Rais Samia, hayupo mchawi, pafahamu ulipotuchanganya

Rais Samia, hayupo mchawi, pafahamu ulipotuchanganya

Viongozi wengi wa CCM wanasema Katiba mpya,ni takwa/hoja ya wanasiasa,na walitoa sababu zifuatazo:
1). Kwenye Katiba ya 1977 Kama ilivyo fanyiwa marekebisho mbalimbali masuala mengi yamo,sema hayazingatiwi na watendaji wengi.isipokuwa masuala yafuatayo:
1).suala la tume huru ya uchaguzi,
2). suala la urai pacha,
3) viongozi wanaochaguliwa na wananchi wote,wasipo tekeleza ahadi zao,basi wananchi wa Jimbo husika wawe na haki ya kumuondosha katika nafasi hiyo,nk.
4). Viongozi wa CCM wanaamini kuwa hoja Katiba mpya ni wanasiasa,
5) wananchi wanachohitaji sana upatikanaji wa pembejeo za kilimo na masoko ya kuaminika ya mazao,
6) wananchi wanataka huduma za jamii Kama maji Safi na salama ili kutokomeza magonjwa ya milipuko na homa ya matumbo,
7).wananchi wanahitaji umeme wa uhakika ili wachakate mazao yao na viwanda vidogovidogo ili kujiongezea kipato/uchumi,
8).wananchi wanahitaji barabara za uhakika mikoani mpaka vijijini ili wananchi wasafirishe mazao yao kufikisha sokoni/kwa walaji kwa gharama nafuu( maana magari yataweza kufika vijijini na kuleta karibu na walaji)
Wananchi wanataka miunfombinu ya reli na bandari ya uhakika ili kusafirishia bidhaa/mazao mengi kwa gharama nafuu(Kama usafiri utakuwa nafuu hata bei ya mazao kwa mlaji wa mwisho itakuwa nafuu,)
9).wananchi wanataka huduma za shule na walimu wa kutosha wenye weledi kufundisha vijana wetu (msisitizo hapa ni mafunzo ya ufundi mchundo na Veta ambayo ni rahisi kujiari),
10). wananchi wanataka masoko ya ndani na nje ya uhakika kwa ajili ya mazao yao wapate fedha,
11).wananchi wanataka makazi Bora na mitaji waanzishe biashara nk(urasimishaji wa nyumba zilizojengwa kwenye maeneo yasiyopimwa ili wananchi wapate hati ya umiliki ambayo inaweza kutumika security kuombea mikopo kwenye taasisi za fedha nk).
12). wananchi wanahitaji kuhakikishiwa amani na Usalama wao(vyombo vya ulinzi na Usalama vyenye weledi kulinda nchi yetu na Rais wake ).

Hitimisho

1) Rais na Mwenyekiti wa CCM taifa ameomba tumpe muda kidogo aweke mambo sawasawa .
2) Rais ameahidi kuendelea na mambo yote mazuri ambayo yalianzishwa na serikali ya awamu ya tano.
Ndugu zangu mnyonge mnyongeni lakini haki yake tumpe,
3). Mama anaupiga,tumwache achape kazi,na madhari ameahidi kuwa suala la Katiba lipo palepale,tuvute Subira,na wakati muafaka ukifika tumkumbushe.
4).Katiba mpya ni muhimu lakini,kwa mfano mkulima/mfanyabiashara wa kawaida vipa umbele vyao (hata tukiwahoji nadhani itakuwa siyo Katiba mpya) ni pembejeo za kilimo,masoko,barabara za vijijin,umeme ,vituo vya afya na zahanati nk.
 
Kwa hakika ulianza vizuri na sifa za dhati tukakumwagia.

