Rais Samia hawezi Kumgusa Waziri Mwigulu Nchemba?

Rais Samia hawezi Kumgusa Waziri Mwigulu Nchemba?

HAWA NDO WAMEMUWEKA MADARAKANI USIDHANI NI KITU RAHISI WEWE.

Ndio hatukatai Mwigulu ni poyoyo, ila anahusuka vipi na administration za kodi mpaka abebe lawama za migomo ya wafanyabiashara ambao hawataki kufuata sheria za tax administration na awapendi kulipa kodi.

Bora huyo mama alivyoamua kupeleka mtaalamu wa kodi maana uwa anajiropokea tu, eti Mwigulu kamshauri kuanzisha TRĄB/TRAT vitu ambavyo vipo tayari.

Not sure ata kama anajua hiyo ni ‘alternative dispute resolution’ (mediation/arbitration) ambayo inatakiwa kuwa neutral kwenye kusikiliza dispute, yeye anasema iwe chini ya TRA.

Yaani wewe unabishana madai ya kodi na TRA halafu msikilizaji awe TRA, vitu wanavyoropoka hawa viongozi wetu unaona kabisa hao wasaidizi wao huko mawizarani na Ikulu hamnazo; surely wasaidizi wa raisi wanatakiwa kujua technicality za vitu anavyoongea.
Hivi TRA Iko chini ya wizara gani! Ofisi ya Rais, Makamu wa Rais au PM? Kwa nn Nchemba hahusiki!
 
Moja kwa moja kwenye madam.
Mwigulu Mchemba Waziri Mwenye dhamana ya mambo ya fedha, ni miongoni mwa vigogo ambao Mh Rais anawaogopa.

Mgogororo wa wa kariakoo ulipotokea awali , wafanyabiashara waliongea wazi kuwa tatizo lipo TRA na kwa ujumla wake Wizara ya fedha mintarafu waziri Mwenye dhamana.

Yalitolewa maelekezo na Waziri Mkuu, Mwigulu na TRA wakampuuza PM.

Juzijuzi mgomo wa wafanyabiashara KARIAKOO ulirejea Tena, kwa sababu zilezile na mazingira yaleyale.

Kwa lugha rahisi ni kuwa kumekuwa na Kudharau, Mwigulu alibehua maagizo ya PRINCIPAL assistant yaani Waziri Mkuu kuhusu kumaliza changamoto za wafanya biashara.

Tumeona Rais Samia amemtoa kafara Kamishna Mkuu wa TRA.

katika Mgogororo ule hamna linalomuhusu Kamishna lisilomiuhusu waziri wa Fedha.

Lakini Mama ameogopa kumgusa Mwigulu, na kamwe hawezi kumgusa Mwigulu kwa ajili ya woga wa Uchaguzi Mkuu 2025.

Mh Rais anaaminishwa kuwa Mwigulu, Makamba Jr na Nape Mnauye kuwa wao ndo watu potential ambao hawapaswi kuguswa hata wakiharibu.

Kifupi Mwigulu ni msanii tu, ambaye anajijenga mwenye kwa Urais.

Ni mtu Mwenye Dharau, anadharau PM na hamuogopi yeyote yule.

Kutokana na mazingira haya, na failures nyingi kwa wizara yake,hastahili kuendelea Kwenye hiyo nafasi.

Anaendelea kuwepo kwa sababu Mh Rais ,kati ya watu anawaogopa sana ni Mwigulu Mchemba.

Ningekuwa mimi, Nape , Mwigulu, Makamba Piga Ubalozi huko Masharki ya mbali, ondoa kwenye local politics,watakuharibia hao kulekea uchaguzi mkuu.
Ukicheka na nyani unavuna mabua.

Narudia MAMA HANA UWEZO WA KUMFANYA CHOCHOTE KILE MWIGULU MCHEMBA, NAONGEZA NA NAPE NA MAKAMBA JR

Muwe na Jumapili njema.
Niguse ninuke
 
Mwigulu yupo hapo Kwa kazi moja tu, kutafuta pesa za uchaguzi 2025. Kumbuka wakati mwingine mwenye timu huamua nania acheze wewe kocha utafanyaje?.
Mwigulu anacheza kama Luis Suarez anadaka mpira golini na si golikipa, inakuwa penalty. Golikipa anaitoa wanaingia robo fainali 2010 South Africa hiyo. Pengine makosa yake ya makusudi yanaiikoa CCM. Utajuaje bwn!
 
Kidata kutolewa TRA ni kutokana na barua ya balozi wa ufaransa aliyoiandika kwenda kwa Samia, Mwigulu na Kidata mwenyewe, huku copy zikipelekwa kwenye balozi zenye ushawishi Tanzania kama USA, UK, EU embassies etc.

Barua ile ndio imemuondoka Kidata wala sio wafanyabiashara wa kariakoo. Kwamba inawezekana vipi leo hii TRA bado ina hangaika na madeni ya miaka 10 nyuma wakati raisi ashasema waachane na madeni yanayozidi miaka 3.
 
As far as Mwigulu kuwa waziri wa fedha wa hovyo kuna argument.

Lakini kwa mgomo wa Kariakoo au wa wafanyabiashara kokotę nchini hakuna waziri anaeweza intervene

Ni sawa na kumwambia Masauni atoe maamuzi kwenye kazi za polisi, wakati wana taratibu zao za kazi.

Shida ya kodi 90% ipo kwa wafanyabiashara, baadhi ya watumishi wa TRA wana exploit hiyo loophole ya ignance.

Lakini matatizo ya kariakoo wizara ya fedha aiwezi tatua kwa kusikiliza kero, ni swala la TRA kutoa elimu na kuwabana mpaka waelewe asietaka aache.

