Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Mwalimu Nyerere alitawala kwa miaka 24 (1961-1985).
Kwa mujibu wa katiba ya sasa iwapo rais Samia atatawala kwa katiba ya sasa bila kuibadili, anaweza kutawala kwa muda wa miaka 9, Lakini akileta katiba mpya kabla ya mwaka 2030, maana yake ataanza upyaaa kwa katiba mpya, na hatofungwa na masharti ya vipindi viwili vya katiba ya zamani!
Tena basi akitengeneza katiba mpya ya vipindi viwiliviwili vya miaka Saba saba, maana yake ana potential ya kutawala 9+7+7=23
Mama ashindwe yeye tu, lakini njia ya kutawala miaka 23 nyeupeeee, ajipange tu
Kwa mujibu wa katiba ya sasa iwapo rais Samia atatawala kwa katiba ya sasa bila kuibadili, anaweza kutawala kwa muda wa miaka 9, Lakini akileta katiba mpya kabla ya mwaka 2030, maana yake ataanza upyaaa kwa katiba mpya, na hatofungwa na masharti ya vipindi viwili vya katiba ya zamani!
Tena basi akitengeneza katiba mpya ya vipindi viwiliviwili vya miaka Saba saba, maana yake ana potential ya kutawala 9+7+7=23
Mama ashindwe yeye tu, lakini njia ya kutawala miaka 23 nyeupeeee, ajipange tu