Hauna mtu wa kumlaumu, bali huku ndiko uliko tuchanganya:

1. Kauli yako kuwa katiba mpya isiwe kipaumbele chetu (wakati wewe ni mnufaika wa iliyopo).

2. Kauli yako kuwa kudai katiba mpya ni kuleta chokochoko.

3. Kuongeza kodi na tozo kwa wananchi katikati ya janga la Corona (wakati vigogo kodi haziwahusu).

4. Kuendelea kujikongoja na vita dhidi ya gonjwa la Corona (wakati vigogo mko salama).

5. Kuendeleza sera kandamizi dhidi ya haki za watu kujumuika.

6. Kutokuchukua hatua thabiti kulingana na ripoti za CAG.

7. Kuendekeza uwepo wa takrima kwa vigogo usiokuwa na tija.

8. Kunyamazia ukiukwaji wa katiba bungeni kuliko hata na wabunge kharam.

Haya yanataka matamko yako thabiti yenye kuzingatia sheria na katiba ya nchi ili kuyaweka sawa.

Kwenye majanga yanayo athiri moja kwa moja watu kiuchumi, kodi na tozo hupunguzwa, haziongezwi.

Machungu ya ukweli huu bila shaka ndiyo yaliyomfikisha mzee baba hapa:

View attachment 1859149

Vipi anapata kodi katikati ya gonjwa hili? Uamuzi wake wa kukomaa (rudimentary) tu kuwa ugonjwa huu haupo in desperation, mtu anaweza kuuelewa.

Kwa hakika tulipo, hakuna haja ya kumlaumu dobi. Kaniki ni rangi yake.

Ninawasilisha.
,
Kwa hakika ulianza vizuri na sifa za dhati tukakumwagia.

Hauna mtu wa kumlaumu, bali huku ndiko uliko tuchanganya:

1. Kauli yako kuwa katiba mpya isiwe kipaumbele chetu (wakati wewe ni mnufaika wa iliyopo).

2. Kauli yako kuwa kudai katiba mpya ni kuleta chokochoko.

3. Kuongeza kodi na tozo kwa wananchi katikati ya janga la Corona (wakati vigogo kodi haziwahusu).

4. Kuendelea kujikongoja na vita dhidi ya gonjwa la Corona (wakati vigogo mko salama).

5. Kuendeleza sera kandamizi dhidi ya haki za watu kujumuika.

6. Kutokuchukua hatua thabiti kulingana na ripoti za CAG.

7. Kuendekeza uwepo wa takrima kwa vigogo usiokuwa na tija.

8. Kunyamazia ukiukwaji wa katiba bungeni kuliko hata na wabunge kharam.

Haya yanataka matamko yako thabiti yenye kuzingatia sheria na katiba ya nchi ili kuyaweka sawa.

Kwenye majanga yanayo athiri moja kwa moja watu kiuchumi, kodi na tozo hupunguzwa, haziongezwi.

Machungu ya ukweli huu bila shaka ndiyo yaliyomfikisha mzee baba hapa:

View attachment 1859149

Vipi anapata kodi katikati ya gonjwa hili? Uamuzi wake wa kukomaa (rudimentary) tu kuwa ugonjwa huu haupo in desperation, mtu anaweza kuuelewa.

Kwa hakika tulipo, hakuna haja ya kumlaumu dobi. Kaniki ni rangi yake.

Ninawasilisha.
Magufuli hayupo tena duniani siyo vyema kuendeleza chuki dhidi yake hazito wasaidia kitu.

Unavyosema kuwa JPM alisema hakuna corona ili apate kodi kwani angesema ipo asingepata hiyo kodi?

Na kwa nini unamsingizia kuwa alisema corona hakuna wakati alisema ipo ila tuishi naye na tusitiane hofu, kitu ambacho dunia nzima ndicho wanachofanya leo.

Mnadhani tatizo lipo kwenye katiba kumbe tatizo ni nyie wenyewe mmeshindwa kuelewa wananchi wa Tanzania wanataka nini.

Mnatumia mda mwingi kukosoa serikaki kuliko kuwaambia wananchi nyie mkiingia madarakani mtawafanyia nini.

