.
Kumbuka: hata ndege anayotumia huyo mtu kusafiria kwenda katika nchi mbalimbali imetengenezwa na hao hao Watu anaowasema. Watch out!
Where is Iranian President Raisi?
Where is Vice President of Malawi Saulos Chilima?!?
Usipende kushindana na mabeberu, wana mbinu nyingi Sana.
Alisema pia ana njia za kuwasiliana na mamlaka za uteuzi za mabalozi husika,akajua kuwa hawana baraka hizoKauli yako kuwa Balozi za Kigeni ambazo zilikemea na kutaka Uchunguzi wa Kifo cha Mzee Kibao (ukiilenga hasa Marekani) kuwa zilifanya hivyo bila ya Baraka za Marais wao umeikosea mno Kuisema.
Na ukaenda mbali zaidi kusema kuwa kama kungekuwa na baya basi hao Marais wenye Uwakilishi wao kupitia Balozi zao nchini Tanzania wao wenyewe wangekupigiia.
Yaani Rais Samia pamoja na Urais wako wote huo na hao Wasaidizi wako hujui kuwa Sauti ya Balozi mwakilishi wa nchi ni Sauti ya Rais wa hiyo nchi husika?
Kiufupi ni kwamba huna Watu wazuri wa Masuala ya Kidiplomasia kwani kama ungekuwa nao nina uhakika wasingekuruhusu Kukizungumza hiki Kituko ulichokizungumza leo.
Namalizia kwa Kukushauri tu kwamba ukitaka haya Mataifa ya Kigeni yaache ulichokimaanisha kuwa ni Kihehere chao kwa Kukemea matukio mabaya ya Utekaji na Mauwaji basi nawe hakikisha unaongoza vyema na Kuchukua hatua stahiki kwa haraka.
Na ni matumaini yangu makubwa GENTAMYCINE kuwa baada ya leo Kukerwa nao (haya Mataifa makubwa ukiilenga Marekani) kwa Kukemea matukio mabaya nchini basi hata Wewe (kama Rais) hutotembeza tena Bakuli Kwao kuwaomba Misaada mbalimbali kwakuwa kwa sasa Tanzania ilipofikia chini yako ina uwezo wa Kujitegemea yenyewe Kiuchumi, Kisiasa, Kijamii na tayari imeshaifikia Marekani kwa kila Kitu.
Soma Pia: Rais Samia kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yetu
Asipoelewa hapa basi atakuwa kashindikanaKauli yako kuwa Balozi za Kigeni ambazo zilikemea na kutaka Uchunguzi wa Kifo cha Mzee Kibao (ukiilenga hasa Marekani) kuwa zilifanya hivyo bila ya Baraka za Marais wao umeikosea mno Kuisema.
Na ukaenda mbali zaidi kusema kuwa kama kungekuwa na baya basi hao Marais wenye Uwakilishi wao kupitia Balozi zao nchini Tanzania wao wenyewe wangekupigiia.
Yaani Rais Samia pamoja na Urais wako wote huo na hao Wasaidizi wako hujui kuwa Sauti ya Balozi mwakilishi wa nchi ni Sauti ya Rais wa hiyo nchi husika?
Kiufupi ni kwamba huna Watu wazuri wa Masuala ya Kidiplomasia kwani kama ungekuwa nao nina uhakika wasingekuruhusu Kukizungumza hiki Kituko ulichokizungumza leo.
Namalizia kwa Kukushauri tu kwamba ukitaka haya Mataifa ya Kigeni yaache ulichokimaanisha kuwa ni Kihehere chao kwa Kukemea matukio mabaya ya Utekaji na Mauwaji basi nawe hakikisha unaongoza vyema na Kuchukua hatua stahiki kwa haraka.
Na ni matumaini yangu makubwa GENTAMYCINE kuwa baada ya leo Kukerwa nao (haya Mataifa makubwa ukiilenga Marekani) kwa Kukemea matukio mabaya nchini basi hata Wewe (kama Rais) hutotembeza tena Bakuli Kwao kuwaomba Misaada mbalimbali kwakuwa kwa sasa Tanzania ilipofikia chini yako ina uwezo wa Kujitegemea yenyewe Kiuchumi, Kisiasa, Kijamii na tayari imeshaifikia Marekani kwa kila Kitu.
Soma Pia: Rais Samia kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yetu