Ikitotanzila
JF-Expert Member
- Sep 22, 2020
- 1,409
- 2,263
Mi napenda jk arudi tena madarakani indirectly ili aisawazishe nchi bila ya kutekwa na washamba wa kisuma ambao wenyewe kila kukija wanawaza msbarabara tu bila kujali human welfareNa wewe ni njinga fulani usiye jitambua! Walipata ajira walimu elfu nane wewe unaleta ngonjera hapa! Alikuwa anaajiri kwa awamu! Kama huna jaira jiongeze pumbavu!
Njaa gani tena. Njaa ilikwepo wakati wa jpm mkuu. Sasa hivi masoko ya mazao yanapatikani. Nimeuza korosho zangu na hivyo njaa haipo tena. Afadhari mungu kuliondoa lile lijamaaJk amesharudi tayari lakini bado njaa inakunyoosha kisawasawa.
Fanya kazi vinginevyo utaliwa na washamba hapa mjini
Hata mbaazi soko lake lipo kwa Sasa. Jpm aliliuaKorosho gani tena mnauza kwa siri siri
Usipenda kutafuniwa kila kitu acha uvivu nenda kwenye field we mwenyewe ndo uone kishindo Cha Mama samiaMnauza shs ngapi korosho mwaka huu
Nilikuwa sijui kama na wew ni sukuma gangLisu alikomaa tutashitakiwa MIGA
Wew chizi kweli kweli, hiyo ni bahati au ni la....?Tanzania ilipata bahati sana kuwa na Rais John Joseph Pombe Magufuli
Hivi kwa nini Jiwe hapendwi na wana jf wote ukitoa sukuma gang tu?JF yote kwa ujumla wamenuna maana kamtaja JPM.
Jpm alipandisha Bei kibabe matokeo yake kilimo kikafa kabisa ndo Mana hata alipoenda mtwara kidogo afie huko Mana alipigwa bonge la radi kutoka juu wakamtoa fasta jukwaaniNape ameenda huko anaulizwa na wakulima kwa nini wakati wa Magufuli bei ya korosho ikikuwa 3300 lakini mwaka huu ni 2100?
Nape anajibu tatizo ni Magufuli aliharibu!!!
Mke tena?? Are you insane?Tulia dawa ikuingie mke wa Amsterdam
Kwa vile asilimia 99 ni wapenzi na wanachama wa Chadema. Ila pale neno wote badili na kuita wengi maana ukisema wote ni asilimia mia wakati mimi ni mpenzi kindakindaki wa JPM na wala mimi si sukumagang.Hivi kwa nini Jiwe hapendwi na wana jf wote ukitoa sukuma gang tu?
Endeleeni kupiga madini maana kwa Rais huyu tumepigwaRais Samia akihutubia kwenye hafla ya utiaji saini mkataba wa uchimbaji madini amesema moto uliowashwa na hayati rais Magufuli kwenye sekta ya madini hautazimika na Tanzania haitarudi nyuma tena kulala usingizi wa pono kama zamani.
Rais amewaonya wote wanaotorosha madini waache mara moja.
My take:
Hivi Nape anajisikiaje kila mara kuona rais Samia anataja jina la godfather wa kiroboto?
Mimi siogopi kuwaeleza hata wapuuzi akina Stuxnet kuwa mimi ni mfuasi wa JPM kindakindakiSafi mkuu
Uko sahihi kwenye matumizi ya neno wote, nilitakiwa nisema wengi, ila pia hauko sahihi kusem watu wazima 50+ kuwa walimuelewa Jiwe, labda wale masikini au wanyonge.Kwa vile asilimia 99 ni wapenzi na wanachama wa Chadema. Ila pale neno wote badili na kuita wengi maana ukisema wote ni asilimia mia wakati mimi ni mpenzi kindakindaki wa JPM na wala mimi si sukumagang.
Kidogo nikujuze kuwa asilimia 99 ya watu wazima 50+ walimuelewa JPM
UtotoNani ahangaike na misukule ambayo iko brainwashed na Dikteta wa Chato.? Subirini kufa tu kwa vile aliyekuwa anawalisha unga tulisha mfukia