Hivyo mmekuwa mnatumia mda mwingi kulalamika, yaani wananchi walakamike na nyie mlalamike.

Wananchi walio wengi hawana muda na katiba mpya wao wanataka maisha mazuri, yaani waone miradi ikiendelea, madaraja yanajengwa, ajira zinapatikana, ndege zinanunuliwa, JNHP. inakamilika,SGR inakamilika, uwanja wa ndege DODOMA unakamilika, Uwanja wa mpira Dodoma unakamilika, ring road Dodoma inajengwa, na mazingira ya kujiajiri yanakuwepo.

Nyie mnataka vipaumbele vyenu ndio viwe vipaumbele vya wananchi badala ya vipaumbele vya wananchi viwe vipaumbele vyenu.

Mnaweza msiamini ila kama kitaibuka chama kipya cha siasa kitakachobeba maono ya wananchi uwenda vile vyama vinavyodeal na kudai katiba kila siku vikasahaulika masikioni mwa wananchi.
 
Viongozi wengi wa CCM wanasema Katiba mpya,ni takwa/hoja ya wanasiasa,na walitoa sababu zifuatazo:
1). Kwenye Katiba ya 1977 Kama ilivyo fanyiwa marekebisho mbalimbali masuala mengi yamo,sema hayazingatiwi na watendaji wengi.isipokuwa masuala yafuatayo:
1).suala la tume huru ya uchaguzi,
2). suala la urai pacha,
3) viongozi wanaochaguliwa na wananchi wote,wasipo tekeleza ahadi zao,basi wananchi wa Jimbo husika wawe na haki ya kumuondosha katika nafasi hiyo,nk.
4). Viongozi wa CCM wanaamini kuwa hoja Katiba mpya ni wanasiasa,
5) wananchi wanachohitaji sana upatikanaji wa pembejeo za kilimo na masoko ya kuaminika ya mazao,
6) wananchi wanataka huduma za jamii Kama maji Safi na salama ili kutokomeza magonjwa ya milipuko na homa ya matumbo,
7).wananchi wanahitaji umeme wa uhakika ili wachakate mazao yao na viwanda vidogovidogo ili kujiongezea kipato/uchumi,
8).wananchi wanahitaji barabara za uhakika mikoani mpaka vijijini ili wananchi wasafirishe mazao yao kufikisha sokoni/kwa walaji kwa gharama nafuu( maana magari yataweza kufika vijijini na kuleta karibu na walaji)
Wananchi wanataka miunfombinu ya reli na bandari ya uhakika ili kusafirishia bidhaa/mazao mengi kwa gharama nafuu(Kama usafiri utakuwa nafuu hata bei ya mazao kwa mlaji wa mwisho itakuwa nafuu,)
9).wananchi wanataka huduma za shule na walimu wa kutosha wenye weledi kufundisha vijana wetu (msisitizo hapa ni mafunzo ya ufundi mchundo na Veta ambayo ni rahisi kujiari),
10). wananchi wanataka masoko ya ndani na nje ya uhakika kwa ajili ya mazao yao wapate fedha,
11).wananchi wanataka makazi Bora na mitaji waanzishe biashara nk(urasimishaji wa nyumba zilizojengwa kwenye maeneo yasiyopimwa ili wananchi wapate hati ya umiliki ambayo inaweza kutumika security kuombea mikopo kwenye taasisi za fedha nk).
12). wananchi wanahitaji kuhakikishiwa amani na Usalama wao(vyombo vya ulinzi na Usalama vyenye weledi kulinda nchi yetu na Rais wake ).

Hitimisho

1) Rais na Mwenyekiti wa CCM taifa ameomba tumpe muda kidogo aweke mambo sawasawa .
2) Rais ameahidi kuendelea na mambo yote mazuri ambayo yalianzishwa na serikali ya awamu ya tano.
Ndugu zangu mnyonge mnyongeni lakini haki yake tumpe,
3). Mama anaupiga,tumwache achape kazi,na madhari ameahidi kuwa suala la Katiba lipo palepale,tuvute Subira,na wakati muafaka ukifika tumkumbushe.
4).Katiba mpya ni muhimu lakini,kwa mfano mkulima/mfanyabiashara wa kawaida vipa umbele vyao (hata tukiwahoji nadhani itakuwa siyo Katiba mpya) ni pembejeo za kilimo,masoko,barabara za vijijin,umeme ,vituo vya afya na zahanati nk.

Umetuletea imani za viongozi wa CCM, ya awamu ya tano na definition zako za wananchi? Kwa mada ipi?

1. Kwamba viongozi wengi wa CCM hawaoni umuhimu wa katiba mpya?
--- Hawa ni wanufaika wa iliyopo. Kwani hata wanavyoona wao sisi wala inatuhusu?

2. Kwamba mama kaahidi kuendelea na mambo yote mazuri ya awamu ya tano?
--- Tusioyaona hayo mazuri nasi inakuwa je?

3. Kwamba inajieleza wanachoamini viongozi wa CCM.
--- Kwani imani zao sisi inatuhusu nini? Hata walishaamini kwenye nyungu au siyo?

4. Wananchi wanahitaji mabarabara, pembejeo, shule, maji, nk?
--- Tunaotaka katiba mpya si wananchi? Hao mnaosema ni wananchi mmewauliza hayo wapi kuwa hawataki katiba mpya?

Hitimisho:

1. Rais ameomba muda wa kusimamisha uchumi ambao haujawahi kusimama kwa miaka 60 sasa.
--- CCM walio wanufaika wa katiba iliyopo hawawezi kuridhia ujio wa katiba mpya. Inafahamika kuwa hata mtoto mdogo kuachishwa ziwa haijawahi kuwa rahisi.

2. Kwamba kuna mazuri ya awamu ya tano?
--- Awamu hiyo ilikuwa iliyojaa dhuluma, ukiukwaji wa haki za binadamu, uongo na uporaji.
--- Watu wengi walipoteza maisha kwenye uongo, upotoshaji na dhuluma za awamu ya hiyo kuliko zote.

3. Katiba mpya ni muhimu kuliko vyote isipokuwa vita vya corona peke yake vilivyo potoshwa na kupuuziwa hadi kuondoka na shujaa wenu:

Mzee Warioba: Corona, Katiba na Miito ya Busara
 
,
Magufuli hayupo tena duniani siyo vyema kuendeleza chuki dhidi yake hazito wasaidia kitu.

Unavyosema kuwa JPM alisema hakuna corona ili apate kodi kwani angesema ipo asingepata hiyo kodi?

Na kwa nini unamsingizia kuwa alisema corona hakuna wakati alisema ipo ila tuishi naye na tusitiane hofu, kitu ambacho dunia nzima ndicho wanachofanya leo.

Mnadhani tatizo lipo kwenye katiba kumbe tatizo ni nyie wenyewe mmeshindwa kuelewa wananchi wa Tanzania wanataka nini.

Mnatumia mda mwingi kukosoa serikaki kuliko kuwaambia wananchi nyie mkiingia madarakani mtawafanyia nini.

Hivyo mmekuwa mnatumia mda mwingi kulalamika, yaani wananchi walakamike na nyie mlalamike.

Wananchi walio wengi hawana muda na katiba mpya wao wanataka maisha mazuri, yaani waone miradi ikiendelea, madaraja yanajengwa, ajira zinapatikana, ndege zinanunuliwa, JNHP. inakamilika,SGR inakamilika, uwanja wa ndege DODOMA unakamilika, Uwanja wa mpira Dodoma unakamilika, ring road Dodoma inajengwa, na mazingira ya kujiajiri yanakuwepo.

Nyie mnataka vipaumbele vyenu ndio viwe vipaumbele vya wananchi badala ya vipaumbele vya wananchi viwe vipaumbele vyenu.

