Walishakata kamba zamani saa hizi wako shambani kwa MkudeNilitegemea Mhe. Wangu kuwakemea wanaokula kwa urefu wa kamba zao.
View attachment 2966894
Nitaendelea kuamini kuwa hii ni kauli inaweza kuendelea kutumika kukosoa nia ya serikali kuunda vyombo vinavyosimamia maadili na miiko ya viongozi na watumishi wa umma.
Tujisahihishe. Bado hatujachelewa
You nailed itUnataka awakemee; na yeye mwenyewe ajikemee. Utaamini kukemea huko?
Ni ajabu kidogo kwa baadhi ya watu kutaka wambadili Samia kwa vimaneno huku mwenyewe alikwisha jibainisha kwa ku jieleza na kuonyesha matendo halisi tokea achukue uongozi.
Hebu tueleze kaunda chombo kipi kinachosimamia "maadili na miiko ya viongozi..." ; au hata kuhimiza vilivypo vifanye kazi vilivyoundiwa?
Takukuru, si hiyo hapo, huoni maigizo wanayofanya?
Acha utoto yaani uibe Kwa ushenzi wako uje kumsingizia Rais? Wewe kula Nje ya kamba ukidakwa uje useme Rais alisema Nile Kwa urefu wa kamba yangu.Nilitegemea Mhe. Wangu kuwakemea wanaokula kwa urefu wa kamba zao.
View attachment 2966894
Nitaendelea kuamini kuwa hii ni kauli inaweza kuendelea kutumika kukosoa nia ya serikali kuunda vyombo vinavyosimamia maadili na miiko ya viongozi na watumishi wa umma.
Tujisahihishe. Bado hatujachelewa
Sasa wewe ulitaka wale Kwa urefu wa kamba ya nani? Kiswahili ulipata ngapi std 7 na form 4?Rais aliwataka mawaziri wale kwa urefu wa kamba zao. Mimi natafsiri aliwaruhusu kuiba, lakini kwa akili wasijekamatwa- ndio maana ya urefu wa kwamba.
Nani anatosha pale ccm apewe kijiti?Kiukweli kabisa, hyu mama hatoshi basi tu!.
Hata wazito ndani ya ccm wanajua sema kamwe hawawezi kusema hadharani!.
Watu wamepewa go ahead kimtindoHuyu rais kweli anatamka maneno haya? Yani unawaambia watumishi waibe? Hizi ni laana kwakweli.
Hii ni aibu kwa hii nchi.
Nchi hii inahuzunisha sana asee.Watu wamepewa go ahead kimtindo
Ova
Kote nilipata sifuri. Wewe je?Sasa wewe ulitaka wale Kwa urefu wa kamba ya nani? Kiswahili ulipata ngapi std 7 na form 5?
AKote nilipata sifuri. Wewe je?
Maskini sijui watapingaje hapa! ameendelea kusema anajua wanakula ila wajipimie ili wasivimbiwe! aiseeNilitegemea Mhe. Wangu kuwakemea wanaokula kwa urefu wa kamba zao.
View attachment 2966894
Nitaendelea kuamini kuwa hii ni kauli inaweza kuendelea kutumika kukosoa nia ya serikali kuunda vyombo vinavyosimamia maadili na miiko ya viongozi na watumishi wa umma.
Tujisahihishe. Bado hatujachelewa