ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Wewe ndio mwendawazimu usituweks na wengineWatanzania sisis ni kichwa cha mwendawazimu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndio mwendawazimu usituweks na wengineWatanzania sisis ni kichwa cha mwendawazimu
Sasa Mimi binafsi Toka nimeanza kufuatilia mambo ya Uongozi hakuna yeyote anaejiita mwanaume ameweza kufanya aliyofanya Samia.kwasababu ukweli ni kwamba wanawake hamkuumbwa kua viongozi hamna ubunifu, ujasiri, hulka wala uwezo wa kusimamia na kufuatilia mikakati kufikia malengo. Hata tubishane mwaka mzima swala hili liko bayana kabisa.
Rejea hata yeye mama yenu May 2022 alisema hana uwezo wa kusimamia na kufuatilia kama alivyokua Magu. Mwanamke amepewa heshima kubwa na Mungu kua mlezi ila maharakati yenu (ya kijinga) yanawadanganya ati mnaweza kutenda kama wanaume (ili hali ukweli uko wazi, wanawake ni viumbe dhaifu sio tu physically hata mentally na emotionally)
Mnadanganywa kua madumejike ati mnaweza majukumu ya kiume, na hata mkishakua madume jike mnagundua hata haiwapi amani na furaha. Tazama mitaani wanawake wenye mavyeo na manyadhifa ila usoni hawana furaha ni kama walking zombies, ule utamu wa mwanamke umepotea.
Unakuta janamke hata ukilitomasa halisisimki ule uanamke umeshatoweka yani ni lidume kama Hamisi ila tu lina kum.a yote inaletwa na kudandia majukumu ya kiume ambayo kimsingi ni very energy draining and competitive.
Akigombea mama yako tutamchagua.Binafsi sioni kama huyu Rais wa sasa anafaa kugombea 2025.
Hana sifa.
Hana uwezo.
Ni mbaguzi.
Hatufai.
Akigombea 2025.
Hakuna wa kumkataza 2030.
Tumkatae na mambo yake yote.
Sukima gang Hadi saizi ukiwaambia tuweke ulinganisho wa kitakwimu kati ya Samia na Magufuli hawawezi maana kamzidi.Subri mwaka huu tunamkaribisha Samia kugombea mwakani kwa kuhakikisha vijj na mitaa yote ipo CCM, mwakani ni kuteremka tu na DR SSH
Anaamini wezi wezake na si kama hajuiAnaweza awe na mapungufu yake hasa ya kuwaamini wasaidizi wske ambao mostly wanafeli, lakn ni one of the best president tanzania tulishwahi.kuwa nao. Kama ni ubaguzi kwa jnamna unavyo sema basi hamfikii magu hata tone.
Ila kwa nnavyokujua ww na ulipo, hii ujumbe una nia ya kuwanasa watu ujue fikra zao
Kwanza Bora Magu alikuwa,angekuwepo Hadi Leo hii Nchi ingekuwa ime collapse kitambo na watu wenye pesa wamekimbia Nchi.Kwa Awamu ya kwanza awamu hii alikua anammalizia Magu awamu yake INAANZA 2025
Ukiacha huyu mama ambaye anajitahidi sana kuondoa umaskini tulionao nani mwingine mwenye huruma na sisi?mbowe?lema?au slaa? sometimes mnataka tu kuaababisha tuwatukane nyie wala ganjaBinafsi sioni kama huyu Rais wa sasa anafaa kugombea 2025.
Hana sifa.
Hana uwezo.
Ni mbaguzi.
Hatufai.
Akigombea 2025.
Hakuna wa kumkataza 2030.
Tumkatae na mambo yake yote.
Mabandiko kama haya ndio yanashusha credibility ya JF, unamchukia mtu kwa chuki tuu na sio kwa hoja!.Binafsi sioni kama huyu Rais wa sasa anafaa kugombea 2025.
Hana sifa.
Hana uwezo.
Ni mbaguzi.
Hatufai.
Akigombea 2025.
Hakuna wa kumkataza 2030.
Tumkatae na mambo yake yote.
....mimi naamini busara itamuongoza atapumzikaBinafsi sioni kama huyu Rais wa sasa anafaa kugombea 2025.
Hana sifa.
Hana uwezo.
Ni mbaguzi.
Hatufai.
Akigombea 2025.
Hakuna wa kumkataza 2030.
Tumkatae na mambo yake yote.