Mnaweza msiamini ila kama kitaibuka chama kipya cha siasa kitakachobeba maono ya wananchi uwenda vile vyama vinavyodeal na kudai katiba kila siku vikasahaulika masikioni mwa wananchi.

Hata Hitler, Mussolini, Iddi Amini nk haisaidii kuacha kuyakumbuka yao ili kujipanga kwa kesho iliyo bora ikibidi kwa gharama yoyote.

Tuliopoteza ndugu na jamaa kwa udhwalimu na ushamba wa yule bwana itakuwa kutokututendea haki kudhani tuna cha kumpongeza nacho.

Hao ni sisi, usisahau kuna makundi mengi aliyoyadhulumu haki zao mbalimbali zikiwamo za kuishi na hata kuwabambikia kesi. Hata kama una kereka mno mkuu, tuvumilie tu sisi wengine wapenda haki alitukwaza mno.

Kwani aliyekuwa akisema Corona ni vita vya kiuchumi umemsahau? Au vita vya kiuchumi alivimaliza lini?

Wananchi wengi mnaosema hawataki katiba mpya mmewaulizia wapi? Mbona na sisi tunaona tunaotaka katiba mpya ndiyo tulio wengi? Kwani haupo utaratibu muafaka wa kuulizana hayo?

Serikali 'sikivu' Inaposikia nusu nusu

Enyi wanufaika wa hali iliyopo hamjishangai kudhani sote tunafurahia mno nyie mkiwa mnatumbua kwa gharama zetu?
 
Tulivyokua tunawaambia hakuna rais mlikua mnatuona machiz,, na bado
Wajumbe naona ktk profile ya huyu member kuna tittle ya "RIP" Inamaana alishatutoka?Na nini sababu ya kifo chake!? Alikuwa mnabemnabe sana.
 
Umma wa watanzania unaozungumzia wewe ni wapi. ..wewe wafia chadema ndio unaita Umma. .we unaakili kweli. .?

Kwani kina Mukandara na tume yao wakisema je ewe Mburura wee?
 
Kwa hakika ulianza vizuri na sifa za dhati tukakumwagia.

Hauna mtu wa kumlaumu, bali huku ndiko uliko tuchanganya:

1. Kauli yako kuwa katiba mpya isiwe kipaumbele chetu (wakati wewe ni mnufaika wa iliyopo).

2. Kauli yako kuwa kudai katiba mpya ni kuleta chokochoko.

3. Kuongeza kodi na tozo kwa wananchi katikati ya janga la Corona (wakati vigogo kodi haziwahusu).

4. Kuendelea kujikongoja na vita dhidi ya gonjwa la Corona (wakati vigogo mko salama).

5. Kuendeleza sera kandamizi dhidi ya haki za watu kujumuika.

6. Kutokuchukua hatua thabiti kulingana na ripoti za CAG.

7. Kuendekeza uwepo wa takrima kwa vigogo usiokuwa na tija.

8. Kunyamazia ukiukwaji wa katiba bungeni kuliko hata na wabunge kharam.

Haya yanataka matamko yako thabiti yenye kuzingatia sheria na katiba ya nchi ili kuyaweka sawa.

Kwenye majanga yanayo athiri moja kwa moja watu kiuchumi, kodi na tozo hupunguzwa, haziongezwi.

Machungu ya ukweli huu bila shaka ndiyo yaliyomfikisha mzee baba hapa:

View attachment 1859149

Vipi anapata kodi katikati ya gonjwa hili? Uamuzi wake wa kukomaa (rudimentary) tu kuwa ugonjwa huu haupo in desperation, mtu anaweza kuuelewa.

Kwa hakika tulipo, hakuna haja ya kumlaumu dobi. Kaniki ni rangi yake.

Ninawasilisha.
Mabosi wenu wanabindana huko kaamueni
 
Back
Top Bottom