Rais Samia huenda akatawala kwa muda mrefu kama Nyerere

Rais Samia huenda akatawala kwa muda mrefu kama Nyerere

Washindani wako unasumbua kupitia TRA, Tiss, Wengine unawafukuza uanachama.
Ukishakuwa Amiri jeshi mkuu na Mwenyekiti wa chama unaweza kuwapelekapeleka wengine utakavyo, ilimradi uwe kauzu
Ni kweli ila Still unatakiwa uruke hivyo viunzi. Sasa unataka nafasi ya uraisi huna ushwawishi TRA, Tiss?
 
Naunga mkono hoja nani kama mama!! Waliona mazuri kuyasema kipindi cha Magu na sisi tunasema samia atake asitake atatawala miaka 23
Wewe ni mchumia tumbo,self centred na mpigaji tu, huna lolote.You deserve to be in hell.
 
Sidhani kama anaweza kufanya hivyo ingawa mamlaka anayo.
 
Mwalimu Nyerere alitawala kwa miaka 24 (1961-1985).

Kwa mujibu wa katiba ya sasa iwapo rais Samia atatawala kwa katiba ya sasa bila kuibadili, anaweza kutawala kwa muda wa miaka 9, Lakini akileta katiba mpya kabla ya mwaka 2030, maana yake ataanza upyaaa kwa katiba mpya, na hatofungwa na masharti ya vipindi viwili vya katiba ya zamani!

Tena basi akitengeneza katiba mpya ya vipindi viwiliviwili vya miaka Saba saba, maana yake ana potential ya kutawala 9+7+7=23

Mama ashindwe yeye tu, lakini njia ya kutawala miaka 23 nyeupeeee, ajipange tu
Akijitahidi Sana atatawala mpaka 2030 . Haitawezekana aendelee baada ya hapo

Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom