Bunsen Burner
JF-Expert Member
- Feb 25, 2009
- 909
- 1,101
Yaani
Yaani matokeo yake viongozi wengi kazi zao zinaishia kuwa kupokea,kusindikiza na kuaga Airport , kuhudhuria uapisho na mikutano.......... kazi iendelee.Siku katiba ikiwa imebadilishwa hutaona tena taratibu za mapokezi za aina hii.
Huyu wa sasa karithi haya mambo, yalianzishwa na Nyerere.