The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 16,434
- 14,547
Kwa thread za johnthebaptist na Chawa wa Lumumba lazima Maza acheke tu.Rais Samia: Hakuna kisichowezekana kwenye mazungumzo, tumesuhudia nchi kadhaa zimeingia kwenye vita hawakupata suluhu, suluhu imepatikana kwenye mazungumzo kwahiyo tuendelee kuzungumza. Najua si rahisi kabisa watu kuja na utamaduni huu mpya ukakubalika mara moja, si rahisi, kwangu kuna vikwazo kwangu kuna vikwazo.
Huwa napitia Jamiiforums naangalia maoni yenu kule ndani, nasoma nnacheka, nasema lakini huu ni utamaduni mpya, si rahisi kukubalika kwa ghafla, kwahiyo pande zote Tanzania nzima si rahisi kukubali utamaduni huu mpya kwa haraka.
Wee chawa wa Chadema kaapembeni😕kila siku kukandia chama chetu CCM. Wee muulizie Mbowe na Lissu Kama wapo humu au kwenye forum za ubelgiji...Mungu ibariki JF
Kumbe wengi mpo JF lakini bado hamuijui JF.Wamesikia Mama anakuja humu sasa subiri Wanjangu wayajaaa
Karibu mama humu roho ngumu tuRais Samia: Hakuna kisichowezekana kwenye mazungumzo, tumesuhudia nchi kadhaa zimeingia kwenye vita hawakupata suluhu, suluhu imepatikana kwenye mazungumzo kwahiyo tuendelee kuzungumza. Najua si rahisi kabisa watu kuja na utamaduni huu mpya ukakubalika mara moja, si rahisi, kwangu kuna vikwazo kwangu kuna vikwazo.
Huwa napitia Jamiiforums naangalia maoni yenu kule ndani, nasoma nnacheka, nasema lakini huu ni utamaduni mpya, si rahisi kukubalika kwa ghafla, kwahiyo pande zote Tanzania nzima si rahisi kukubali utamaduni huu mpya kwa haraka.
😅😅😅itakuwa patashikaHasara ya hili neno la raisi ni kwamba wehu/chawa wa Lumumba watachafua sana kwa hoja ya kwamba raisi anawasoma. Sina hakika kama Pascal Mayalla atakuwa miongoni mwa hawa haha
Labda tuwafunde new members, sheria za JF zinakataza name calling, unachokifanya ni kosa na adhabu yake ni ban ya mwezi mmoja mpaka miezi mitatu.Mimi nahisi I'd yake ni numbisa Mana nimpole halafu namfata pm kumjulia Hali hanijibu chochote daaaah😕
Hasara ya hili neno la raisi ni kwamba wehu/chawa wa Lumumba watachafua sana kwa hoja ya kwamba raisi anawasoma. Sina hakika kama Pascal Mayalla atakuwa miongoni mwa hawa haha
Wewe mwenyewe umeandika upumbavu tu kwa kudhani ulichoandika kina-make sense.Sasa Maxence Melo umemsikia mwenyewe mama anapitia JF kusoma mijadala.
Rai yangu kwako jukwaa la siasa limejaa uchafu ningependekeza thread zote zisiruke hewani bila approval ya moderator ili kupunguza uchafu jukwaani.
Na ikiwezekana uongeze nguvu jukwaa la siasa ili mijadala yenye afya irudi kama zamani, watu hawachangii jukwaa la siasa Sasa hivi limejaa matakataka mengi.
Please litendee haki JF ambayo leo mama ameipaisha kama platform anayoitegemea kupata maoni.
Na ndio sababu tuliokataa unafki tumejipambanuwa wazi kwamba Magufuli alikuwa ni shetani na muuwaji, mama ameyasoma yote haya na leo ameahidi kwa kusema never, never again.
Cc: Pascal Mayalla
Kuna mahala amefundisha wadada bara kufukizia kama wazenj siku hizi wanavyofukizia kwa tecnolojia, hebu wajuzi tujuzane inakuwaje hapoUkute hata ule uzi wa tunda kimasihara huwa anaupitia.[emoji23][emoji23][emoji23]
Siyo inawezekana ndivyo ilivyo.Ok, Inawezekana pia
Mashoga kama wewe huwa nawapa dole la kati tu.Wewe mwenyewe umeandika upumbavu tu kwa kudhani ulichoandika kina-make sense.
Heri mama umesema.Rais Samia: Hakuna kisichowezekana kwenye mazungumzo, tumesuhudia nchi kadhaa zimeingia kwenye vita hawakupata suluhu, suluhu imepatikana kwenye mazungumzo kwahiyo tuendelee kuzungumza. Najua si rahisi kabisa watu kuja na utamaduni huu mpya ukakubalika mara moja, si rahisi, kwangu kuna vikwazo kwangu kuna vikwazo.
Huwa napitia Jamiiforums naangalia maoni yenu kule ndani, nasoma nnacheka, nasema lakini huu ni utamaduni mpya, si rahisi kukubalika kwa ghafla, kwahiyo pande zote Tanzania nzima si rahisi kukubali utamaduni huu mpya kwa haraka.
Yumo kitambo sana.Anaeijua I'd ya mama Samia tafadhari😀
Pascal Mayalla mbona analifahamu hilo kitambo sana?Nyuzi zitamiminika na kwa ID halisi sasa
Kuhusisha hoja yangu na ushoga makes more sense to you sio? Mama aendelee kukusoma tu manake nyie ndio watu wa siasani wenye akili. Shwain zako!!Mashoga kama wewe huwa nawapa dole la kati tu.