Huyu Mwigulu atolewe kwa mengine, Iła kariakoo huyo waziri mkuu alikuwa anajiropokea tu hawana tax advisors kwenye team zao Ndio shida ilipo.

Kodi inakusanywq kwa mujibu wa sheria na sehemu kubwa ya tatizo ni uelewa mdogo wa walipa kodi hasa kwenye kutunza kumbukumbu
 
Hivi unacheza na Nguvu ya Rais kwa Katiba tuliyo nayo?
Kwa kifupi muda ulobaki anaweza akamfyatua yeoyote na akashinda tu kwa Mizengwe yao ule ile ya CCM nambariwani ,

Ukishakuwa mgombea Urais kupitia CCM unakuwa huma unachoogopa kwasababu wanaopiga kura ni Maiti, na wanaopokea matokeo ni maiti hata mpige kura watangaze matokeo ya Mwaka 2020 ila wabadili majina tu kwa wagombea bado watanzania wataona hayawahusu wao ni kuendelea na maisha mengine!
Mgombea wa CCM aliyeogopa uchaguzi alikuwa 1995 Mkapa tu ila backup ya Nyerere ikawa inamliwaza, pale palikuwa ni jaribio ambalo hata walio kwenye system wengine walitaman kuchagua upinzani , ila siku hizi baada na Upinzani nao kutokuwa serious kwa baadhi ya Maeneo watanzania ndo wakalala Pono kabisa !

Britanicca
 
Hivi unacheza na Nguvu ya Rais kwa Katiba tuliyo nayo?
Kwa kifupi muda ulobaki anaweza akamfyatua yeoyote na akashinda tu kwa Mizengwe yao ule ile ya CCM nambariwani ,

Ukishakuwa mgombea Urais kupitia CCM unakuwa huma unachoogopa kwasababu wanaopiga kura ni Maiti, na wanaopokea matokeo ni maiti hata mpige kura watangaze matokeo ya Mwaka 2020 ila wabadili majina tu kwa wagombea bado watanzania wataona hayawahusu wao ni kuendelea na maisha mengine!
Mgombea wa CCM aliyeogopa uchaguzi alikuwa 1995 Mkapa tu ila backup ya Nyerere ikawa inamliwaza, pale palikuwa ni jaribio ambalo hata walio kwenye system wengine walitaman kuchagua upinzani , ila siku hizi baada na Upinzani nao kutokuwa serious kwa baadhi ya Maeneo watanzania ndo wakalala Pono kabisa !

Britanicca
Thanks Chief kwa input,but all in all mama pamoja na power aliyonayo ana hesitate kufanya maamuzi!
Critical decision, kwa kesi ya MWIGULU hawezi kumgusa hata kidogo, kawa BLACKMAILED na Mwigulu,huo ndo ukweli.
 
Moja kwa moja kwenye madam.
Mwigulu Mchemba Waziri Mwenye dhamana ya mambo ya fedha, ni miongoni mwa vigogo ambao Mh Rais anawaogopa.

Mgogororo wa wa kariakoo ulipotokea awali , wafanyabiashara waliongea wazi kuwa tatizo lipo TRA na kwa ujumla wake Wizara ya fedha mintarafu waziri Mwenye dhamana.

Yalitolewa maelekezo na Waziri Mkuu, Mwigulu na TRA wakampuuza PM.

Juzijuzi mgomo wa wafanyabiashara KARIAKOO ulirejea Tena, kwa sababu zilezile na mazingira yaleyale.

Kwa lugha rahisi ni kuwa kumekuwa na Kudharau, Mwigulu alibehua maagizo ya PRINCIPAL assistant yaani Waziri Mkuu kuhusu kumaliza changamoto za wafanya biashara.

Tumeona Rais Samia amemtoa kafara Kamishna Mkuu wa TRA.

katika Mgogororo ule hamna linalomuhusu Kamishna lisilomiuhusu waziri wa Fedha.

Lakini Mama ameogopa kumgusa Mwigulu, na kamwe hawezi kumgusa Mwigulu kwa ajili ya woga wa Uchaguzi Mkuu 2025.

Mh Rais anaaminishwa kuwa Mwigulu, Makamba Jr na Nape Mnauye kuwa wao ndo watu potential ambao hawapaswi kuguswa hata wakiharibu.

Kifupi Mwigulu ni msanii tu, ambaye anajijenga mwenye kwa Urais.

Ni mtu Mwenye Dharau, anadharau PM na hamuogopi yeyote yule.

Kutokana na mazingira haya, na failures nyingi kwa wizara yake,hastahili kuendelea Kwenye hiyo nafasi.

Anaendelea kuwepo kwa sababu Mh Rais ,kati ya watu anawaogopa sana ni Mwigulu Mchemba.

Ningekuwa mimi, Nape , Mwigulu, Makamba Piga Ubalozi huko Masharki ya mbali, ondoa kwenye local politics,watakuharibia hao kulekea uchaguzi mkuu.
Ukicheka na nyani unavuna mabua.

Narudia MAMA HANA UWEZO WA KUMFANYA CHOCHOTE KILE MWIGULU MCHEMBA, NAONGEZA NA NAPE NA MAKAMBA JR

Muwe na Jumapili njema.
Duh! Mbona kama unamsagia kunguni Mwigulu? tupendane tutakiane kheri ndg! kupata kwa Mwenzio ipo siku nawe Mungu atakuona!
 
Duh! Mbona kama unamsagia kunguni Mwigulu? tupendane tutakiane kheri ndg! kupata kwa Mwenzio ipo siku nawe Mungu atakuona!
Hapana kaka, simwangalii personal as an individual, nafasi yake na utendaji wake, jeuri yake, hukumbukuki alishawahi SEMA tuhamie Burundi!!???
 
Back
Top Bottom