Rais Samia, hii Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum ina ukakasi kidogo

Rais Samia, hii Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum ina ukakasi kidogo

Tusubir wizara ya usagaji na ushoga maana naona mambo yamepita mengi ila wamelala mpaka wanasheria wameanza kutetea dhambi hii.
 
hapo kwenye bold

Unyanyapaa ni hata kujikataa ulivyo na kujisikia inferior kwa hali halisi uliyonayo.
Unapofikia mahala neno disabled likaonekana negative basi hata mtu mzima nalo ni neno dhalili kabisa.
Kwa mfano neno Zeruzeru ambapo ni mtu mwenye ulemavu wa ngozi tumeliona ni tusi badala yake tunasema albinism ambapo tafsiri yake ni zeruzeru.

Kutojitambua na kukubaliana na hali yako hakukuweki mbali na kujinyanyapaa
Inabidi uingie google utafute mtanange wa ‘medical model of disability’ vs ‘social model of disability’.

Social model inaenda sambasamba na evolution of morals na arguments zake ndio zilizopelekea kuonekana neno ulemavu ni political incorrect, lina ashiria kutokuwa na uwezo kabisa wakati hao wakiwezeshwa wanaweza ishi normal independent life na ndio msingi wa neno ‘special needs’ ni sahihi zaidi.

Walemavu wanaweza vipi kuishi independent ni pale mahitaji yao (mapungufu yao ya uwezo, yakiwezeshwa).

Lakini special needs has nothing to do inferiority kama sababu ya kubadili jina ukemavu, rather it is a policy perspective and shaping of social thinking.

Ni ngumu kudadavua sana sera zenyewe kwa sababu kwa bongo ata hatuna hizo sera. Lakini nchi za wenzetu wamepiga hatua sana.
 
Inabidi uingie google utafute mtanange wa ‘medical model of disability’ vs ‘social model of disability’.

Iliyopelekea kuonekana neno ulemavu ni political incorrect, na ‘special needs’ ni sahihi zaidi.

Kama nilivyokueleza ata walemavu wakisaidiwa wanaweza kuishi independent kama mahitaji yao (mapungufu yao ya uwezo, yakiwezeshwa).

It has nothing to do inferiority on change names, rather policy perspective and shaping of social thinking.

Ni ngumu kudadavua sana sera zenyewe kwa sababu kwa bongo ata hatuna hizo sera.
Mfano
Kiwete ni mlemavu wa miguu au mguu

bubu ni mlemavu asiyeweza kuongea

kiziwi mlemavu asiyesikia

nimetoa mfano tu.

enewei tuishi watakavyo hao makundi maalumu
 
Mfano
Kiwete ni mlemavu wa miguu au mguu

bubu ni mlemavu asiyeweza kuongea

kiziwi mlemavu asiyesikia

nimetoa mfano tu.

enewei tuishi watakavyo hao makundi maalumu
Kiwete ukimpa mguu bandia anaweza fanya kila kitu unachoweza.

Au mabasi yangekuwa na rumps za kupandishia viwete wanaweza fika popote asubuhi na kufanya kazi maofisini.

Bubu ofisini kukiwa na mtu mmoja anaweza ongea sign language kumsaidia inapohitajika anafanya kazi kama wewe.

Kipofu pia ofisini kuwa na mifumo ya communication zao anafanya kazi pia, ata ‘Amos Mpanju’ aliekuwa katibu mkuu wizara ya sheria ni kipofu kabisa.

Hizo ndio sababu wanasema kuita watu walemavu ni stigma mbovu zinazochochea taasisi kuweka mipango au kufanya uwekezaji wa kimazingira unaosababisha walemavu kuwa excluded.

However special needs ni more acceptable inaashiria ndio wanamapungufu ila kwa msaada wa kutatua changamoto zao wanaweza ishi vizuri.

Hoja kubwa ni ushiriki wao kikamilifu katika shughuli za ki jamii na kuongeza independence.

Haya mambo yanataka uelewa wa ethical arguments zake, vita kubwa ni kupambana na stigma ndio msingi wa kubadili hayo maneno; ukifikiria tu kutoka kichwani uwezi ona logic ya kukataa neno ulemavu na kutaka waitwe special needs.

Ata Olympic ya special needs, disable people Olympic.
 
Kiwete ukimpa mguu bandia anaweza fanya kila kitu unachoweza.

Bubu ofisini kukiwa na mtu mmoja anaweza ongea sign language kumsaidia inapohitajika anafanya kazi kama wewe.

Kipofu pia ofisini kuwa na mifumo ya communication zao anafanya kazi pia, ata ‘Amos Mpanju’ aliekuwa katibu mkuu wizara ya sheria ni kipofu kabisa.

Hizo ndio sababu wanasema kuita watu walemavu ni stigma mbovu zinazochochea taasisi kuweka mipango au kufanya uwekezaji wa kimazingira unaosababisha walemavu kuwa excluded.

However special needs ni more acceptable inaashiria ndio wanamapungufu ila kwa msaada wa kutatua changamoto zao wanaweza ishi vizuri.

Hoja kubwa ni ushiriki wao kikamilifu katika shughuli za ki jamii na kuongeza independence.

Haya mambo yanataka uelewa ethical arguments zake, vita kubwa ni kupambana na stigma ndio msingi wa kubadili hayo maneno.
neno ulemavu halina maana kuwa ndiyo fate bali ni uhalisia wa kimuonekano..
Nabii Isaya alikuwa na kigugumizi lakini alifanya kazi ya Mungu sana
 
Wanayumbisha sanq na haya majina yao. Kwa nini tusiwe na jina fupi linalojumuisha yote haya?

"WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA MAKUNDI MAALUM"

Hizo mbwembwe za wanawake, wazee, watu wenye ulemavu, n.k ziingie ndani ya makundi maalum
 
neno ulemavu halina maana kuwa ndiyo fate bali ni uhalisia wa kimuonekano..
Nabii Isaya alikuwa na kigugumizi lakini alifanya kazi ya Mungu sana
Nimalize kwa kusema ni ngumu kuona logic ya tofauti kama maswala ya morality, political ethics and health management kuelewa connotations za labels na jitahada za kisera kuondoa stigma.

Tuishie kwa let’s agree to not disagree on the matter.

👋
 
neno ulemavu halina maana kuwa ndiyo fate bali ni uhalisia wa kimuonekano..
Nabii Isaya alikuwa na kigugumizi lakini alifanya kazi ya Mungu sana
Nimalize kwa kusema ni ngumu kuona logic ya tofauti kama maswala ya morality, political ethics and health management, health policies formation sio background yako kuelewa connotations za labels, on social attitudes na jitahada za kisera kuondoa stigma.

Tuishie kwa let’s agree to disagree on the matter.
 
Nimalize kwa kusema ni ngumu kuona logic ya tofauti kama maswala ya morality, political ethics and health management, health policies formation sio background yako kuelewa connotations za labels, on social attitudes na jitahada za kisera kuondoa stigma.

Tuishie kwa let’s agree to disagree on the matter.
Ile mikopo ya asilimia 10% za mapato ya ndani ya Halmashauri zetu imeelekezwa kwa akina nani?
 
Hiyo sasa argument nyingine mie nilikuwa kwenye title ya wizara hasa kuondoa neno kundi la watu wenye mahitaji maalum.

Laters kuna errands hapa za kumalizana nazo.

👋
Nilikuwa najaribu kujenga hoja hasa kwenye mantiki ya phrases za kutumika bila kuleta mikingamo.
Kwenye wizara kwa kuwa inabeba sera za Taifa nadhani ipo haja ya kuweka mizanina hasa katika jina na malengo ya wizara ambayo yanainclude Vision na Mission.

Makundi maalumu kwa uhalisia wa nyakati tulizonazo yanaleta tafsiri isiyonyooka ambapo huishia kujenga dhana ambayo inaweza kukubalika na jamii kuwa ndiyo msimamo wa Serikali
 
Nilikuwa najaribu kujenga hoja hasa kwenye mantiki ya phrases za kutumika bila kuleta mikingamo.
Kwenye wizara kwa kuwa inabeba sera za Taifa nadhani ipo haja ya kuweka mizanina hasa katika jina na malengo ya wizara ambayo yanainclude Vision na Mission.

Makundi maalumu kwa uhalisia wa nyakati tulizonazo yanaleta tafsiri isiyonyooka ambapo huishia kujenga dhana ambayo inaweza kukubalika na jamii kuwa ndiyo msimamo wa Serikali
Wizara inaitwa kundi lenye mahitaji maalum ‘special needs’

Hiyo dhana nyingine inaitwa ‘vulnerable groups (ina jumlisha special needs + others’)

Lakini kundi lenye mahitaji maalum ni disabled only.
 
......Lakini kundi lenye mahitaji maalum ni disabled only.
Ewaaa now inakuja na inaleta nadharia sahihi.
Neno WENYE ULEMAVU badala ya WALEMAVU linaleta political correctness kuliko madhania ya hapo kwenye kundi maalum. Dhana ina muktadha wake ambao unaweza kueleweka kijamii ama kupotoa maudhui.

Labda nisiwe mbishi sana kwa sababu sisi wasomi wa mitaani tunatofauti sana na wasomi wanazuoni.

Wakija wanazuoni wa lugha hapa wanaweza kutujengea uelewa mpana sana zaidi
 
Kundi maalum linabeba yule kiwete wa ubelgiji, Juma Lokole na askari wa Unguja 😀😀😀
 
Ewaaa now inakuja na inaleta nadharia sahihi.
Neno WENYE ULEMAVU badala ya WALEMAVU linaleta political correctness kuliko madhania ya hapo kwenye kundi maalum. Dhana ina muktadha wake ambao unaweza kueleweka kijamii ama kupotoa maudhui.

Labda nisiwe mbishi sana kwa sababu sisi wasomi wa mitaani tunatofauti sana na wasomi wanazuoni.

Wakija wanazuoni wa lugha hapa wanaweza kutujengea uelewa mpana sana zaidi
Shida ni hilo neno ulemavu ndio kuna watu wanaliona lina ukakasi.

Ndio maana wanataka watambulike kama kundi la ‘watu wenye mahitaji maalum. Kwa kizungu ‘special needs’. Ndio maana ata kuna special needs Olympic.
 
Uko sahihi mkuu ukisema jinsia ni wanawake na wanaume halafu pi makundi maalum vilema watoto wazee na wanawake pia kwa hyo?? Hyo jinsia inasimamia Nini wabadilishe kwa kwel
Mashoga pia ni kundi maalum
 
Kundi maalum linabeba yule kiwete wa ubelgiji, Juma Lokole na askari wa Unguja 😀😀😀
Vulnerable group sio special needs ni vitu viwili tofauti.

Special needs au kundi la watu wenye mahitaji maalum kwa kiswahili inaashiria walemavu tu (physical disability only).

Vulnerable group kwa kiswahili sijui msamiati wake ni watu wote ambao dhaifu i.e wanawake, watoto, mashoga, disabled people all groups (mental and physical).
 
Back
Top Bottom