- Thread starter
- #41
Maajabu Muislamu kapunguza kodi ya Pombe
Maajabu zaidi hata ile Shura ya Maimamu haisikiki tena, kazi inaendelea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maajabu Muislamu kapunguza kodi ya Pombe
Mama tunae mpaka 2025 na ukizingatia Mabeho na wote walio chini yake wamemhakikishia utii ndio kabisaa wale jamaa wa chokochoko inabidi silaha yao kuu iwe ni humu jukwaani na sio kwingineko.
Huyu hatoboi
Sio kwa Tanzania hii ambayo mwasisi ni Nyerere na kule visiwani ni Karume.Kuna waliokuwa ba majeshi imara kuliko kina Mubarak?
Mama angalizo na nafasi ya kurekebisha mambo kungali asubuhi.
Hayawi hayawi huwa!
Sio kwa Tanzania hii ambayo mwasisi ni Nyerere na kule visiwani ni Karume.
Legacy iachwe mara ngapi?. Mlalamikaji mmoja hawazuii wenye mitazamo chanya elfu moja kuona mengi mazuri yanayofanywa kwa nia ya kuifanya Tanzania ipae kiuchumi.Kwani kuna starehe gani kwenye kutawala kidhwalimu? Yaani kutawala huku ukiwapora raia mali au hata na haki zao?
Haya si ndiyo ya kutangulia mbele za haki kibudu bila hata ya kuacha legacy?
Hivi Babeli . Cdm siyo WaTz ?! Kwako WaTz ni kina nani !!Umma wa watanzania unaozungumzia wewe ni wapi. ..wewe wafia chadema ndio unaita Umma. .we unaakili kweli. .?
Legacy iachwe mara ngapi?. Mlalamikaji mmoja hawazuii wenye mitazamo chanya elfu moja kuona mengi mazuri yanayofanywa kwa nia ya kuifanya Tanzania ipae kiuchumi.
Matumizi ya Umma WA watanzania hapo ndio tatizo. .unajua maana ya Umma. .Sema wananchama WA Chadema. .kwa sasa tunachojua CCM ndio imeshika hatamu ya uongoziHivi Babeli . Cdm siyo WaTz ?! Kwako WaTz ni kina nani !!
Kama wewe ni mtu zamani kidogo. Hebu ifikirie Ivory coast ya wakati wa muasisi wake Felix H Bonnie . Ilikuwa tulivu ya amani na uchumi wa kokoa ya kutilia mfano. Lakini leo hii imekuwa valuvalu kama TanganyikaSio kwa Tanzania hii ambayo mwasisi ni Nyerere na kule visiwani ni Karume.
Nyerere alikuwa hapigipigi misele ya ajabuajabu daily
Umma ni uwingi katika umoja wao . Je Cdm hawana hiyo.Matumizi ya Umma WA watanzania hapo ndio tatizo. .unajua maana ya Umma. .Sema wananchama WA Chadema. .kwa sasa tunachojua CCM ndio imeshika hatamu ya uongozi
Matumizi ya Umma WA watanzania hapo ndio tatizo. .unajua maana ya Umma. .Sema wananchama WA Chadema. .kwa sasa tunachojua CCM ndio imeshika hatamu ya uongozi
Msingi wa uwepo wa Ivory Coast ni tofauti na msingi wa uwepo wa Tanzania. Kila nchi inayo namna ilivyoanza kuwa kama taifa, na siku zote ni vigumu kukuta kuanza kwa Tanzania kuwe kunafanana na kuanza kwa Kenya au Nigeria.Kama wewe ni mtu zamani kidogo. Hebu ifikirie Ivory coast ya wakati wa muasisi wake Felix H Bonnie . Ilikuwa tulivu ya amani na uchumi wa kokoa ya kutilia mfano. Lakini leo hii imekuwa valuvalu kama Tanganyika
Ashakhum mkuu, temea chini.Nende wapi?Nyama ya ngedere weye.[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Mkuu uliishi ukiwa mtu mzima enzi za utawala wa Nyerere?Nyerere hakuwa mtawala. Nyerere alikuwa kiongozi. Kama kiongozi aliwaongoza watu wake kwenye waliyoyataka.
Kwako msingi wa uwepo wa Tanganyika ni kutawala kwa Ccm !!. Kinyume chake ni wafuasi wa Ccm kuanzisha vurugu . Nikueleze tu , hakuna aliejua Yugoslavia ya Jusip Tito ingeanguka, wala USSR ingesambaratika na kuwa mataifa 15, Libya ya Gadhaafi kuwa uwanja wa fujo nk . Kila jambo na wakati wake . Hili la Tanganyika ipo siku itakuwa kinyume na matamanio ya wana Ccm.Msingi wa uwepo wa Ivory Coast ni tofauti na msingi wa uwepo wa Tanzania. Kila nchi inayo namna ilivyoanza kuwa kama taifa, na siku zote ni vigumu kukuta kuanza kwa Tanzania kuwe kunafanana na kuanza kwa Kenya au Nigeria.
Mkuu bongo hii katika uhai wako usitegemee kuyaona hayo ya Yugoslavia yakitokea. Ondoa kabisa hizo ndoto kichwani kwako.Kwako msingi wa uwepo wa Tanganyika ni kutawala kwa Ccm !!. Kinyume chake ni wafuasi wa Ccm kuanzisha vurugu . Nikueleze tu , hakuna aliejua Yugoslavia ya Jusip Tito ingeanguka, wala USSR ingesambaratika na kuwa mataifa 15, Libya ya Gadhaafi kuwa uwanja wa fujo nk . Kila jambo na wakati wake . Hili la Tanganyika ipo siku itakuwa kinyume na matamanio ya wana Ccm.
Kwa msaada wa Mungu atatoboa tu.Tumuombee maana na yeye ni mwanadamu.Hivi huyu mama atatoboa hii miaka 4?