JABALI LA KARNE
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 3,093
- 5,850
Ni kweli ila Still unatakiwa uruke hivyo viunzi. Sasa unataka nafasi ya uraisi huna ushwawishi TRA, Tiss?Washindani wako unasumbua kupitia TRA, Tiss, Wengine unawafukuza uanachama.
Ukishakuwa Amiri jeshi mkuu na Mwenyekiti wa chama unaweza kuwapelekapeleka wengine utakavyo, ilimradi uwe kauzu
Ukishakaa miaka yako mitano madarakani mifumo yote unakuwa tayari umeiweka kiganjani!Ni kweli ila Still unatakiwa uruke hivyo viunzi. Sasa unataka nafasi ya uraisi huna ushwawishi TRA, Tiss?
Ni kweli, sasa kama nimeiweka kiganjani unataka niitumie kukupa nafasi ninayoitaka? Unatakiwa uninyang'anye.Ukishakaa miaka yako mitano madarakani mifumo yote unakuwa tayari umeiweka kiganjani!
Wewe ni mchumia tumbo,self centred na mpigaji tu, huna lolote.You deserve to be in hell.Naunga mkono hoja nani kama mama!! Waliona mazuri kuyasema kipindi cha Magu na sisi tunasema samia atake asitake atatawala miaka 23
Naam, Mugabe alifanya kazi nzuri sana katika umri kama huoMama ana 65 years sasa, ukimuongezea 23 atakua 88. Unafikiri atakuwepo muda wote huo?
Akijitahidi Sana atatawala mpaka 2030 . Haitawezekana aendelee baada ya hapoMwalimu Nyerere alitawala kwa miaka 24 (1961-1985).
Kwa mujibu wa katiba ya sasa iwapo rais Samia atatawala kwa katiba ya sasa bila kuibadili, anaweza kutawala kwa muda wa miaka 9, Lakini akileta katiba mpya kabla ya mwaka 2030, maana yake ataanza upyaaa kwa katiba mpya, na hatofungwa na masharti ya vipindi viwili vya katiba ya zamani!
Tena basi akitengeneza katiba mpya ya vipindi viwiliviwili vya miaka Saba saba, maana yake ana potential ya kutawala 9+7+7=23
Mama ashindwe yeye tu, lakini njia ya kutawala miaka 23 nyeupeeee, ajipange tu