Samia ndio Rais pekee ambae anaondoka umaskini Kwa watu Kwa vitendo na sio blaa blaa za Sgr,sijui bwawa and such nonsense.Ukiacha huyu mama ambaye anajitahidi sana kuondoa umaskini tulionao nani mwingine mwenye huruma na sisi?mbowe?lema?au slaa? sometimes mnataka tu kuaababisha tuwatukane nyie wala ganja
Ni kwasababu bado hajujajua hasa nini tunatakaWewe ndio mwendawazimu usituweks na wengine
Hebu nitajie ubaguzi wa magu hata kidogo.Anaweza awe na mapungufu yake hasa ya kuwaamini wasaidizi wske ambao mostly wanafeli, lakn ni one of the best president tanzania tulishwahi.kuwa nao. Kama ni ubaguzi kwa jnamna unavyo sema basi hamfikii magu hata tone.
Ila kwa nnavyokujua ww na ulipo, hii ujumbe una nia ya kuwanasa watu ujue fikra zao
Mwambie aweke vigezo na tupime Moja baada ya mwingine.Mabandiko kama haya ndio yanashusha credibility ya JF, unamchukia mtu kwa chuki tuu na sio kwa hoja!.
Unadai
1. Hana sifa- sifa gani ambazo Rais Samia hana?.
2. Hana uwezo.- uwezo gani ambao Rais Samia hana?.
3. Ni mbaguzi kivipi?
4. Hatufai kivipi wakati kila uchao anafanya makubwa?.
Tumkatae na mambo yake yote kwa chuki tuu bila sababu?. Watanzania sio misukule tena.
P
Wewe ndio hujui nini unataka ila Mimi najua na nafahamu uelekeo wa Nchi.Ni kwasababu bado hajujajua hasa nini tunataka
Msemaji wa CCM kasema mbinguni wamemchukulia fomu ya urais.Alishasema hatogombea , Gazeti la Uhuri liliandika , sasa kwanini mnamlisha maneno ?
Naunga mkono hoja.Mwambie aweke vigezo na tupime Moja baada ya mwingine.
Rais hana uwezo ambae amekuwa Mapato ya Nchi mara 2 zaidi ya waliokaaa madarakani miaka 5?
Hana uwezo mtu ambae anasukuma Utitiri wa miradi across sectors tofauti na wale waliokuwa wanasingizia kwamba wanajenga Sgr sijui bwawa and such blaaa blaaa
Hana uwezo ambae ameleta Demokrasia na uhuru wa kujieleza hadi mtoa mada anatukana atakavyo tofauti na wale waliokuwa wamewasweka lock up?
Aisee watu kama mtoa mada wanatakiwa watokomezwe kabisa, Changamoto ndogo ndogo zilizopo ni za kawaida hakuna Nchi isiyo na Changamoto and they are being dealt for.
Bado Lucas nae aje.Mwambie aweke vigezo na tupime Moja baada ya mwingine.
Rais hana uwezo ambae amekuwa Mapato ya Nchi mara 2 zaidi ya waliokaaa madarakani miaka 5?
Hana uwezo mtu ambae anasukuma Utitiri wa miradi across sectors tofauti na wale waliokuwa wanasingizia kwamba wanajenga Sgr sijui bwawa and such blaaa blaaa
Hana uwezo ambae ameleta Demokrasia na uhuru wa kujieleza hadi mtoa mada anatukana atakavyo tofauti na wale waliokuwa wamewasweka lock up?
Aisee watu kama mtoa mada wanatakiwa watokomezwe kabisa, Changamoto ndogo ndogo zilizopo ni za kawaida hakuna Nchi isiyo na Changamoto and they are being dealt for.
Rais Samia ni;Binafsi sioni kama huyu Rais wa sasa anafaa kugombea 2025.
Hana sifa.
Hana uwezo.
Ni mbaguzi.
Hatufai.
Akigombea 2025.
Hakuna wa kumkataza 2030.
Tumkatae na mambo yake yote.
Tumshukuru Mungu kwa yeye. Hata hivyo amejitahidi kulingana na uwezo wake. Tusitake kushindanisha mbio kati ya V8 na bajaji. Asante sana mama. Usiwasikilize kamwe chawa wanaokushawishi ugombee 2025 kwa maana wanakudanganya. Wewe malizia awamu ya magu, kisha katulie ukiwa umeleta katiba mpya.Bora akapumzike.
We are tired of dramas.